Tunanunua mkuu, π πIkitokea bongo hii niite mbwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunanunua mkuu, π πIkitokea bongo hii niite mbwa
Watuelewe na kutuvumilia tu kwakweli, sio kupenda kwetuImagine
Hata mchumba unamnunulia kama una pesa, lakini hati unakaa nazo incase na lazima ziwe na jina lako.ndio mchumba tu huyo, akiwa mke je si ndio atapewa mjengo wa 10 Billion
π Sio wote mkuu. Au basi labda sijakutana na wa hivyo. Nakula sana Pesa za ke kiroho safi kabisa.Mwanamke akikupa buku kumi aisee atafanya juu chini mpaka uirudishe kwa namna nyingine
Binafsi naamini, wanawake bado hawajui wanataka nini.Sema kweli mkuu
When life gives you lemons, squirt someone in the eye.Yaani watu wamekariri
Wanasahau tumeumbwa tofauti sana....
Hahaa, wanasahau kuwa wakati we unavutiwa na Tako, mwingine Hana habari na Tako ye mguu tu, wakati mwingine Hana habari na hivyo vyote ye rangi tu, ,etc
There are only three things women need in life: food, water, and compliments. Mengine tunajichosha tuBinafsi naamini, wanawake bado hawajui wanataka nini.
Kuna watu wana pesa na wanapiga mashine vizuri ila wanawake bado wanavhepuka.
Na kuna mademu wanagongwa vizuri ila hawapati pesa hivyo wanacheat kupata pesa.
Kuna wengine hawaridhiki tu
Ndo maana mi siwezi poteza muda mridhisha mtu yeyote yuleThere are only three things women need in life: food, water, and compliments. Mengine tunajichosha tu
Most women set out to try to change a man, and when they have changed him they do not like him. Hapa ndipo wengi wanafail kuwaelewaNdo maana mi siwezi poteza muda mridhisha mtu yeyote yule
Ongeza: wabahiri balaaa yake ni yake Ila yako ni yakeUSHAURI: Wanaume wenzangu hawa wanawake tuwachakate tu, tusiwaoe, hawana shukrani.
Hatua 4 za kuishi na mwanamke vizuriKuna jamaa kaanzisha uzi kasema muwaache wanawake, mnawaanzishia sana nyuzi za kuwalaumu
We ss ndo unawajua wanawake,wengine hapa wanapiga kelele tuπ€£Ni vizuri ukaelewa tu Kila mwanamke ana mtu anampenda na Wala haombi hela,
Na upande wa pili wapo anaowaomba Hela tena akiwa ndiyo akutaki ndiyo atakuomba Hela hovyo mpaka ukereke
Wewe pia huwajui ukiona hakuombi jua anasikilizia upepo tu hawajaumbwa hivyo, aanze kuvuja damu hana hela asikuombe wewe akaombe mwingine na wewe ndio unaemwingizia hivi unawachukuliaje wanawake ?Ni vizuri ukaelewa tu Kila mwanamke ana mtu anampenda na Wala haombi hela,
Na upande wa pili wapo anaowaomba Hela tena akiwa ndiyo akutaki ndiyo atakuomba Hela hovyo mpaka ukereke
If a woman watches a movie alone, who answers all of her questions? Anapaswa ajiulize hapoπWewe pia huwajui ukiona hakuombi jua anasikilizia upepo tu hawajaumbwa hivyo, aanze kuvuja damu hana hela asikuombe wewe akaombe mwingine na wewe ndio unaemwingizia hivi unawachukuliaje wanawake ?
π°π°π°π°π°π°π°π°π°π°
National Anthem π€£π€£π€£πMsiwazeeee sie tena.. sie ndio wanaume hakuna tumacho shindwa hata kama mtataka damu zenu tutawapaπ π
Use money and love people. Donβt use people and love money.National Anthem π€£π€£π€£π
π©Έ π©Έ π©Έ π π π
πππ πππ - π°π°π°π°π°π°π°π°π°
π€π€π€
Sijui niseme sijui niache ππ€£