Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 9,266
- 7,426
Huyo Mwanamke siyo mstaarabu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]rafik zake shetanTutafuteni pesa mabaharia la sivyo tuta-aibika sana na hawa rafiki zake shetani
Nb mwanamke ndo kiumbe pekee aliyeonana ana kwa ana na shetani na wakapiga story mwisho wa siku wakakubaliana kula tunda
So nikisema mwanamke ni rafiki yake shetani namaanisha hamuwezi kukubaliana kama hamn urafiki
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukikua utaacha.... Umesoma Stori nzima na kuielewa..???
Wewe, Kwa maneno haya, inaonyesha hata mumeo akifa, bado utamfuata kaburini akupe hela ya kutumia
Mmmmh wewe kwann umeniuliza hivyo? Siishi hukoKiongozi unaishi kimara?
Huu ujasiri hata shetani hasogei.
Maana nyie ndo kiumbe pekee mliyepiga story na shettani
Nyie hela zenu huwa mnatafuta za kufanyia nini hasa?
Ukikua utaacha.... Umesoma Stori nzima na kuielewa..???
Wewe, Kwa maneno haya, inaonyesha hata mumeo akifa, bado utamfuata kaburini akupe hela ya kutumia
Kwakweli nimestuka sana"umetuacha bila kitu" hii sentensi ina ukakasi
Ulitaka afanyaje
Kwakweli mimi binafsi siwezi kumwambia mke hivo eti "mbona umetuacha bila kitu ndani"....ntakufa nakiburi na njaa zangu kama yeye anaye ka jikoni hawezi kuona kama hamna chakula sina haja ya kuendelea nae kama mke,... how ever much I need her service, kwanini niishi namnyama ndani wakati options zipo nyingi
Nimecheka kinoma aisee.
Baharia naye kayumba sana, halafu anasimulia kabisa kwa watu wengine.
Kama ilivyoandikwa, tutakula kwa jasho...bora nikakope kuliko kumwambia wife anatuachaje. Inapunguza heshima...hiyo ni kwa upande wangu lakini.
Ndo maana nafikiria sana kuoa Tarime mwanamke wa kikurya awezi jibu hivyo
Nawaza tu kwa sauti
umesoma thread ukaelewa?Ila huyo kaka ana moyo nae kumuuliza mwanamke "Mbona umetuacha bila kitu ndani?
Kaka zangu tafuteni hela tafuteni hela mbebe majukumu yenu wenyewe
umesoma thread ukaelewa?
ni kwamba mwamba kapata mshaharaSijaelewa nieleweshe.
Yaani anakufaje hajatuacha na urithi wa kutosha[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]Atoto, inaonyesha mumeo hata akifa bado utataka atoe hela ya matumizi yako. MNADHANI WANAUME HATUISHIWAGI? MBAYA ZAIDI MNAJUWA HELA ZILIVYOPATIKANA NA MATUMIZI YAKE