Wanawake ndoa ni utii, acheni kujaza ujinga wadogo zenu

Wanawake ndoa ni utii, acheni kujaza ujinga wadogo zenu

Mambo ya Feminist Movement na impower woman ndo zimeleta hizi mambo za gender equality ndo zimetufikisha huku na ndomana hata wazee wetu wa zamani waliamua kumnyima mwanamke elimu we unazani walikuwa hawana akili ni waliona mbali na wakajua haya ndo yatakuja kutokea
Yaan ukiona mkeo ameanza anaangaika na mambo ya harakati za kumuinua mwanamke jua umekwishaaa
NEVER MARRY A FEMINIST
I REPEAT NEVER MARRY A FEMINIST
 
Ndoa ni kitu kizuri na baraka Kwa wenye akili na uelewa tu.

reymage upo sahihi sana financial freedom inawafanya wanawake wajione kuwa wameyaweza maisha kiasi cha kuanza kukiuka misingi ya mwanamke. Kamwe huwezi na hupaswi kujifunza kwa alieshindwa.
 
Ndoa ni kitu kizuri na baraka Kwa wenye akili na uelewa tu.

reymage upo sahihi sana financial freedom inawafanya wanawake wajione kuwa wameyaweza maisha kiasi cha kuanza kukiuka misingi ya mwanamke. Kamwe huwezi na hupaswi kujifunza kwa alieshindwa.
Ndo shida inapoanzia tukipata vihela baasi tunajiona tuko juu
 
Back
Top Bottom