Hii ushahidi wa kiwango cha umaskini, na ufukara wa wananchi!
Yaani unajiona duni kiasi kwamba mavi ya watoto wa jirani yako,ni marashi kwa watoto wako, unayachukua unaweka vyumbani mwao,na unawaambia watoto wako, mkiwa mnacheza na watoto wa jirani, wakijamba, pigeni makofi na kushangilia kama mmepewa Baraka!
Ccm ni wauaji,zaidi ya Idi amin,Hitler, Alshababy, Boko Haram,
Kenge wa ccm wanaua spirit ya wananchi, kuwafanya waamini,wao, kuwa maskini ni Baraka kwao, na ma ccm kuwa na ukwasi ndio sawa,