KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,529
- 76,691
Kuna kauli moja nilishawahi kupewa ilikuwa imekaa kibabe sana niliambiwa hivi
"Ukiwa namimi sitaki uniambie hauna hela!".
Halafu ubaya penzi sikulifata!, yeye mwenyewe ndo alilitafuta!, baada ya hiyo kauli sidhani hata kama tulimaliza wiki ikaja kauli nyengine ambayo ndo ilikuwa yamwisho ati "Kumbe we ni kijana wa hovyo hivi!"... 🤣
nahisi hivi viumbe vilitokea jupiter kama sio Saturn!.
"Ukiwa namimi sitaki uniambie hauna hela!".
Halafu ubaya penzi sikulifata!, yeye mwenyewe ndo alilitafuta!, baada ya hiyo kauli sidhani hata kama tulimaliza wiki ikaja kauli nyengine ambayo ndo ilikuwa yamwisho ati "Kumbe we ni kijana wa hovyo hivi!"... 🤣
nahisi hivi viumbe vilitokea jupiter kama sio Saturn!.