Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 9,016
- 24,650
Acha tu ndugu yangu mbaya zaidi wanafikiri kupewa hela na mwanaume ni haki yao ambayo lazima waipate. Unakuta mwanaume hela yako umeitafuta kwa jasho lako bila mwanamke kuchangia lakini kausha damu atakusakama kwa maneno mabaya kisa haujamuongajitu zima lenye vuz1 kila sehemu linataka lihudumiwe kama mgonjwa,
Izo ni fikra zenu msiojiamini na ambao mnaangaika kuficha udhaifu wenu kwa kutumia pesa. Binafsi siongi na mbususu nazichakata kama kawaida. Ni suala la kumuweka wazi mwanamke principles zako kuanzia mwanzo kwaiyo atachagua mwenyewe aishi humo au asepeMwaka
Ukijifanya mgumu utaishia nyetoni kama drone, [emoji16][emoji16][emoji16]
Je na vibaka nao tusiwalaumu wala kuwachukulia hatua zozote maana kuna jobless humo ambao ni victims wa mifumo mibovu ya elimu na uchumi waliyoikuta?Serikali haiwezi kumsaidia MTU ambaye ameamua kuwa mjinga.
Kuna utofauti Kati ya mhalifu criminal na mwathirika victim.
Wanawake ambao wameamua kudanga au kujiuza , usiwahukumu most of them they are victims.
So don't blame them.
Aisee.! Hii ya kununuliana vyombo ndo naisikia leoIpo kausha damu, vipo vikoba, ipo mchezo, ipo kununuliana vyomba, upo ujirani mwema.
Mamndenyi bado hujasema.
Kweli kabisa mkuu sio poaIzo ni fikra zenu msiojiamini na ambao mnaangaika kuficha udhaifu wenu kwa kutumia pesa. Binafsi siongi na mbususu nazichakata kama kawaida. Ni suala la kumuweka wazi mwanamke principles zako kuanzia mwanzo kwaiyo atachagua mwenyewe aishi humo au asepe
Najua uzi huu utavamiwa na kausha damu wakiongozwa na @Depal . Kausha damu wote nawapeni makavu live, sex ni mutualy pleasure sio biashara. Mkitumia kigezo cha kugawa mbususu kama justification ya kupewa hela au matunzo kutoka kwa mwanaume ambae sio mmeo basi nyie ni makahaba tu.
Je na vibaka nao tusiwalaumu wala kuwachukulia hatua zozote maana kuna jobless humo ambao ni victims wa mifumo mibovu ya elimu na uchumi waliyoikuta?
Zamani gani unayoizungumzia wewe wa mama wa 70,80,90 mwisho ni 2000 fulani hivi.Zamani wanawake walikua wanaongozwa na upendo mambo ya kupewa mahitaji na vizawadi vya hapa na pale zilikua kama hamsha hamsha tu za kunogesha mapenzi hawakuchukulia kama ni mambo ya lazima kupewa na boyfriend ila kwa sasa wanawake wameyafanya mapenzi kuwa ajira na wanafikiri kupewa hela na mwanaume ni haki yao ambayo lazima waipate.
😁😁😁
Tunawapa makavu live msifikiri tunawaonea wivu, mmekua kero. Siku moja nilikua napiga story na mzungu nikammuliza kuhusu wakina dada wa Tanzania akasema nyie ni gold diggers, yaani mkichat text mbili tatu out of nothing mnaanza kuomba hela. Acheni huo ujinga mnalitia aibu taifa. Na tabia yenu kuendekeza tamaa ya vitu msivyovimudu nakwambia mwaka huu tutawafumua sana marinda.Nini mbaya totoo? Asubuhi yote hii ushaanza ku complicate maisha?
Vitakuchachia mapema [emoji706]
Mkuu huwezi kushughulika na mwanamke wa kiafrika kisoft soft namna iyo. Mwanamke wa kiafrika ili somo limuingie lazima apelekeshwe kitumwa. Ukileta hayo mambo ya kujifanya nice guy kausha damu wataishia kukuona mwanaume dhaifu. Hawa dawa yao ni kuwapa makavu na kuwapiga matukio tu.Unapokuwa unapambana na tatizo lazima ujikite kuangalia njia bora ambazo hautoumiza watu na wewe hautojiumiza.
MTU kuwa msomi na akawa kibaka hiyo 'Ari' inaweza kusababishwa na mambo mengi Sana ikiwemo kukosa insight, personal growth, deep thinking, addiction , stress &depression hivyo huyo ni mwathirika a victim anabidi kupewa second chance to restore his or her mind.
As well MTU kuwa ,mdangaji ,Malaya , kausha damu n.k moja kwa moja huyo ni victim Mwathirika anabidi kupewa more second chance.
Watu wamekwama mkuu kuanzia mentally , spiritual, financially , they are no longer thinking effectively hivyo kuendelea kulaumu na kuwaita majina mabaya unabidi kujua unakosea Sana. tena Sana.
Ebu jiulize swali hao wadangaji wapi huwa wanawekeza their money baada ya kuhongwa ? Means they earn a lot of money but they end up being broke and depressed year to year .
Also njoo kwa vibaka where they spend their money after does damn ? Means wanatumia the all money they earn kununua Malaya , pombe , Kubeti, and other shit.
So the solution to deals with these such kind of people is to unlock their mind first. And give them second chance before the mob justice (killing) to take place.
We need to be creatures of logic and not Emotions
Mbaya sana, unakuta wengine wanahadi ndevu alafu utasikia ni hudumie , ni haki yako kunitunza nipe hela wewe mwanaume.jitu zima lenye vuz1 kila sehemu linataka lihudumiwe kama mgonjwa,
Mkuu huwezi kushughulika na mwanamke wa kiafrika kisoft soft namna iyo. Mwanamke wa kiafrika ili somo limuingie lazima apelekeshwe kitumwa. Ukileta hayo mambo ya kujifanya nice guy kausha damu wataishia kukuona mwanaume dhaifu. Hawa dawa yao ni kuwapa makavu na kuwapiga matukio tu.
Kausha damu ni kero mkuu na sasa wameenda mpaka kimataifa kausha damu wapo uko tinder, badoo, tagged na role model wao ndio hamisa mobeto kila siku kubadilisha wanaume very soon tutegemee kusikia Tanzania ni taifa la gold diggers. Ningekua na mamlaka ningeamulu wakusanywe wote watumbukizwe kwenye tanuri la tindikaliMkuu jitahidi ujifunze emotions intelligence , unajua wanawake they are too emotional , hivyo ikiwa wewe mwanaume your not smart upstairs ni ngumu Sana the opposite sex kuwa smart upstairs.
So dig more knowledge , ikiwa unawaza kuwafumua MARINDA je hauoni kuwa unakosea Sana
Ukiwa negative people na unawakosoa Sana wanawake unakuwa hauwasidii ,unabidi Ku-deal na MTU in positive way ili apate insight. Ya kubadilika.
Kausha damu ni kero mkuu na sasa wameenda mpaka kimataifa kausha damu wapo uko tinder, badoo, tagged na role model wao ndio hamisa mobeto kila siku kubadilisha wanaume very soon tutegemee kusikia Tanzania ni taifa la gold diggers. Ningekua na mamlaka ningeamulu wakusanywe wote watumbukizwe kwenye tanuri la tindikali