Wanajua wenyewe maana wanaume wanaotoa hela wapo na wataendea kuwepo. Kila mtu ale alipopeleka mbogaHapa ndo utajua wengi ni wavulana tu ππ hawaji ng'oo
Mtu unapendaje utelezi bila kugharamia? Kazi tu "ooh demi nimekuhamu" mwaga minoti unihamu vizuri ππ
Muazime pamba mkaliWao washazoea kitonga
Kuna jamaa mmoja nilimpa namba ta dem wa kishua yeye anakaa mbagara dem kakubali waonane nikampanga vaa vizur be smart sio kama hivyo
Nikasikia anasema bobu umsart wanini mimi nataka utelezi tu
Haya mtu kama huyu unaweza mueleweshaje na hapo chinu kavaa all star zimepauka rangi na ndio anaenda kumeet na mchumba?
Hiyo kitu big no kushare nguo hapanaMuazime pamba mkali
Huu mtanange ni mkali,nani kala K.O?View attachment 2504331
At your age of 50s, juzi ulikuwa kwenu Moshi msibani, kazi yako ilikuwa kununuliwa tu pombe, hela hadi mwanamke wako aamue yeye kukupa. Na kwa ulevi wako kila wakati uko njwii, baba zima unaweka double kick kwenye chupa ya K Vant.
Mbezi Beach yote ni wewe unayetutia aibu. Jirekebishe
Hawawezi kukuelewa π ππHello.
Watoto wa kike punguzeni tamaa ya hela. Hela tuliyopanga kununua kiwanja kweli unataka kununua iPhone macho matatum?
Tunajua hela hakuna ila hadi vocha ya buku ya kuomba jamani? Dhiki tunajua ipo jamani sio kitu cha kukiendekeza kabisa.
Now days imekuwa ngumu kumtofautisha ombaomba na mdada muomba hela.
Mbadilike.
Tena vinaandikaka hivi "bebi aomba hela ya kula" kama havina meno mdomoni
Ladies kuna pdf (notes) imetoka leo jion.
Jinsi kukabiliana na vikwazo pale unapoomba pesa kwa mwanaume.
Tunatoboaa nakwambia, tena wewe na helaa ya kutolea unatumaaaaKwenye kikao cha wanaume tulishaisoma hiyo pdf yenu na tukajadili mpango mkakati wa kupangua hoja zenu hamtoboi
Eeeeh lazima mrudi Kolomijeee na Nanjirinji. Ila usiogopeeeee Broooogold nigga mamaaeee kwa Hali mtatuondoa mjin
DuhSiku hizi demu akiniomba pesa napata muwasho na vipele vya joto huku vikiandamana na mvua nyingi na mawingu kiasiπ
[emoji23][emoji23][emoji23]Ladies kuna pdf (notes) imetoka leo jion.
Jinsi kukabiliana na vikwazo pale unapoomba pesa kwa mwanaume.
Ungesema namba ningekuelewa! Maana baadhi (narudia) baadhi, ukichukua namba tu, mizinga inaanzaNa wewe acha kuombaomba uchi. Hamna mwanamke atakaye kuomba hela kama hujamuomba uchi
Umeeleweka ila iweje uniweke kundi la kimalaya malayaWatu kama wewe mnaowadanganya hawa mabinti hamjielewi.
Na mmesababisha hawa mabinti kuamini kwenye mapenzi kunalipa kuliko kufanya kazi.
Leo hii tunawahitimu wa vyuo ambao mawazo yao ni kupata danga limnunulie Iphone kali, limpangishie nyumba nzuri n.k nasio kutumia maarifa waliyonayo kujitegemea.
Mnawadanganya hawa mabinti, sasa wamekuwa makahaba kwa kigezo cha kutafuta wanaume wenye pesa nasio kufanya kazi wajitegemee. Ili apate pesa nyingi inamlazimu kuwa na wanaume wengi.
Binti akitoa penzi apewe penzi nasio atoe penzi apewe penzi na Pesa.
Moja wapo ya vitu vinatufanya tuendelee kuwa masikini ni pamoja na hili, kuna kundi linaweza kufanya kazi na kuzalisha ila limegeuka kundi tegemezi, lenye tabia za kimalaya malaya limekuwa ombaomba.
Tukiendelea kushabikia huu ujinga tutakuwa na Taifa la washenzi wanaowekeza kwenye kujipodoa, kufuga kucha na mawigi, kutoa mimba wakiamini watapata nyumba na magari.
Wahimizeni wanawake wafanye kazi ili wasigeuze mahusiano kuwa kitega uchumi
Ooh, Hapana mkuu sijakuweka kwenye kundi la malaya,Umeeleweka ila iweje uniweke kundi la kimalaya malaya
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Tena vinaandikaka hivi "bebi aomba hela ya kula" kama havina meno mdomoni