Wanawake wa kizazi hiki mbona hawana hofu ya Mungu jamani?

Wanawake wa kizazi hiki mbona hawana hofu ya Mungu jamani?

Mapenzi mashenzi!!

Mkuu lakini na nyie mlikuwa mnasuburi nini kuoana mkaishi wote? Huenda labda bidada aliona huna mpango akaamua kuanza kujipa raha mwenyewe.
Mtaalamu mm plan za ndoa sina kabisa wanawake wangu wote hili hua nawaweka wazi mwanzoni
 
big no!

baada ya kuona jamaa hana mpango wa kuoa, bas angeolewa kwingne yangekuwa maamuzi ya busara.

alichokifanya ni uhuni tu al-maarufu kama "umalaya" wala huyo sio mke bora.

nakumbusha: mwizi hapendi aibiwe!
Tena umalaya Pro, mm nimeshangaa tu alivyonitext utadhani hamna kilichotokea
 
Wewe ndio mwenye tatizo!! Kwanini sasa ulihama kule ulikokua nwanzo? Ona sasa umeshuhudia ambavyo havikuhusu.

Siku nyingine upunguze kiherehere.
Aisee ndo maana mnapigwa risasi nyanoko nyie
 
Kevoo hana baya kawakilisha utawala, mbwalambwala kiulaini kabisa
Afu mwana sijammind wala nn sema tu namhurumia yeye kaoa kabisa siku mkewe akiliwa sijui atajisikiaje
 
Yes, anadhani ni yeye pekee ndie anastahili kupata utamu wa matunda mbalimbali. Niko na Kevoo hapa, anasema mleta mada ni phaller!

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Kuchapiwa kumeniuma sikatai japo nauwezo wa kupoteza mm kinachoniuma ni mchumba kunitext as if hamna kilichotekea yani
 
Kuchapiwa kumeniuma sikatai japo nauwezo wa kupoteza mm kinachoniuma ni mchumba kunitext as if hamna kilichotekea yani
Nimeona hapo juu, umesema hauna plans za ndoa na mademu zako wote wanajua. Sasa why so serious?

Huyo demu anajua relationship yenu sio serious, na anaitreat hivyo. You should do the same!
 
big no!

baada ya kuona jamaa hana mpango wa kuoa, bas angeolewa kwingne yangekuwa maamuzi ya busara.

alichokifanya ni uhuni tu al-maarufu kama "umalaya" wala huyo sio mke bora.

nakumbusha: mwizi hapendi aibiwe!
Sasa si hata mtoa mada na yeye sio mume bora.
Mtaalamu mm plan za ndoa sina kabisa wanawake wangu wote hili hua nawaweka wazi mwanzoni
Basi usimlaumu
 
Yaani uzi wa maneno 3200 kisa kusema kahaba kaliwa upo serious kweli![emoji276]?
 
Aaaah man, hawa majanake ya siku hizi hakuna asiyetobolewa na wengine ati kwamba ni mali yako peke yako boss!!

Vumilia, na kila siku jipange kwa drama zao maana ndio kawaida yao tu!!
 
big no!

baada ya kuona jamaa hana mpango wa kuoa, bas angeolewa kwingne yangekuwa maamuzi ya busara.

alichokifanya ni uhuni tu al-maarufu kama "umalaya" wala huyo sio mke bora.

nakumbusha: mwizi hapendi aibiwe!

Ndoa ndio ingemzuia G au Kevoo kupapurana?
 
Sasa si hata mtoa mada na yeye sio mume bora.

Basi usimlaumu
aah! hivi wewe Chura, mwanamke huna mpango wa kumuoa alafu unataka ujimilikishe?!
wewe hutaki kuoa, yeye anataka kuolewa, so usimuwekee mipaka kama humuoi!
au sio Tamarri
 
Kisa kimekutokea ni kama ilivyomkuta msela MABESTE..
Tukio lilikuwa baya sana hadi kumpoteza kwenye ramani ya muziki.

Msela kukutombeaa inauma sana
 
Back
Top Bottom