Jeep wrangler
JF-Expert Member
- Jan 7, 2024
- 524
- 1,093
There you are😂😂Mwanaume anamtunza Mtu anayempenda,Ukiona hupewi Hela ujue Kuna anayekula Hela zake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
There you are😂😂Mwanaume anamtunza Mtu anayempenda,Ukiona hupewi Hela ujue Kuna anayekula Hela zake
Heeee😅😅😅Hapo ndio utajua Kuna watu walizaliwa Agakhan kabla ya NHIF🙆🙆🤣🤣Hahahahaha..mie spy master nakaaje kwenye reli ? Ukiona nimekaa kwenye reli ujue kuna mtu anaumizwa bila yy kujua
[emoji23]Kuna demu ananiomba laki 6 akalipe kodi, fala sana
Oooh yeah...huo ndio ukweli bestThere you are😂😂
Kula kitimoto nakuja, nitumie lokesheni chapOooh yeah...huo ndio ukweli best
😅😅Ili nioshe vyombo vya Wala kitimoto sio?Kula kitimoto nakuja, nitumie lokesheni chap
Ila wamezidi kuomba omba hawa viumbeBinafsi kuna mda pesa yangu ina kua na mambo mengi kiasi kwamba una shindwa kumsaidia omba omba ata kama una tamani kumsaidia, ila tatizo lina kuja pale omba omba anapo hisi kanyimwa yani ana nuna utazani pesa yake [emoji28][emoji28]
Omba omba uhisi kama kupewa pesa ni haki yao na lazima [emoji81]
Utakufa masikini.Wee ushaona wapi methali za wahenga zinabadilika?,badilisheni Hizo syllabus ila nahau na methali zitabaki vilevile
Hahahahaha Agakhan au Ocean road jirani na White House..Heeee😅😅😅Hapo ndio utajua Kuna watu walizaliwa Agakhan kabla ya NHIF🙆🙆🤣🤣
Kubwa la maadui umechelewa sana kufika eneo la tukio,,, anyway wanakusoma vizuri,nadhani wataelewaMwanaume anayekupenda lazima akupe pesa sababu anajua ww ni jukumu lake…… km hutaki kuombwa pesa oa binamu zako simple tyuuuu.!!
Yaani hao ni watu hatari sana😁Hahahahaha Agakhan au Ocean road jirani na White House..
Namshukuru Mwenyezi Mungu alishaniepusha na hiko kikombe ndugu yangu...niombe tu kingine Ili Dua yako iende vizuri😁😁Utakufa masikini.
😂😂😂😂 waoe binamu zao ili pesa zao wale wajomba na mashangazi zao, wasituchoshe mabinti wa mataifa….Kubwa la maadui umechelewa sana kufika eneo la tukio,,, anyway wanakusoma vizuri,nadhani wataelewa
Na kwa nini uwe na malaya wakati wanawake wenye heshima zao wapo?Ndio maana mimi suala la kuhudumia malaya nilishalikataa.
Manzi kashatumika sana K mpaka imekata tamaa kwa mileages iliyoenda
Kuna wajinga wanamhudumia. Na hapo ukishika simu yake utaona wajinga wengi wanavyopangwa na malaya wakishare K na kumhudumia
Kama sio bikira huyo tayari ni malaya sio mwanamke wa heshimaNa kwa nini uwe na malaya wakati wanawake wenye heshima zao wapo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna wajinga wanamhudumia. Na hapo ukishika simu yake utaona wajinga wengi wanavyopangwa na malaya wakishare K na kumhudumia
Hatuumii huwa tunawaona wajinga na wapumbavuLkn ni kwa nini huwa mnaumia sana juu ya matumizi ya pesa za wanaume wenzenu?
Sent using Jamii Forums mobile app