Wanawake wa Babati ni wazuri kuliko uzuri wenyewe halafu hawaringi wala

Kumbe we tayari una tatizo la kksaikolljia la kujidharau kama mwafrika na kutukuza uarabu. Si uhamie uarabuni sasa uoe mwarabu kabisa? Au we mjomba wa DP WORLD?
 
KWA uchafu nakazia[emoji4]
 
Wageni wanababaika sana na rangi, na ule uchotara, ila hawana maumbo mazuri ya kutishia amani wana meno mabovu miguu spoku, na wengi wakizaa matumbo yanashuka balaa
[emoji38][emoji38][emoji38] duu
 
Duu watulivu hawapo
 
Kwa hiyo rangi ya Kiafrica ni mbaya?,itakuwa ww ni:
1.Limbukeni
2.Mshamba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…