Wanawake ndoa ni utii, acheni kujaza ujinga wadogo zenu

Wanawake ndoa ni utii, acheni kujaza ujinga wadogo zenu

Assalamualaikum nnawatakia mifungo mema.

Dear girl child kama una malengo ya kuolewa ukae ukijua mwanaume ni kiongozi wa familia aliumbwa yeye ikapita miaka 40 ndo ukatolewa ubavu wake akaumbwa mwanamke. Mungu fundi hakuna sababu ya kuumba sote wawili mmoja ametokana na mwenziwee awe msaidizi wake, hizi feminists activities zinazoendelea ni kuharibu mpango wa Mungu.

Hakuna usawa kati ya mke na Mume isipokua katika kuutafuta ufalme wa mbinguni au kujua lengo la kuumbwa na namna ya kulifikia. Nyie mastrong sijui super woman msituharibie watoto wetu wa kike, asili ya mke ni heshima, mwanaume ni kiongozi wa mwanamke.

Tena siye waislam tunaambiwa kabisa Pepo yako iko kwa mumeo, kumtii mumeo ndo lango la wewe kuiona falme ya Mungu, haijalishi ni kibe10, kizee kikongwe whatever huyo Mume alivo mradi tu anawajaibika kama Mume na anabeba majukumu yake ya kiunaume.

Kuna Wanawake wakiwa nje wanapondea ndoa ila wakiwa Kwa waume zao wanatulia tulii wanafanya majukumu yao mpaka baasi ukiwasikiliza unapotea. Za kuambiwa changanya na zako, ewe mtoto wa kike
Kwenye ndoa hakuna kutoa taarifa kuna kuomba ruhusa Kwa mume, kwenye ndoa hakuna mashindani kuna maelewano.

Sijui lengo la wanaharakati wa ndoa ni lipi. Binti kama anapigiwa, anadhalilka na kufanyiwa unyama hapa hata akiresist ni sawa na ni bora talaka kuliko kuuana.

Wanaharakati wamezalisha kizazi cha wanawake wachepukaji, tusio walezi wazuri, waongo na unaafiki mwingi tunajifanya tunashinda kwenye nyumba za Ibada ila tuna machafu kibao. Ingawa Toka zamani uchepukaji ulikuwepo kwa jinsia ke ila Sasa imezidi tena sio Siri tena.

Kwa Sasa jamii zina macho lakini hazioani, zina masikio lakini hazisikii. Ifike mahala wanawake tujitambue na ktk kujitambua sio kudharau ndoa yako, hiyo ni dhambi kubwa sana tunafanya. Shida iliyopo wanaume wengi siku hizi wanakimbia majukumu yao ya ubaba na ulezi ni sperm donors tu, ila hiyo haifanyi sababu ya mwanamke awe juu.

Ukiona umeshindwa toka, Kaa pembeni lea watoto wako vizuri kabisaa kuliko kuishi na mtu asiyejitambua
Ila kama umepata mwenza muungwana mstaarabu mheshimu, mpende na jengeni familia yenu vizuri, achaneni na wanaharakati uchwara wenye stress na maisha yao.

Ndoa ni kitu kizuri na baraka Kwa wenye akili na uelewa tu.
Ningekuwa na namba yako ningekupa bando la wiki
 
Umewapiga za Uso , kazi yao imebaki kuwageuza Wanawake wenzao kama fursa, ett kiimgilio Cha Warsha "Laki Moja "...wahi sasa, tiketi ni chache.

Anayeenda kuwafundisha ni janamke gumegume, liloshindwa Ndoa miaka Kadhaa Kwa tabia zake za uchepukaji na ubishi ,lisilotii na pengine hata limekeketwa, linaenda Gym na kufanya mazoezi mazitoo matokeo yake Oestrogen imeshukaa, limekua na ongezeko la Testosterone Sasa limejikuta Lina mitabia ya Kiume ila linavaa mavazi ya kike.

Jingine unalikuta kisa lilisoma, au lilipata kazi mapema, au Kwa michongo michongo au hata kama ni Kwa uhalali basi kisa halimchi Mungu, alafu kikawa financially stable, na Lina Elimu .... Limejikuta halitulii na Wanaume, kwakua sisi wanaume tunapenda mwanamke mnyenyekevu ,basi limechagua kuzaa tuuu ili lilee lenyeweee na hatima yake limetuongezea watoto wa kiume mashoga na ambao wanajiita mashoga Hadi kwenye mitandao jamii!!

