Mtaalamu mm plan za ndoa sina kabisa wanawake wangu wote hili hua nawaweka wazi mwanzoniMapenzi mashenzi!!
Mkuu lakini na nyie mlikuwa mnasuburi nini kuoana mkaishi wote? Huenda labda bidada aliona huna mpango akaamua kuanza kujipa raha mwenyewe.
Tena umalaya Pro, mm nimeshangaa tu alivyonitext utadhani hamna kilichotokeabig no!
baada ya kuona jamaa hana mpango wa kuoa, bas angeolewa kwingne yangekuwa maamuzi ya busara.
alichokifanya ni uhuni tu al-maarufu kama "umalaya" wala huyo sio mke bora.
nakumbusha: mwizi hapendi aibiwe!
Kuchapiwa kumeniuma sikatai japo nauwezo wa kupoteza mm kinachoniuma ni mchumba kunitext as if hamna kilichotekea yaniYes, anadhani ni yeye pekee ndie anastahili kupata utamu wa matunda mbalimbali. Niko na Kevoo hapa, anasema mleta mada ni phaller!
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Nimeona hapo juu, umesema hauna plans za ndoa na mademu zako wote wanajua. Sasa why so serious?Kuchapiwa kumeniuma sikatai japo nauwezo wa kupoteza mm kinachoniuma ni mchumba kunitext as if hamna kilichotekea yani
Sasa si hata mtoa mada na yeye sio mume bora.big no!
baada ya kuona jamaa hana mpango wa kuoa, bas angeolewa kwingne yangekuwa maamuzi ya busara.
alichokifanya ni uhuni tu al-maarufu kama "umalaya" wala huyo sio mke bora.
nakumbusha: mwizi hapendi aibiwe!
Basi usimlaumuMtaalamu mm plan za ndoa sina kabisa wanawake wangu wote hili hua nawaweka wazi mwanzoni
Wana tofauti gani na mpingo sasaKama kawaida
Bata hao
Wao wakicheat ni halali
Ke akicheat ni haramu
Wako kama 🚮Wana tofauti gani na mpingo sasa
Mule mule yaani
Kuchapiwa kumeniuma sikatai japo nauwezo wa kupoteza mm kinachoniuma ni mchumba kunitext as if hamna kilichotekea yani
Yan kwamba ndo cheaters 🤣Wanawake wafupi ndio walivyo hata usiumize kichwa
big no!
baada ya kuona jamaa hana mpango wa kuoa, bas angeolewa kwingne yangekuwa maamuzi ya busara.
alichokifanya ni uhuni tu al-maarufu kama "umalaya" wala huyo sio mke bora.
nakumbusha: mwizi hapendi aibiwe!
aah! hivi wewe Chura, mwanamke huna mpango wa kumuoa alafu unataka ujimilikishe?!Sasa si hata mtoa mada na yeye sio mume bora.
Basi usimlaumu