Wanawake siku hizi wanapenda hela kuliko kuridhishwa

Wanawake siku hizi wanapenda hela kuliko kuridhishwa

Wanawake wa siku hizi wanataka hela tu hata kama mwanaume hapeleki moto kisawasawa kwa mwanamke si ishu. Ukitoa hela unapewa vituz ushindwe mwenyewe na uaibike mwenyewe. Hela zinaficha udhaifu wa mwanaume katika kufanya majamboz. Hela ni ishu, kushindwa kupanda mlima si ishu
 
Hapo sasa dada nisaidiee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna mtu aliwahi nambia "unavyopenda hela wewe utadhani ulizaliwa bank"

Hela ya kupewaa na bae tamuu, afu uwe Una muelewa sasa?? Kuna ka feelings ka pesa na upendo wa kweli vinakutanaa.
imagine [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Utapeli uliokubuhu
 
Hapo sasa dada nisaidiee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna mtu aliwahi nambia "unavyopenda hela wewe utadhani ulizaliwa bank"

Hela ya kupewaa na bae tamuu, afu uwe Una muelewa sasa?? Kuna ka feelings ka pesa na upendo wa kweli vinakutanaa.
imagine [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Acha kabisa....

Mimi hata nikiwa na Laki akanipa Elfu 50....Naipenda kuliko Laki yangu[emoji2]
 
Katika harakati zangu za moja na mbili na utafiti mchwara niliofanya bila kufata vigezo vya kisayansi na kiutaratibu wa utafiti wowote ule nimeweza kugundua yafuatayo;

Wanawake wengi hawana mapenzi ya kweli kabsa.

Wanawake wengi wanaingia kwenye mapenzi na Mwanaume au wanaume ili kujikwamua kiuchumi.

Wanawake wengi wanatichukulia wanaume kama gari la mshara.

Siku hizi hawajali wala hawataki habari za kiridhishwa wala kufikishwa kileleni, hela yako ndo nguvu za kiume.

Inchi 6 au 7 sio dili tena wanaume tutafute hela tuache kushinda gym maana hela ndo six pack sasa hivi usijichoshe na mivyuma.

Ukiwa na hela utosikia ukiitwa kibamia hata mkiichana kwa muda maana wanakauli yao siku hizi inasema " wenye hela anyimwi utamu hata kama mmeachana"

USHAURI: WANAUME WEZANGU HAWA WANAWAKE TUWACHAKATE TU KUOA TUSIWAOE WAHANA SHUKURANI
hili swala la kumridhisha mwanamke mbon tushaachaga kitambo,wengi makelele yao kwenye mtifuano ni ya kuigiza,mtu kaanza kupigwa mashine tangu 15 huko leo ana 26 unamuhangaikia kumridhisha ARE YOU MAD!!!
Kwenye sex jiridhishe wewe kwanza wenzio wakitoka kwako wana watu wao hao
 
hili swala la kumridhisha mwanamke mbon tushaachaga kitambo,wengi makelele yao kwenye mtifuano ni ya kuigiza,mtu kaanza kupigwa mashine tangu 15 huko leo ana 26 unamuhangaikia kumridhisha ARE YOU MAD!!!
Kwenye sex jiridhishe wewe kwanza wenzio wakitoka kwako wana watu wao hao
Ukweli mtupu
 
Back
Top Bottom