Unapokuwa unapambana na tatizo lazima ujikite kuangalia njia bora ambazo hautoumiza watu na wewe hautojiumiza.
MTU kuwa msomi na akawa kibaka hiyo 'Ari' inaweza kusababishwa na mambo mengi Sana ikiwemo kukosa insight, personal growth, deep thinking, addiction , stress &depression hivyo huyo ni mwathirika a victim anabidi kupewa second chance to restore his or her mind.
As well MTU kuwa ,mdangaji ,Malaya , kausha damu n.k moja kwa moja huyo ni victim Mwathirika anabidi kupewa more second chance.
Watu wamekwama mkuu kuanzia mentally , spiritual, financially , they are no longer thinking effectively hivyo kuendelea kulaumu na kuwaita majina mabaya unabidi kujua unakosea Sana. tena Sana.
Ebu jiulize swali hao wadangaji wapi huwa wanawekeza their money baada ya kuhongwa ? Means they earn a lot of money but they end up being broke and depressed year to year .
Also njoo kwa vibaka where they spend their money after does damn ? Means wanatumia the all money they earn kununua Malaya , pombe , Kubeti, and other shit.
So the solution to deals with these such kind of people is to unlock their mind first. And give them second chance before the mob justice (killing) to take place.
We need to be creatures of logic and not Emotions