Wanawake ndoa ni utii, acheni kujaza ujinga wadogo zenu

usiombe mwanamke awe na kipato.
Kuna ambao ni hopeless lakini hana kipato. Kipato cha mtu hakiwezi kumbadili akawa mjinga kama biblia ilivyoandika.
Mimi naamini wasichana na wavulana wetu hatujawafundisha kuanzia wakiwa wadogo kuheshimu ndoa. By the way siyo ndoa tu haiheshimiwi, hata kazi ofisini na majumbani hamna anayejali. Tuna tatizo kubwa kwenye ngazi ya familia jinsi tunavyowalea watoto wetu.
 
Mwanamke akileta jeuri kisa pesa unamuacha Tu akalale na ma dildo ..
Unatafuta mwenye heshima
Mkuu hata hawa mama wa nyumbani ni shida tu, wamejazana ujinga kwamba akikuacha managawana mali nusu kwa nusu, zamani ilikuwa mwanamke akijifanya hamnazo unatimua tena na kipigo juu anarudi kwao.

Siku hizi haondoki anakufanyia visa humo humo ndani anakwambia siondoki hadi tuuze mali kama ni nyumba, gari tugawane.....vinginevyo ndiyo unaona siku hizi matukio ya wanawake kuchoma visu wanaume yanaongezeka.

Janamke linabadilika kuwa kichaa dakika sifuri, ile asilimia kubwa ya wanawake kupandwa na mapepo kwenye maombi huenda kuna ukweli, hawa viumbe naturally wako possessed na mapepo.​
 

Only if wangekuwa kama ww au hekima kama ww. Neno hekima kwa wanawake wa sasa ni adimu
 
Wape hao, safi sana. Kama una mdovowako mwenye akili kama wewe afu hajaolewa, ni PM.
 
Umetokwa povu.....Hasira za nini sasa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] vipi wee ukimsaliti mkeo??
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] vipi wee ukimsaliti mkeo??
Nasimama na msimamo wangu, mimi nimekosea nakuniacha ni haki yake wala sitamzuia kwakuwa nitakuwa nimemfanyia unafiki na kumdharaulisha. Hakuna aliyebora anayemzidi baraka mwenzake, basi kwakuwa kiapo ni kilekile, basi hayohayo namimi yanifaa. Kwanini ucheat wakati ulimridhia mwenyewe?? Kuendekeza huruma aiza kwa mwanamke au mwanaume Kwa mambo kama haya ndiyo hufanya taasisi ya ndoa kuonekana bosheni na haifai. Uliuwa kwa upanga basi utauwawa kwa upanga.
 
πŸ“Œ Kwa Sasa jamii zina macho lakini hazioani, zina masikio lakini hazisikii. Ifike mahala wanawake tujitambue na ktk kujitambua sio kudharau ndoa yako, hiyo ni dhambi kubwa sana tunafanya. Shida iliyopo wanaume wengi siku hizi wanakimbia majukumu yao ya ubaba na ulezi ni sperm donors tu, ila hiyo haifanyi sababu ya mwanamke awe juu.πŸ”¨

Duh sio mchezo mleta mada unaafya nzuri ya akili jitunze sana ukawe mwalimu wa hiki kizazi kinachokuja
 
Imagine....
Eti mtu akiwa financially stable/independent ndo haombi ruhusa kwa mumewe, anatoa tu taarifa kisa kila kitu kajigharamikia mwenyewe?! Stupid!!!
Hawa ndio wanaosababisha baadhi ya wanaume wawazuie wake zao kufanya kazi!
 
Na tumeacha dini tumefata Dunia Lau tungefata Mungu anavotaka tusingekua na kizazi Cha fifty fifty
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…