ππππTatizo unakula sana mpaka ukamwagia chai yule jamaa punguza kula ona sasa umekua bongenyanya umefutuka balaa ila tako huna tukunye ma
Hii ni excuse ya watu wapumbavu, wakati mama Yako ni mwema kwako kwa wengine ni hovyowa kwanza mama yako...
Hahaaaa. Duuuh!Nadhani ingekuwa vizuri kusema wanawake unao-hang nao kama mama yako, Shangazi yako, mchepuko wa baba yako na kidemu chako.
Yani ulijua tu kuna mshashi hataiacha hii ipite salama siyo? πππThank youππ, I was busy scrolling searching for this comment.
Wamama walio tuzaa hawapo hivyo,
Tatizo Ni hichi kizazi Cha maigizo