Wanawake Wananichosha Hapa Tu..!!

Wanawake Wananichosha Hapa Tu..!!

Kuna Madem ni shidaaa Msione wanasali makanisani
kwa Kulia hadi makamasi mkajua wanaombea Nchi
yetu isiingie Vitani,au wanaombea Mayatima,Kuna
Madem wanalia na
kulia na Mengi,Wengine wanaomba Waume Zao
wafe ili Walithi Nyumba..Huwa Nikiwaza Kuoa natetemeka mpaka najisikia kunena kwa Lugha
RikababantarikatakayasatahabatarekisataraKANT
ANGAZEshataayahma
MUNGU SAIDIA KIZAZI HIKI!
Kazi kulaumu wanawake tu lakini weee binafsi una michepuko mingapi??
 
Kuna Madem ni shidaaa Msione wanasali makanisani
kwa Kulia hadi makamasi mkajua wanaombea Nchi
yetu isiingie Vitani,au wanaombea Mayatima,Kuna
Madem wanalia na
kulia na Mengi,Wengine wanaomba Waume Zao
wafe ili Walithi Nyumba..Huwa Nikiwaza Kuoa natetemeka mpaka najisikia kunena kwa Lugha
RikababantarikatakayasatahabatarekisataraKANT
ANGAZEshataayahma
MUNGU SAIDIA KIZAZI HIKI!
Tutue babu wee! Heee kila siku wanawake kila siku wanawake kwan mnadhani sie hatuoni ya kwenu MMU sio kila siku lawama kwa wanawake hebu anzishen hata Uzi wa kutusifia Mara moja moja Mtutue watoto wa wenzenu
 
Tutue babu wee! Heee kila siku wanawake kila siku wanawake kwan mnadhani sie hatuoni ya kwenu MMU sio kila siku lawama kwa wanawake hebu anzishen hata Uzi wa kutusifia Mara moja moja Mtutue watoto wa wenzenu
Sasa kama mnavurunda tusiwaambie????
Hii ndo ile wahuni tunaiitaga
''OMBA SAMAKI UPEWE NYOKA/ OMBA UPEWE USICHOTAKA''
 
Sasa kama mnavurunda tusiwaambie????
Hii ndo ile wahuni tunaiitaga
''OMBA SAMAKI UPEWE NYOKA/ OMBA UPEWE USICHOTAKA''
Kwaiyo wewe unaona ni wanawake tu ndo wakosefu? Ama kweli ukistaajabu ya Musa utayaona ya Filauni,
 
Kwaiyo wewe unaona ni wanawake tu ndo wakosefu? Ama kweli ukistaajabu ya Musa utayaona ya Filauni,
Sasa nyinyi si mmeumbwa ili tuwaongoze??? Tusipowaambia ukweli si tutapata dhambi????? Sometimes tukiwachana muwe mnashukuru mungu
 
Back
Top Bottom