Wanawake wa Pemba na Kanda ya Ziwa wapigwe sindano ya uzazi wa mpango kwa lazima, wanatesa watoto

Wanawake wa Pemba na Kanda ya Ziwa wapigwe sindano ya uzazi wa mpango kwa lazima, wanatesa watoto

Kusema kweli ni kuomba Mungu kama kakujalia chakula unakula na wanao ushukuru niliwahi kufika shinyanga vijijini kipindi Cha kiangazi kwenye Kijiji Fulani nikaona nikashuhudia watt walivyochoka nikajua ni kwann watt wengi kule wanakataa kwenda kidato Cha kwanza..... Boda boda miaka 24 wake wawili na ana wtt SITA.
Mwaka huu mvua sio nzuri mavuno yatakuwa sio mazuri ,hali ya familia ni kumuomba Mungu tu
 
Naandika nikiwa Simiyu baada ya kutoka safarini Pemba

Nimetembea mikoa mingi Tanzania ila haya maeneo tajwa yanashangaza.

Karne hii mwanamke anazaa watoto kumi!!!

Nilichogundua, wanawake wengi huku hawajui mensturation cycle inafanyaje kazimama mtu mzima hajui tarehe yake ya kuwa hedhini, hajui siku za hatari na salama ni zipi.

Unakuta mama ana mtoto wa miezi mitatu tayari ana mimba. Kabla hajakaa sawa binti yake wa miaka 15 naye ni mjamzito. Yaani unakuta mjomba ni mdogo kiumri kuliko mpwa wake. Imetokea mara kadhaa mama na binti yake wanakutana labor kujifungua, sasa, sasa mtoto wa huyu binti unakuta wakati mwingine ananyonya maziwa ya bibi yake maana nae ananyonyesha.

Itungwe sheria watoto mwisho watano tu.

Hali ya chakula sio nzuri siku hizi, mabadiko ya tabianchi yameathiri kilimo, watoto hawashibi, wakishiba ni vyakula visivyo na virutubisho

Mtoto mpaka anavunja ungo hajawahi kula yai, soseji, nyama mpaka mbuzi afe,maziwa mpaka unywe sumu bahati mbaya,mtoto hajui hata kiatu kinavaliwaje.

Acheni kutesa watoto mtoto ana haki ya kunyonya miaka miwili
tulia wewe, Tanzania kubwa hii kwani kuna mtoto ukiwa hapo Simiyu ashakuja kukuomba nyonyo.!
 
Naandika nikiwa Simiyu baada ya kutoka safarini Pemba

Nimetembea mikoa mingi Tanzania ila haya maeneo tajwa yanashangaza.

Karne hii mwanamke anazaa watoto kumi!!!

Nilichogundua, wanawake wengi huku hawajui mensturation cycle inafanyaje kazimama mtu mzima hajui tarehe yake ya kuwa hedhini, hajui siku za hatari na salama ni zipi.

Unakuta mama ana mtoto wa miezi mitatu tayari ana mimba. Kabla hajakaa sawa binti yake wa miaka 15 naye ni mjamzito. Yaani unakuta mjomba ni mdogo kiumri kuliko mpwa wake. Imetokea mara kadhaa mama na binti yake wanakutana labor kujifungua, sasa, sasa mtoto wa huyu binti unakuta wakati mwingine ananyonya maziwa ya bibi yake maana nae ananyonyesha.

Itungwe sheria watoto mwisho watano tu.

Hali ya chakula sio nzuri siku hizi, mabadiko ya tabianchi yameathiri kilimo, watoto hawashibi, wakishiba ni vyakula visivyo na virutubisho

Mtoto mpaka anavunja ungo hajawahi kula yai, soseji, nyama mpaka mbuzi afe,maziwa mpaka unywe sumu bahati mbaya,mtoto hajui hata kiatu kinavaliwaje.

Acheni kutesa watoto mtoto ana haki ya kunyonya miaka miwili
Moja ya kati ya ujinga utaowaangamiza watanzania wengi ni kufyatua watoto bila mipango... ikifika 2030 watalia na kusaga meno...
 
Moja ya kati ya ujinga utaowaangamiza watanzania wengi ni kufyatua watoto bila mipango... ikifika 2030 watalia na kusaga meno...
Na hizi mvua za kuunga unga we subiri tu
 
Umefika Singida kweli?, huko unaweza ukajiuliza mtu ameanza lini kujamiiana maana huko binti ana miaka 17 ila ana watoto wawili tayari na ni kitu cha kawaida sana. Yaani ukiwana miaka 35 wewe ni babu na wajukuu hata watatu.

Huwanajiuliza sana wanaanza mapenzi na miaka mingapi hadi wajifungue fresh na wabebe tena hata mimba 13 na wapo fresh tu
 
Mama zao wananisumbua sana kutwa kuomba omba hadi mchicha pori
wasaidie bure bro.. umezaliwa umevikuta utaondoka utaviacha... Binafsi najisikia raha sana kuombwa msaada ambao upo ndani ya uwezo wangu.
 
