Wanawake wakifikia miaka 30 kwenda mbele unaweza kuwahurumia, sema ndiyo hivyo una familia

Hongera baba.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ety msafara wa nyumbu haaahaaa
 
Ndo kwenye kesi ya ndoa sikiliza tu hadi mwisho. Waulize kwan mnatakaje. Jibu lao ndo hilo hilo unakazia. Hata wakisema tumeamua tujiue tumeshikana,.. pitisha!
Watu wanaingilia kes za mapenz kama za mashamba mwisho huonekana wabaya. Mambo ya kihisia ni ya ovyo sana!
 
Sio Africa tu hili ni suala liko almost kila sehemu kwa sababu uwe mwanamke au mwanamme huwezi wewe kuwa unazurura tu huna mke wa mme unatembea barabarani au ndugu zako au rafiki zako unakutana nao wana wenza wao na wana watoto zao kwanini usitamani na au kuumia na wewe. Haijalishi unapesa kiasi gani kama huna family ni bure, yale maneno ya kujifariji kwani lazima kuowa au kuolewa? sio lazima ndio lakini ni jambo linakupa faraja ndio maana siku yako ya harusi inakuwa ya furaha ni special day
Tatizo kiafrika kuoa/olewa kunahesabika kama "mafanikio" katika maisha. Hata uwe na hela vipi, kama hujaoa/olewa bado watu watakuangalia kama mtu ulie feli maisha..! Unaonekana mhuni tu..
 
Huu ushauri niliwahi kuufuata ila nimekuja kungudua bora nionekane mbaya lakini cha msingi nitoe ukweli na ushauri sahihi
Nilichokuja kugundua ni kwamba mwisho wa yote kwa muwa yule ni ndugu yako mabaya yatakayo tokea kwenye uhusiano wao yatanigusa. Sasa mie hizo stress sitaki. Bora stress ya kuonekana mbaya lakini nimewapa ukweli wa mambo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…