Sasa kama uko neutral itabidi uchague mwanamke ambaye utaweza kuishi nae kineutral neutral tu.. maana kuna muda utahitaji umagufuli na pia kuna muda unahitaji kwenda kidiplomasia na huyo mwanandani wako!
Tena nakushauri umdake huyu dada wakujiita Ladyred mtawezana sana.
Yes mwanamke anakwama ila mwanaume hakwami, kukwama kwa mwanaume ni matumizi mabaya ya uanaume wake.Mwanaume ni binadamu, kukwama kupo tuu! Mbona sie tunakwama?, na kazi tunafanya?!
Walikuwahiiii[emoji8]
Ila ulikataa kuniwowa!
Kifupi jinsi unavyomuelimisha mwanamke ndo jinsi anavyokuwa mpumbavu.
Wazee wa zamani hawakusomesha wanawake nimekuja kuwaelewa saivi kipindi ambacho tunaoa wasomi lakini tuna product ya watoto wajinga sana kuliko sie tuliolelewa na wamama wa elimu za kawaida
Hahah jipe moyo 😂😂😂utakuwa Mario tu, huna jipya.
You damn right chief! japo kuna watu hapa naamini umewaudhi kwa hii comment yako lakini ndio ukweli wenyewe.
For woman education/academic intelligence is insignificant when it comes to social life.
Wameprove hii kitu wenyewe, mabibi na mama zetu ambao wengi wao walikuwa ni ma illiterate wamezaa na kulea watoto katika misingi mizuri ambao leo hii wanaonekana majembe.
Lakini angalia hawa wa millennials wenye madegree na kuendelea, hawajui hata kulea, watoto wao ni wa ovyo sana!
Kwa kipi asamehewe!? kwa kuwa na mtazamo binafsi wa kiafidhina unaokinzana na wako au?
I’m not a conformist.
Wanaume wengine wamedekezwa kwao mimi nimwambie demu umetuacha je hata kama nnasiku mbili sijaala kama hawezi kujiongeza basi imepita.......but as man I will hussle tooth to nail, kuliko kuomba kujidhalilisha kwa demuHiyo kauli tu ndiyo imenistua, jamaa ni jasiri sana
@atoto anakuzingua achana naye, juzi tu hapa katoka kumpa mchumba 500k bila kuombwa[emoji23]Kwani yeye sio binadamu?
Hapo una uhakika kwamba ni wachache?
uhalisia audanganyi dada/kaka.
Tusiende mbali sana tuchukulie tu hii Jf kama sample, wanaume wanaoleta threads za vilio ni wanaume ambao wako kwenye mahusiano na wanawake wa kundi gani kama sio wasomi?
Pia sijasema kwamba wanawake ambao hawajasoma hawasumbui kwenye ndoa, wanasumbu ndio. Lakini udadi yao huwezi ukailinganisha na waliosoma.
Kwa kweli umetoa funzo zuri,ila nina swali kidogo kwakoMajibu ya mwanamke" Hivi wewe si ndo mwanaume, yaani unadiriki kuniambia jambo kama hilo,kwani mimi ndo mwanaume wa familia,wewe fanya mpango mle na wanao lakini sio kuniambia mambo ya ajabu"
Loh! Kaka wa watu mpaka nimemhurumia,
Kama wewe ni mkristo naomba usome Mithali 31:10-29Ila huyo kaka ana moyo nae kumuuliza mwanamke "Mbona umetuacha bila kitu ndani?
Kaka zangu tafuteni hela tafuteni hela mbebe majukumu yenu wenyewe
Ikiwezekana chekechea kabisa[emoji23][emoji23][emoji23]Lizarazu huyo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Najua watoto wake wa kike wataishia la3 C.
Umekaa ukafwatilia matatizo ya ndoa za wasomi,hizi nyingine umeangalia?Naombeni mnielewe mimi simaanishi kwamba wanawake wasiende shule. Shule ni muhimu tena sana kwa dunia ya leo. Mimi mwenyewe binti yangu lazima aende shule tena ntampeleka shule zenye ubora kuliko hata zile nilizosoma mimi.
Kilichonifanya mimi kuwa na mawazo hayo ni mambo ninayoyaona yakiendelea kwenye mahusiano/ndoa ambazo ni za wasomi(hasa mwanamke) jinsi gani zilivyokuwa na misuko suko kulinganisha na zile ambazo hazijengwi na wasomi(hasa mwanamke).
Kwanini ni uongo kwamba ndoa nyingi zinazovunjika ni zile ambazo zinaundwa na wasomi(hasa mwanamke)?
Ni uongo kwamba asilimia kubwa ya wanaume wanaoteswa na mahusiano yao ni wale walioa wanawake wasomi?
Ni uongo kwamba asilimia kubwa ya ndoa zinazoteswa na pepo la ubinafsi ni wasomi?
Sasa kama majibu ya hayo maswali hapo juu ni hapana, kwanini tusione kuna kasoro kubwa kwa mwanamke aliyesoma linapokuja suala la ndoa?
Sipingi watu wakuoa wasomi ila na tahadharisha tu kinachoweza kuwakuta hili wajiandae kwa lolote.
Wanawake waliosoma are good to be with but they have forgone their marriagibility for education/career.
Kumbe umeshamuona[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].Namuona tu anavyojitutumua humu
Kumbe umeshamuona[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].Namuona tu anavyojitutumua humu
HaahahahaAngekuwowa lakini umeishawolewa.
Usamehewe kwa maoni yako ya kukandamiza ke,nyie visababu vyenu mmevinyamazia or huvioni kwenye ndoa za wenzenu ila mnaconclude ya wanawake kuwa wasomi ndo shida
AiseeeYes mwanamke anakwama ila mwanaume hakwami, kukwama kwa mwanaume ni matumizi mabaya ya uanaume wake.
Sio kweeliiiii..... Wewe apo uliniachaWalikuwahiiii