Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Wa ligi hao.... Wanawezwa na shetani peke yake... Sisi hatutakuja kuwaelewa maana walipoumbwa tulikuwa tumelala.....ni kwamba mwamba kapata mshahara
1)kalipia pango
2) kainvest kwenye biznes
3) anakatwa kulipia mkopo bank
uwajibikaji upi ambao wewe unautaka??