Wanawake ndoa ni utii, acheni kujaza ujinga wadogo zenu

shida ni hao wanatoa mafunzo kwenye hizo media wanapewa airtime kuongea kuhusu ndoa na mashauri ya kuwaasa wanawake sijui wanatokeaga wapi maarifa yao kwenye maswala hayo wametoa wapi lakini ndio jamii inawasikiliza ........imefika wakati mwanaume ukimwambia mkeo kitu afanyi ata kama kizuri kisa tu itaonekana unamuendesha kweli hiyondio heshima
 
Paragraph ya mwisho ndo mnaishia kufa kwa stress au kujiua.

Tiba ya usaliti ni KISASI.
Siwezi kufa kisa mwanaume, aisee na ugali ulivyomtamu huu [emoji16][emoji16]. Kwani si ndo mana Kuna neno "kuachana" my dear?. Na kama ulisoma vizuri, nimesema kwamba "ukiona manyanyaso na mateso yamezidi ni haki yako kujisogeza pembeni na kulea watoto wako,ni marufuku kuvumilia manyanyaso na mateso. Ni sawa kuachia ngazi lakini si sawa kutenda Yale ambayo yeye anatenda ukifikiri kwamba unamkomoa mwanaume kumbe unajiharibia mwenyewe sifa yako mtaani. Kwa sababu mwanaume ni malaya na ww unageuka malaya, utakufa kwa magonjwa. Ilhali una uwezo wa kusogea pembeni ukafanya mambo yako. Kamwe usivumilie ukatili katika ndoa, imekushinda, basi sogea pembeni.
 
[emoji1][emoji1][emoji1] kweli za kuambiwa changanya na zako. We unafanya anayosema, kumbe mwenzio akifika kwa mumewe anapoa na huduma zote anampatia mumewe.
 
Mpaka roho imeniuma yaani....

Siku nikikutana na Baba Minza lazima nimpe za uso. Alifanya upopoma sana na hatakaa apate Mwanamke anayejitambua hivi. Huko aliko si ajabu anapelekeshwa hatari na lisupa wumani limoja lililoshindikana...

Asante sana nkwela wane [emoji1545]
 
Kunahawa wanajifanya makungwi kufundisha watu
Kweli bint akitaka kuolewa wampeleke Kwa wamama walioshika dini na walio kwenye ndoazao wawafundishe mabint kulingana na mafundisho ya dini nani mwanamke majukumu yake na anatakiwa aishije

Sikuhiz wanatufanyia kitchen party kungwi mwanamke alieachika mara 8 anakuja kumueleza nn bint anaeingia kwenye ndoa akichanganya ya mafeminist akili uozo mtupuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…