Wanawake punguzeni kuomba sana hela, imekuwa kero
Wakuu Habari zenu!

Kiukweli wanawake wamekuwa omba omba Sana yaani ukienda WhatsApp Wanawake wanaomba hatari.. ukikaa Kidogo kwenye SMS utasikia nikwambie kitu kumbe unaombwa hela.

Jamani nyie Wanawake mmekuwa kero kuliko hata wale wa barabarani Bora hela yangu nimpe yule mtoto mdogo ombaomba kuliko wewe jituzima tena umeolewa, unafanya kazi, pesa ya bando la WhatsApp unayo halafu unaomba omba.

Hakuna mwanaume anayependa kutoa Hela.. maana wote mlipewa Viuongo sawa, mikono, miguu, Akili n.k ili mfanye kazi sasa.. wanawake Akili zao kuomba omba tu.

UTAFITI
Asilimia kubwa wanaojiuza ni wanawake na ukiwauliza watakuambia wanashida na Fedha.

Sasa swali MBONA wanaume hawajiuzi kama Nyie wanawake kutanda barabarani.. means wanaume wa Akili Sana ya kutafuta Pesa au ni vipi??

UKWELI MCHUNGU.. WANAWAKE ACHENI KUOMBA OMBA MMEKUWA KERO
CC
johnthebaptist
 
Ha ha ha ndio udhaufu wetu huo, haya ila punguzeni kutianzishia nyuzi Mfanye Hela kama sehemu ya WOMAN BASIC NEED
Mdada anafanya kazi tena yenye mshahara lakini anakwambia hana hela lakini hapo hapo kuna mwanaume wanafanya naye kazi ileile lakini yeye familia yake inapata mahitaji yote ya msingi na bado ana honga kwa kazi ileile na anasomesha
 
Mdada anafanya kazi tena yenye mshahara lakini anakwambia hana hela lakini hapo hapo kuna mwanaume wanafanya naye kazi ileile lakini yeye familia yake inapata mahitaji yote ya msingi na bado ana honga kwa kazi ileile na anasomesha

yaani
 
Nachoshukuru tangu nianze mahusiano, sijawahi Date na mwanamke anae omba omba hela, mpaka mda mwingine huwa najishtukia na kuanza kuwapa hela kidogo kidogo, ila pia Wanaume tuangalie wanawake wa kuwatongoza pia..!!
 
Nachoshukuru tangu nianze mahusiano, sijawahi Date na mwanamke anae omba omba hela, mpaka mda mwingine huwa najishtukia na kuanza kuwapa hela kidogo kidogo, ila pia Wanaume tuangalie wanawake wa kuwatongoza pia..!!

hongera sana Mkuu Mimi pia nilikuwa sijawai kupata mwanamke omba omba ila sasa hivi wapo wengi hatari
 
Waswahili kwa unafki hamjambo, sio nyie mnaokataa haki sawa, sio nyie mnaosema mwanamke asifanye kazi akae ndani analea watoto, sasa hivi mnakasirika kuombwa hela, tukisema Wanawake watolewe majumbani wakajitafutie mnatuita ma feminist,
Nyie wanaume wa kitanzania mnamkandamiza mwanamke ili muwe mnamsimanga kama hivi.

Aibu iwe juu yenu.
 
Waswahili kwa unafki hamjambo, sio nyie mnaokataa haki sawa, sio nyie mnaosema mwanamke asifanye kazi akae ndani analea watoto, sasa hivi mnakasirika kuombwa hela, tukisema Wanawake watolewe majumbani wakajitafutie mnatuita ma feminist,
Nyie wanaume wa kitanzania mnamkandamiza mwanamke ili muwe mnamsimanga kama hivi.

Aibu iwe juu yenu.

hivi ni sisis tunataka haki sawa au nyir ndo mmechoka kukaa nyumban mnataka haki sawa ya kufanya kazi?
 
Back
Top Bottom