Wanawake wa Shinyanga hatari tupu, Kajala, mke wa Masanja na mke wa Haji Manara wote kwao Shinyanga

Ukitaka kuoa tuliza akili yako, usioe kwa akili za nyege, usioe kisa fulani kaoa, usioe kuonesha watu.. Utakula za uso.
Kabisa,japo unaweza tuliza kichwa,na akaficha makucha ukaangukia ya kichwa
 
Mapigo wanajibiwa wanaume wenye effeminate characters tu, Masicular men hatolewi kwenye reli kizembe.
 

Attachments

  • IMG_20221219_121933.jpg
    65.7 KB · Views: 7
Ukiwaletea ulokole mwingi unakufa siku si zako
 
Si ndo 50 50....yaan ndoa saivi ni full mashindano.Haeleweki mume ni yupi,mke ni yupi
Ni kweli. Kuna jamaa yangu mmoja namfahamu, yeye na mke wake ni kama wako kwenye ''open relationship''. Mke akipa nafasi anachepuka, mume naye akipata chance anajibu mapigo. Wakiishi wote kwa mwezi mmoja, mwezi wa pili wanatengana, baada ya mwezi tena wanarudiana. Ila watoto wanazaa pamoja.
 
Si unaona! Ushetwani mtupu
 
Sema mke anazalishwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…