Nalo linakuja na "Akina Mama, tukutane Ukumbi pale Mliman city tarehe 31/3/2023 ,kiingilio Laki na Hamsini, tutakula na kuongea mambo ya Ndoa "

Ndoa ya Nyokooo !!! Mmetuharibia Wake za kuoa, mmewafunza ujinga na ujeuri , mwanamke hajui kupika, hajui hata kumnyoosha nguo, achilia mbali hata kupanga vitu Ndani hajui. Janamke ni Saloon, makope bandia, makucha bandia, kujipodoaaaa weeee, Hilo kazini !!

Oyaa, Mkikutana na Demu wa Ivo. Kuleni mbususu mara kadha wa kadhaa alafu msioe,, kuoa oeni wanawake wenye uanamke ndani mwao, wenye hofu ya mungu, wanawake ambao watawalelea watoto wa kiume anakua mwanaume, wakike anakua mwanamke.

Tena, zile familia mnazokuta mwanamke ni mwanaharakati, msithubutu kuoa kwenye hiyo miji.,achen akae na mabinti zake, wamzalie hapohapo, alee wajukuu hapohapo.

Mahitaji ya Mwanaume ni

[emoji117]Heshima ....( Na hili Maandiko matakatifu yameliwela wazi, Heshima Kwa Mwanaume akiipata Toka Kwa mwanamke wake anajihisi ni Mfalme anayemiliki Dunia nzima)

[emoji117]Upendo ( hapa mwanaume anataka aone una mchagulia nguo yankuvaa? Unampikia? Unamwambia umependeza ? Unamshauri ? ...mambo haya sisi wanaume ndio tunayatafasiri kama Upendo yaaan "Mwanamke wangu ananipenda sana aiseee unakuta ananipikia, ananinyooshea nguo, atanipangia nguo za kuvaaa " ,sisi wanaume hapo tunaona ndio tunapendwaaaaaa

[emoji117]Mapenzi , mwanaume yoyote asokua na tatizo la nguvu za kiume, na anakula anashiba anakunywa Maji maji yanenda mpaka kwenye kucha za miguu, Hana stress, hata kama anastress, wee Moe mbususu, nipe mbususu ,nipe mbususu nipe mbususu mpaka mwenyewe niwe naikwepa "
Umemaliza kila kitu mkuu
 
Paragraph ya mwisho ndo mnaishia kufa kwa stress au kujiua.

Tiba ya usaliti ni KISASI.
Haisaidii kitu, iwe kwa mwanaume au mwanamke. Mimi leo mwanamke akinisaliti na mimi nikalipiza kwanjia yeyote ile hata kwakusaliti, kisasi hakitanibadilishia taswira iliyojijenga kuwa mwanamke amenifanyia dharau mno. Yaani hata nilale na wanawake wa dunia nzima hiyo trauma haitanitoka kamwe maana ni point of failure ambayo kila nikiikumbuka sitaweza ibadilisha. Hivyo hata kumuangalia au kumsogelea sitaweza tena maana atakuwa alama ya udhaifu wangu. Kilichobora kwangu ni kukaa naye mbali sana ambapo sitamsikia wala kumuona, hivyo nitajitenga naye. Labda kwanyie wenzetu ni tofauti ila kisasi huangamiza roho, ni kama tone moja la mvua kwenye jangwa kubwa. Itakuuwa baadaye kwa guilt.
 
Kuna Wanawake wakiwa nje wanapondea ndoa ila wakiwa Kwa waume zao wanatulia tulii wanafanya majukumu yao mpaka baasi ukiwasikiliza unapotea. Za kuambiwa changanya na zako, ewe mtoto wa kike
Kwenye ndoa hakuna kutoa taarifa kuna kuomba ruhusa Kwa mume, kwenye ndoa hakuna mashindani kuna maelewano.


Wanaharakati wamezalisha kizazi cha wanawake wachepukaji, tusio walezi wazuri, waongo na unaafiki mwingi tunajifanya tunashinda kwenye nyumba za Ibada ila tuna machafu kibao. Ingawa Toka zamani uchepukaji ulikuwepo kwa jinsia ke ila Sasa imezidi tena sio Siri tena.
Hawatakulewa, tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
 
Back
Top Bottom