Wanawake Ruangwa wagalagala chini kufurahia ujio wa Rais Samia, wasema hawakutegemea ujio wake hususani kwa Waziri Mkuu!

Wanawake Ruangwa wagalagala chini kufurahia ujio wa Rais Samia, wasema hawakutegemea ujio wake hususani kwa Waziri Mkuu!

Nenda
Hakika hii nchi ina wagonjwa wengi wa afya ya akili
Nenda Uganda uone Mfalme Kabaka akiwa safarini mitaa ya Kampala hadi Maprofesa wanawake kabila la Baganda huanguka chini wakikutana na msafara wa Mfalme Kabaka..Hushuka kwenye magari hata yawe mabenzi au maprado na kughala ghala chini hivyo

Kabaka akitoka Ikulu yake pale Kampala akiingia mitaani huwa ni shughuli pevu jiji zima barabara yote atakayopita wanawake kabila la Baganda huanguka hivyo na kugalagala chini

Raisi Akipita hiyo heshima hapati

Hao na waganda ni mila moja

Hiyo mila uko Uganda sema kule imekolea zaidi na hupewa tu mfalme wa Baganda ambaye makao yake makuu yako Kampala na Kampala population kubwa ni kabila la Baganda ni ni makao makuu ya mfalme wa Baganda toka enzi na Enzi

Uganda bado tawala za kifalme zipo hadi leo na serikali hutenga bajeti kwa ajili ya wafalme wa makabila makubwa Uganda na hupitishwa na bunge
 
Hivi utatembeaje juu ya viuno vya wanawake?, hekima haimo ndani yao. Mwingine alivunjika kiuno na hana msaada wa tiba hadi leo.
 
Machizi hawaishi nchi hii, na machendu ni wengi kuliko wenye akili timamu.
🤣
 
Watu weusi tuna kabiliwa na changamoto nyingi sana😟 hakika kwenye historia yetu kuna kosa kubwa sana tulifanya huko nyuma kama sivyo basi kwenye ubongo wetu kuna kitu muhimu kinakosekana hali tulizo nazo sio za kawaida kabisa.

Nimekataa kukubali kuwa watu weusi hatuna mapungufu.

Tuna huzunisha, tuna huzunisha, tuna huzunisha. kuwa mtu mweusi inakuwa kama mkosi au laana kwako, kwa kweli hakuna cha kujivunia juu ya uafrika zaidi ya mateso,ujinga, upumbavu na kila aina ya ushenzi inachukiza kweli.
 
Mkuu huko Uingereza Rishi Sunak akitembelea kwenye Wilaya Waingereza huwa wanagalagala chini kwa furaha?
Watafungwa 😆 😂 😆
Hata msafara wenyewe ni pikipiki 3 na Gari 3 tu

Huo mda wa kugaragara labda wale wapingaji wanaojipaka mpaka super glue
 
Watafungwa 😆 😂 😆
Hata msafara wenyewe ni pikipiki 3 na Gari 3 tu

Huo mda wa kugaragara labda wale wapingaji wanaojipaka mpaka super glue
Labda wenyeji wa Ruangwa wameridhika na UMASIKINI inafikia milo miwili wanaona ni anasa 🤔

Imagine wangepata UTAWALA BORA wakawa wanakula milo mitatu ya kushiba na katikati ya milo hiyo kunakuwa na vitafunwa na juisi mbalimbali halafu hapohapo wanaumeme wa uhakika na wa bei nafuu

Na kwa kila watu 20 wanadaktari mmoja na madawa yamejaa na ni bei rahisi...

Labda hapo wasingegalagala kwa kuhofia afya zao kuingiwa na germs.

Na laiti wangejua Maisha wanaoishi hao viongozi wao na wangejua kuwa watoto wa Viongozi wanasomeshwa USA na UK sijui kama wangegalagala.
 
Jana 17/9/2023 Rais Samia alivyofika Ruangwa baadhi ya wanawake walimpokea kwa kugaladala chini, wakisema hawakutegemea kama Rais Samia anaweza kufika Ruangwa na kwamba wanashukuru sana.


Walale tena atembee juu ya migongo yao. Hao walishazoea juzi nimemsikia mmoja analia eti aliumizwa mgongo alipokanyagwa na Nape!
 
Wato wapo kwenye kazini; Sitashangaa hapo kama hazijatumika kodi zetu kuendelea muendelezo wa Maigizo...; Hii nchi full Usanii
 
Back
Top Bottom