Hapo Sawa , mwanamke ana uchi mwingi kuhudumiwa ni constant yaan , wakat tunasoma Sisi , unashangaa Mzee wewe anakupa 50000 ya matumizi , Ila sister anapewa 150000 , mwanaume unaweza kaa hata wiki mbili hujaoga na hamna mtu anaweza notice hcho kitu , Ila mwanamke ni SKU mbili tuu ananuka vibaya Sana .... Mtu anaombwa na demu wake vipesa Kwa wiki inafika 20000 au 30000 anaanza kulalamika kuwa demu anapenda pesa , wakat huo huyo demu anasoma au Hana kazi sasa unategemea ahudumiwe na Nani kama we unakimbia majukumu hamna kitu kama hcho popote pale , binti anayeomba sjui Leo laki tano kesho million huyo ni mdangaji na ipo wazi anadanga ... Ila mwanamke kuhudumiwa haikwepeki