omutimbasafi
JF-Expert Member
- Oct 17, 2017
- 609
- 770
Mkuu mimi nikitakie kila kheri katika kufuata upepo wa muda.huu uzi utapata like nyingi za kuupongeza kutoka kwa wanaume wengi bahiri;watoto wengi wanazaliwa na vipara wewe unafikiri huko mbeleni utapata warembo natural;maisha yanabadilika kulingana na wakati ;chakula cha kwenye oven ;dawa za kuzuia mimba kwa mtoto wa darasa la 3 ;bado una ndoto ya kupata warembo natural;tuishi kulingana na mda;ni watu wachache sana wanaoishi kwa inside yao ,wengi wanaiga kile kinachofanywa na wengi.
safi sema mtandao hadi nipande juu ya mti ndio naingia jf. ndio ukaamua uondoka kimya kimya kisa kukushikisha jembe😉Mie pia.
Habari za shamba?
Acha tu!...
ameshirikishwa aston martin ya rick rossAnaitwa Chrisette Michelle
They are very beautiful lakini sijui kwanini wanajivurugaga bwana!Acha tu!...
Ewaaah,ameshirikishwa aston martin ya rick ross
Wanaume tunapenda weupe sana tatizo!... Ingawa kweli weupe mzuri ila kuna weusi kama haona hizo style kichwani lazima uchanganyikiwe kidogo!..They are very beautiful lakini sijui kwanini wanajivurugaga bwana!
Mimi nawapenda wale weusi wenye macho makubwa ya duara. Dah hunikosha sana.Kuna kitu cha kipekee sana juu ya wanawake ambao wako hivi,
Sijui ni mimi tu na macho yangu, lakini mwanamke wa hivi naweza honga hata nyumba.
Huwa najikuta nawapenda bure tu...Rangi ya ngozi na nywele zao bado za asili...
Rai yangu: wanawake wa Kiafrika ni wazuri sana na Mungu aliwapendelea, msijiharibu ngozi zenu....
View attachment 860406View attachment 860410View attachment 860411View attachment 860440View attachment 860481
Mimi nawapenda wale weusi wenye macho makubwa ya duara. Dah hunikosha sana.
Kama huyo kaka,vipi una album kabisa mkuu?
Huyu ni Diana Ross mzee,Kama huyo kaka,vipi una album kabisa mkuu?
[emoji23][emoji23][emoji23]hukuona kama kucha yangu ilikatika?safi sema mtandao hadi nipande juu ya mti ndio naingia jf. ndio ukaamua uondoka kimya kimya kisa kukushikisha jembe😉