Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 9,016
- 24,650
Ni bora uyo anaeuza uchi direct mkimalizana usiku mmoja hamjuani ila hawa kausha damu ni mizinga non-stop.Ndio zipo kitambaa ni levels mkuu hata hiyo hamsini ya nn pale malapa buguruni ni tsg 3000 goli 1 .
Sasa kwani umiombwa sii mbususu unapewa sasa shida iko wapi tena hapo mwanawaneHata ukiwa nazo mkuu kuombwa ombwa ni kero
Kama anauza mbususu ataje bei twende geto tukamalizane siku akiishiwa na luku, gesi n.k hayo hayanihusu kwa sababu niliyomchakata nilishampa malipo yake ila mizinga kila siku hapana hata kama hela ninayo siwezi kufanya huo ujingaSasa kwani umiombwa sii mbususu unapewa sasa shida iko wapi tena hapo mwanawane
Kuwa proud na jinsia yako maana yake nini je ni kutetea jinsia yako hata kwenye vitu vya kipumbavu, huyo mtoa mada yeye mwenyewe alisema anadate na mijimama ili impe pesa, huku anawasema wanawake wanaodanga sasa yeye na hao wanawake wanaodanga wana utofauti ganiUkiona mtu hayuko proud na jinsia yake lazima ni mwanaume .pili lazima ni gay
Mnajuana kumbe ngoja tuwaache hadi muuaneKuwa proud na jinsia yako maana yake nini je ni kutetea jinsia yako hata kwenye vitu vya kipumbavu, huyo mtoa mada yeye mwenyewe alisema anadate na mijimama ili impe pesa, huku anawasema wanawake wanaodanga sasa yeye na hao wanawake wanaodanga wana utofauti gani
Unajifanya una akili sana kiuhalisia wewe ni kilazaKuwa proud na jinsia yako maana yake nini je ni kutetea jinsia yako hata kwenye vitu vya kipumbavu, huyo mtoa mada yeye mwenyewe alisema anadate na mijimama ili impe pesa, huku anawasema wanawake wanaodanga sasa yeye na hao wanawake wanaodanga wana utofauti gani
Ndio mama angu[emoji4]Kama hayo mahusiano ni mutual and fair, kwanini mwisho wa siku wakiachana halafu mwanaume akachelewa kuoa, na mwanamke akachelewa kuolewa anayetukanwa ni mwanamke
Na kwanini kwenye hayo mahusiano ikitokea wamepata mtoto, wakija kuachana anayetukanwa ni mwanamke na kuitwa single mother, ushawahi sikia mwanaume anatukanwa ni single father
Na kwanini kwenye hayo mahusiano ikitokea wameachana, halafu kila mmoja wao akapata mtu mwingine, mwisho wa siku anayetukanwa kuwa anabadilisha wapenzi na kuitwa malaya ni mwanamke
Na kwanini hamtaki haki sawa ikiwa mnalazimisha na wanawake nao watafute pesa kama mnavyotafuta ninyi, kwanini hamtaki haki sawa na kusema kwamba mwanaume na mwanamke hawawezi kuwa sawa, bado mnataka muwatawale ila hapo hapo mnataka majukumu sawa
Na kama hilo tendo wote mnalifaidi kwa usawa, kwanini wanaume ndio wana uhitaji mkubwa sana wa hilo tendo kuliko wanawake kiasi cha wao kulihangaikia sana kwa kutoa pesa, na je wanawake wakiacha kuwaombaomba pesa ndio mtawaheshimu na kuacha kuwachezea
Shida sio kausha damu, shida ni wao na tamaa zao, kutaka kuishi maisha kuliko uwezo wao, ndio hapo wanapoliwa, mbona kausha damu imekuwa kama mvua tu, wanawake wengi toka kitambo walikuwa wakilika kwa vihela vidogo vidogo, mtu ukimpelekea kilo ya nyama na mchele, anakuwekea mguu bara mguu pwani.
Ni hatari kwa kweli.Ukweli mchungu kwa madada wakibongo wengi wanapenda pesa ingawa sio wote
😂😂Ukiona mwanaume analalmika kuombwa hela na mwanamke pisi kali ujue huyo hana hela.
Kuna tatizo sehemuNdugu yangu usalama upo huko, asubuhi yote hii!!!
Unamuhusisha Mungu kwenye mambo ambazo hazimuhusu.Kwenye maombi yako usisahau kumuomba Mungu akuepushe na Wanawake kausha Damu. Mizinga Daily kama mko vitani
Mawazo ya miaka 1940 una leta sasa 2024.Unamuhusisha Mungu kwenye mambo ambazo hazimuhusu.
Mwanamke sio provider 💯
Hawa aliprovide lunch tu, angalia kilichowakuta Eden. Hamjifunzi kuwa cha mwanamke hakiliwi? Na kama hakiliwi basi tuacheni tuendelee kuwaomba.