Wanawake tafuteni hela zenu ni raha sana

Mapenzi hunoga zaidi Kama mumekutanishwa na ku have fun, na sio sababu za njaa au umaskini hapo inakuwa ni ku fake, so naamini no real love Kati ya mtu maskini na mwenye vitu. So kila mtu akiwa fight inakuwa Raha, omba omba hushusha thamani hasa za kihisia
 
Huyo Manager wa lodge ana wezere?
 
Tatizo jingine linalokuwa kwa kasi ni hili la wanawake wenye uwezo kiuchumi kuchukua hadi tabia za kiume.

Anaoa mwanaume fulani, akimchoka anapiga chini na kuchukua mwingine. Unaweza kuona hili kwa Shilole, tena hawana aibu kabisa.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] sio tunaiga ni vile zamani wanawake hawakuwa na hela ndo Mana wakiteseka kuvumilia shida, mwenye hela kwa nini avumilie shida, maisha yenyewe mafupi haya
 
MDANGAJI: My nimepata dharura naomba Laki 7 nitakurudishia.
MIMI:............?
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] sio tunaiga ni vile zamani wanawake hawakuwa na hela ndo Mana wakiteseka kuvumilia shida, mwenye hela kwa nini avumilie shida, maisha yenyewe mafupi haya
Mwanamke akitumika sana anachoka na kukongoroka sana. Siyo sawa na mwanaume.

Sioni kama hili ni suala la kushindana mwishowe wanaume lao ni moja. Watakutumia tu huku wakiambizana.

Wakati huo wewe ukijawa na stress huku heshima yako ikishuka.

Unaweza kuwa na uwezo mzuri kiuchumi lakini ukawa very stressful. Furaha unaitafuta kwa mbinde.
 
. Sisi Wanaume tumekubaliana tunaomba ujengewe SANAMU YAKO PALE DODOMA
 
Lile tendo ni starehe hamna kychoka Wala kuchakaa acheni wanawake tu enjoy Life na vitu tuvipendacho at the end of the day kuzeeka kuko pale pale hata Kama hutumiki
 
Lile tendo ni starehe hamna kychoka Wala kuchakaa acheni wanawake tu enjoy Life na vitu tuvipendacho at the end of the day kuzeeka kuko pale pale hata Kama hutumiki
Hata pombe ni starehe ila inategemeana. Mwili siyo Jiwe.

Na mwili wa mwanamke ukitumika saana inakuwa ni balaa.

Baada ya muda watu wanapita mbali.
 
Hata pombe ni starehe ila inategemeana. Mwili siyo Jiwe.

Na mwili wa mwanamke ukitumika saana inakuwa ni balaa.

Baada ya muda watu wanapita mbali.
Hayo ni maneno yaliyoazishwa na wanaume Ili kunyima wanawake wasile raha
 
. Sisi Wanaume tumekubaliana tunaomba ujengewe SANAMU YAKO PALE DODOMA
Ahaaaa Ila hela yenu naipenda sema tu siiombagi mm kuna njia natumia niipate ionekane sijaiomba.

Hela ya mwanaume tamu jamani
 
Naaaam!, wanamwitA Miss Natafuta huyu ni dada yetu wa ukweeli, anapatikana hapa JF ila she is not for sale!. Anayo HELAA!!..
 
Una akili sana wewe [emoji122]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…