Basi tafrani tupu.Tunaowapenda hawatupendi wanaotupenda hatuwapendi📌
Ndio hivyo...mwanamke unamuheshimu mwanaume mwenye mihela..vipi besty....kuna dalili za ndoa lakini kwa huyo tall dark and handsome?
Mie nakupenda lakini wee unataka ambaye sio bodaboda🤣🤣🤣😂Tunaowapenda hawatupendi wanaotupenda hatuwapendi📌
Tatizo tunafanya maisha kuwa complicated sana as if tunaishi milele hilo ndo tatizo mara Sina hisia naeBasi tafrani tupu.
😂😂Alafu navowazmia bodaboda ukinipakia nashikilia kiuno 😂😂😂hebu njoo tuyajengeMie nakupenda lakini wee unataka ambaye sio bodaboda🤣🤣🤣😂
Love kwenye mahusiano ina-play part ndogo Sana ukishakua na watoto kadhaa ndo utaelewa nachoongea commitment ndo kitu Cha muhimu kwenye mahusianoTunaowapenda hawatupendi wanaotupenda hatuwapendi📌
Upo sahihiNisikilize madam !!Maisha unatakiwa kuwa na mpenzi mshkaji halafu mnapendana hatar hii itasaidia kutobagua dini wala kabila yaani una mshkaji mnapendana hata kuzaa mnazaa ila mnaweza msifunge ndoa hata miaka 10 mkawa mnaishi hata kama mna dini tofauti tatizo lenu wasichana watu mlikuwa nao kweny umri sawa yaani age mates mnawaona labda watoto mnaangukiwa kwa mizee mwisho wa siku kama unaishi na baba ako.
Lkn ikiwa hivo mwisho wake sio nzuriLove kwenye mahusiano ina-play part ndogo Sana ukishakua na watoto kadhaa ndo utaelewa nachoongea commitment ndo kitu Cha muhimu kwenye mahusiano
Shida kubwa ni kushindwa kuhimili pressure tunazokumbana nazo kwenye jamii,
Wadada tufanye mambo mengine hizo ndoa zitukutage mbeleni tusikimbilie too sad wengine mpaka tunajioa, yani ukampe mwanaume hela akulipie mahari upuuzi wa kiwango cha lami.
Mamkubwa zangu walishaniulizaga unaolewa lini nikawajibu, kama raha kuolewa waolewe mara ya pili ila tusiulizane mambo ambayo siamui mimi ebooo.
Alafu mkiwa washkaji Raha sanaNisikilize madam !!Maisha unatakiwa kuwa na mpenzi mshkaji halafu mnapendana hatar hii itasaidia kutobagua dini wala kabila yaani una mshkaji mnapendana hata kuzaa mnazaa ila mnaweza msifunge ndoa hata miaka 10 mkawa mnaishi hata kama mna dini tofauti tatizo lenu wasichana watu mlikuwa nao kweny umri sawa yaani age mates mnawaona labda watoto mnaangukiwa kwa mizee mwisho wa siku kama unaishi na baba ako.
Duniani tupo kwa mudaWengine wameanza na katabia ka kusema "basi Zaa hata upate mtoto tu kama mume hupati"
Sio kweli akili ya mwanadamu imepewa uwezo Mkubwa wa ku-learn na kuushawishi moyo na mwili maisha ni yako uchague kusuka au kunyoaLkn ikiwa hivo mwisho wake sio nzuri
😂Shida kubwa ni kushindwa kuhimili pressure tunazokumbana nazo kwenye jamii, na kujiona umri unakimbia.
Nyumbani kila siku uulizwe unaolewa lini wenzio wanaolewa tu, utafkiri we ndo unaamua sasa naolewa.
Bado hujaja kwa marafiki (wale wenye marafiki kama utitiri na asilimia kubwa wawe wameolewa) kila leo nao wakukomalie mara olewa shosti sa sijui ukaolewe mke wa pili na mume wake 😏
sasa kama hujielewi nawewe ndo unajitumbukiza tu popote ilimradi kasema ndoa ili tu wakuone nawewe kumbe unaweza kuolewa, kumbe maskini unayeenda kuolewa naye hisia naye tu hunaaa.
Wadada tufanye mambo mengine hizo ndoa zitukutage mbeleni tusikimbilie too sad wengine mpaka tunajioa, yani ukampe mwanaume hela akulipie mahari upuuzi wa kiwango cha lami.
Mamkubwa zangu walishaniulizaga unaolewa lini nikawajibu, kama raha kuolewa waolewe mara ya pili ila tusiulizane mambo ambayo siamui mimi ebooo.
[emoji28][emoji28] wewe jilipue tuMnanikatisha tamaa mbona mimi nna mpango wakujilipua
[emoji16][emoji16][emoji16]Hapo kwenye pesa alafu ikwishe daah,,kumuheshimu mwanaume usompenda ni mtihani sana
[emoji28][emoji28][emoji28]Ahahaaa hujui hata umri wangu we soma tu afu acha mambo ya umri niachie mwenyewe.
Njoo tujilipue mkuu...let's sail togetherMnanikatisha tamaa mbona mimi nna mpango wakujilipua
Watu Wana complicated utafikiri tunaishi milele hapa Dunia yaan unakuta mwanamke ana Lundo la vigezoDuniani tupo kwa muda