Rare Sapphire
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 590
- 1,648
Na hawa wangegalagala kwa ajili ya Lissu au mbowe wangekuwa sio wagonjwa wa afya ya akili. /ZERO BRAIN.Hakika hii nchi ina wagonjwa wengi wa afya ya akili
Furaha hii utaikuta nchi zetu hizi ila ulaya na China huko wako busy na kaziHakika hii nchi ina wagonjwa wengi wa afya ya akili
Hahahaha[emoji23] .. Wamakinike hao wageni maana hapo ndio ulitoka ule moshiJana 17/9/2023 Rais Samia alivyofika Ruangwa baadhi ya wanawake walimpokea kwa kugaladala chini, wakisema hawakutegemea kama Rais Samia anaweza kufika Ruangwa na kwamba wanashukuru sana.
Afya ya akili ni janga linazid kukua kila kukicha!! Et hata nape walilala chini huku akipita juu yao akiwakanyaga churaz!!Jana 17/9/2023 Rais Samia alivyofika Ruangwa baadhi ya wanawake walimpokea kwa kugaladala chini, wakisema hawakutegemea kama Rais Samia anaweza kufika Ruangwa na kwamba wanashukuru sana.
Utashi kuna kufanya kwa mahaba na kuna kufanya kama maigizoNa hawa wangegalagala kwa ajili ya Lissu au mbowe wangekuwa sio wagonjwa wa afya ya akili. /ZERO BRAIN.
Imejaa takataka za kila aina hii nchiHakika hii nchi ina wagonjwa wengi wa afya ya akili
Wanawake wa kusini ni wazinzi wa kutupwa. Kesi nyingi mahakama za huko ni ugoni, ulawati.Wanawaje wa mtwara wanapenda kugalagala[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Alipofika nape mwaka ule wa uchaguzi walilala kifudifudi akawakanyaga makalio akapita[emoji1787]
Apo ukiambiwa pesa iliyoteketea hapo Utashangaa, wanaccm ni watu wa fulsa, ndo maana chama kimekufa,Jana 17/9/2023 Rais Samia alivyofika Ruangwa baadhi ya wanawake walimpokea kwa kugaladala chini, wakisema hawakutegemea kama Rais Samia anaweza kufika Ruangwa na kwamba wanashukuru sana.
Hapo ubwabwa kanga za bure wanajitoa akili etihakuna changamoto khaaa safari ndefu sana watu 20 wameshiba ndondo wanajibia wilaya nzima....elimu elimu elimuJana 17/9/2023 Rais Samia alivyofika Ruangwa baadhi ya wanawake walimpokea kwa kugaladala chini, wakisema hawakutegemea kama Rais Samia anaweza kufika Ruangwa na kwamba wanashukuru sana.