Wanawake wa kiafrika ni wazuri sana ila wana roho mbaya na wana ile njaa ya chakula hatari

Kimantiki amefanya logical fallacy inaitwa "hasty generalization".
 
Hayajakukuta bado
 
Ni kweli kabisa brain ziro kwa sababu mama yako alitakiwa akutoe tumboni kwake kabla hujafika/hujakaa hata miezi mitatu, tena ni 0+ kabisa, ona matusi unayommiminia umefika mbali kututukana Hadi wazazi wa me wenzio, kwa ufupi Ke wote black, [emoji24][emoji24][emoji24]
 

Bro uko eneo gani la dunia ambalo unawafyagilia hivyo hao blonde (hair) with blue eyes.
 
Sina cha kusema leo. Ila nashare hizi tabia mbaya za white women
  • Feminism
  • Free dinner
  • Early Sex
  • Smoking and drinking
  • Divorce

All in all, white women are for the nice men. Imagine fighting if a man not opening a door for her.
 
Hiyo Aya ya mwisho umetuonya Yani kama vile Kuna bomu mahali hivyo hatutakiwi kupita.
 
E
English uliyofungia uzi inaonekana kabisa hujawahi muona mzungu hata mmoja ndani ya umbali wa mita 1
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…