Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa MamaMitano tena
HahahahaSherehe ya nini akitoka hapo nyumbani akaichape fresh.
Yeah hizo hazinaga mbwembweHakuna chakushangaza ni maamuzi tu, nakuziacha mbwembwe
Ndiyo hizo hizo
Kabisa, yaani ukikutana na binti hajalelewa na baba yake chapa ilale Ila usithubutu kuwa naye kwenye ndoa utajuta hawana heshima wala aibu ya kumueshimu mwanaume hata kidogo!mtoto wa single mother ana upuuzi mwingi sana wa kurithi uliomfanya mama yake awe single mother
What if huyo single mother ni widow?mtoto wa single mother ana upuuzi mwingi sana wa kurithi uliomfanya mama yake awe single mother
Ndioza uchumba sugu
Wamependeza ila si walienda ukumbini kusheherekea baada ya kutoka kanisani?
Akilijua Jiji atataka tu kuvaa shelaView attachment 3246243
1. Hakuna madeni
2. Hakuna kusumbua watu michango
3. Hakuna kupotezea watu muda kwa vikao vya mara kwa mara
Ila na tupate utambulisho wa kuwa hapo wapi,kunatukio gani,uhalali wake, mratibu nani,na msimamizi ni taasisi ipi,ya kidini ama kisirikali ,mchungaji kahusika ama kahusishwa ama hapo ndiozile za bomani au za mikataba?View attachment 3246243
1. Hakuna madeni
2. Hakuna kusumbua watu michango
3. Hakuna kupotezea watu muda kwa vikao vya mara kwa mara