Hii nchi ni kubwa sana, Naunga mkono hoja watu wazaliane kwa fujo na katika wengi tutapata wengi wazuri na mwishowe wataibadilisha Tanzania Yetu.
 
wasaidie bure bro.. umezaliwa umevikuta utaondoka utaviacha... Binafsi najisikia raha sana kuombwa msaada ambao upo ndani ya uwezo wangu.
Ndugu yangu huku kuna ushirikina pia ,sitaki mazoea,watu wanarogea vitu unavyotoa au kupokea,naishi kwa tahadhari sana,tangu nizaliwe nilikuwa sijawahi kuona mtu akiwanga ila huku niliona live saa tisa usiku
 
Umefika Singida kweli?, huko unaweza ukajiuliza mtu ameanza lini kujamiiana maana huko binti ana miaka 17 ila ana watoto wawili tayari na ni kitu cha kawaida sana. Yaani ukiwana miaka 35 wewe ni babu na wajukuu hata watatu.

Huwanajiuliza sana wanaanza mapenzi na miaka mingapi hadi wajifungue fresh na wabebe tena hata mimba 13 na wapo fresh tu
Tena hakuna anayejifungua kwa operation,hawa wanawake ni noma,nimeona huku miaka 20 ana watoto wawili wakubwa tu
 
N
Naandika nikiwa Simiyu baada ya kutoka safarini Pemba

Nimetembea mikoa mingi Tanzania ila haya maeneo tajwa yanashangaza.

Karne hii mwanamke anazaa watoto kumi!!!

Nilichogundua, wanawake wengi huku hawajui mensturation cycle inafanyaje kazimama mtu mzima hajui tarehe yake ya kuwa hedhini, hajui siku za hatari na salama ni zipi.

Unakuta mama ana mtoto wa miezi mitatu tayari ana mimba. Kabla hajakaa sawa binti yake wa miaka 15 naye ni mjamzito. Yaani unakuta mjomba ni mdogo kiumri kuliko mpwa wake. Imetokea mara kadhaa mama na binti yake wanakutana labor kujifungua, sasa, sasa mtoto wa huyu binti unakuta wakati mwingine ananyonya maziwa ya bibi yake maana nae ananyonyesha.

Itungwe sheria watoto mwisho watano tu.

Hali ya chakula sio nzuri siku hizi, mabadiko ya tabianchi yameathiri kilimo, watoto hawashibi, wakishiba ni vyakula visivyo na virutubisho

Mtoto mpaka anavunja ungo hajawahi kula yai, soseji, nyama mpaka mbuzi afe,maziwa mpaka unywe sumu bahati mbaya,mtoto hajui hata kiatu kinavaliwaje.

Acheni kutesa watoto mtoto ana haki ya kunyonya miaka miwili
Aunga hoja
 
Kuna mmoja alitumia dawa za uzazi wa mpango akakondeana, makalio na matiti yakawa flat. Ikabidi atafute makalio na matiti bandia kuweka umbo lake apendeze
kuzuia uzazi sio kitu rahisi

Nahis mungu anataka watu wafyatue tu,maana wanawake wengi wanaotumia uzazi wa mpango wanakosa nuru unakuta wamepauka pauka tu
 
kuzuia uzazi sio kitu rahisi

Nahis mungu anataka watu wafyatue tu,maana wanawake wengi wanaotumia uzazi wa mpango wanakosa nuru unakuta wamepauka pauka tu
Basi wanyonyeshe angalau miaka miwili
 
Naandika nikiwa Simiyu baada ya kutoka safarini Pemba

Nimetembea mikoa mingi Tanzania ila haya maeneo tajwa yanashangaza.

Karne hii mwanamke anazaa watoto kumi!!!

Nilichogundua, wanawake wengi huku hawajui mensturation cycle inafanyaje kazimama mtu mzima hajui tarehe yake ya kuwa hedhini, hajui siku za hatari na salama ni zipi.

Unakuta mama ana mtoto wa miezi mitatu tayari ana mimba. Kabla hajakaa sawa binti yake wa miaka 15 naye ni mjamzito. Yaani unakuta mjomba ni mdogo kiumri kuliko mpwa wake. Imetokea mara kadhaa mama na binti yake wanakutana labor kujifungua, sasa, sasa mtoto wa huyu binti unakuta wakati mwingine ananyonya maziwa ya bibi yake maana nae ananyonyesha.

Itungwe sheria watoto mwisho watano tu.

Hali ya chakula sio nzuri siku hizi, mabadiko ya tabianchi yameathiri kilimo, watoto hawashibi, wakishiba ni vyakula visivyo na virutubisho

Mtoto mpaka anavunja ungo hajawahi kula yai, soseji, nyama mpaka mbuzi afe,maziwa mpaka unywe sumu bahati mbaya,mtoto hajui hata kiatu kinavaliwaje.

Acheni kutesa watoto mtoto ana haki ya kunyonya miaka miwili
Mrs Lissu aione kwenye jalada
 
Hakuna cha sheria kutungwa, kila mmoja azae kulingana na uwezo wake aliojaliwa, pamoja na kuweza kuwapa mahitaji.
Halafu kwa mawazo haya mje kuzilaumu serikali zenu kuwa mbona umasikini hauishi!!Jiwe aliwadanganya eti china ina uchumi mkubwa duniani kutokana na idadi kubwa ya raia wake!!!
 
Back
Top Bottom