Wanawake wa JF mbona huwa mnafunga PM zenu?

Wanawake wa JF mbona huwa mnafunga PM zenu?

Kuna kipind PM nyingi za wadada zilikua wazi baasi kila kukicha kukawa na nyuzi za masimango ati vyuma vimekaza wameacha wazi ili kujiuza vizuri na bla bla kibao. Saiv zimefungwa mnalalamika tena daah bora bwana jiwe atusomeshe namba vizuri watanzania kwa kulalamika tunaongoza
 
Mdada anaefunga Pm hajiamini na inawezekana akawa mwajuma mlango wazi ukibisha hodi tu ndani, sasa ili kukwepa hilo anaona bora afunge tu maana mtu anaejiamini anajua hili yes hili no so hana haja ya kufunga PM. Jf wangetoa kwanza hii kitu wengine kuanza kuanzishiana thread humu kisa mtu unamkubali lakini kafunga PM unaamua kwenda public hatuwezi mnatupa tabu kweli[emoji38] [emoji38] [emoji38] .
Wanadai kukereka na ujinga wanao ambiwa na sisi vidume
 
Kuna kipind PM nyingi za wadada zilikua wazi baasi kila kukicha kukawa na nyuzi za masimango ati vyuma vimekaza wameacha wazi ili kujiuza vizuri na bla bla kibao. Saiv zimefungwa mnalalamika tena daah bora bwana jiwe atusomeshe namba vizuri watanzania kwa kulalamika tunaongoza
Personal sijalalamika nimetaka kujua sababu za msingi tu za kufunga na sio kingine
 
Back
Top Bottom