Wanawake siku hizi wanapenda hela kuliko kuridhishwa

Wanawake siku hizi wanapenda hela kuliko kuridhishwa

Huyo demu atakuwa Sura ngumu au mtu Pori , pisi kali anayejipenda hawezi date na mtu Hana hela, hyo haipo , ili apendeze anahtaji Gharama hzo Gharama atatoa wapi ? Lazima ahudumiwe tuu
Mmekariri mtu anakua na Hela ya kawaida sio tajiri jmn....kwani ye hafai kupendeza🤣

Yaani ana uwezo wa kukupa matumizi ya kawaida tu sio zile za mil,na nn
 
hili swala la kumridhisha mwanamke mbon tushaachaga kitambo,wengi makelele yao kwenye mtifuano ni ya kuigiza,mtu kaanza kupigwa mashine tangu 15 huko leo ana 26 unamuhangaikia kumridhisha ARE YOU MAD!!!
Kwenye sex jiridhishe wewe kwanza wenzio wakitoka kwako wana watu wao hao
ndio maana wengine hawawaandai, huko ni kupoteza muda na nguvu za kiume, mashine iko mnara muda mrefu unasubiri nini? Raha ni kujipa mwenyewe kwanza
 
Mweee acha fix basi mrembo mbona unakuwa hivyo....mbususu gani karne hii inaliwa bila hela....tuwe wakweli warembo
Serious wapo, yaani unakuta kaka akikupa nyingi elf10 🤣,ndo mpenzi ss unafanyaje ....
Nje ya hapo ukadange ndo utapata hizo hela nyingi
 
Hawa viumbe nawashangaa. Hakutumii message ila mwezi ukikaribia mwishoni utapazipata nyingi tu na zote huelezea matatizo yake aliyonayo. Yaani sisi tumeumbwa ili kutatua matatizo yao. Huo uhusiano wa mwisho wa mwezi hata wahenga hawakukubaliana nao.
 
Back
Top Bottom