Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 7,186
- 14,274
Huna akili, penye ukweli hapachagui awe Mama Mzazi, Shangazi, Mke, Dada, Bibi, wala Baba Mzazi, Mjomba, Mume, Kaka, Babu n k ilimradi ujumbe unahusu jinsi Ke au Me basi wote hao ni Wahusika.Mfano hai kabisa mama yako kafuata chakula kwa baba yako au unaropoka tu mkuu muda mwingine waheshimuni hawa wanawake japo wachache wanazingua ila sio dili sana kuwananga kila saa kama vile jinsia me imekamilika wakati wapo wanaume wangese tu
π nafurahi kwa hilo mamy.Niko poa sana kipenziπ
Kwamba kabla mtu hajatenda huanza kuwaza au kufanya imagination wengine huita ndoto.Kanuni ipi ya asili niliyokana
Sheikh unataka mhe.Samiha afukuzwe kazi akampikie mumewe chai ya mchaichai..!π€£π€£MY TAKE: Wanawake wafukuzwe kazi.
Wewe ndio huyo mwanasheria nini..?Was Arusha necessary?? Ungesema tu kuna huyu mdada, au kuna hii ndoa mke wake ni mwanasheria.
Why Arusha? Komwe lako..
ππ Mchawi tena khaa! Muache acheke aongeze siku za kuishi.π nafurahi kwa hilo mamy.
Namuona mchawi anacheka tu, hapa sio salama kwa salamu π
Hapa hapatufai tuchukue tahadhari mara moja tafadhali, nadhani unajua ni kipi cha kufanya mahi diha πππ Mchawi tena khaa! Muache acheke aongeze siku za kuishi.
Kwa kutumia human physiology na physchologyKwanza ni kwa misingi ipi na umetumia vigezo gani kuhitimisha hilo
Binadamu anahiitaji Ndoa zaidi akiwa na miaka 20 na 40 haijalishi jinsi na jinsia.Ni kwa sababu jamii imeshawaaminisha wanawake kwamba ndoa ni muhimu zaidi kwao ndio maana wanaitetea na ndicho wanaume wanachotaka, lakini kiuhalisia ndoa ni muhimu zaidi kwa mwanaume kuliko kwa mwanamke hata mkibisha huo ndio ukweli hili tunaliona pale jinsia zote zinapofika uzeeni, siku jamii ikiacha kumnyooshea kidole mwanamke asiyeolewa na wanawake wakaacha kupapatikia ndoa ndio siku wanaume watakapojua mbivu na mbichi
NakaziaMwanamke mwenye kazi, mshahara mnono, nyumba na gari, hawezi kumuheshimu mumewe vile inavopaswa.
Ndoa ni kama taasisi ya kitapeli ambayo mwanamke anaitumia kukidhi mahitaji yake. Kinyume na hapo, mwanamke hana haja na ndoa.
Kuna dada mmoja ni mwanasheria yupo Arusha, hawezi japo kumpikia chai mumewe. Muda wote yuko kazini, na akirudi hana muda.
Anajua mumewe ni kama kikaragosi ambacho hakimtishi kwa lolote.
Kwa mantiki hiyo, nihitimishe kwa kusema kwamba, unyenyekevu wa mwanamke katika ndoa ni danganya toto ili aweze kuendelea kupata mahitaji yake ikiwemo chakula na mavazi.
Akifanikiwa kuvipata hivyo bila usaidizi wako, atakunjua makucha yake rasmi akucharange kama shumileta.
Unyenyekevu ni utapeli. Hadaa ya kuchuma mali.
Mwanamke mwenye fedha ni mwanaume mwenzio. Ukimkoromea anakucharaza bakora.
MY TAKE: Wanawake wafukuzwe kazi.
Kumbe ukiondoa akili za uchawa wa maiti Huwa unakuwa mtu ππMwanamke mwenye kazi, mshahara mnono, nyumba na gari, hawezi kumuheshimu mumewe vile inavopaswa.
Ndoa ni kama taasisi ya kitapeli ambayo mwanamke anaitumia kukidhi mahitaji yake. Kinyume na hapo, mwanamke hana haja na ndoa.
Kuna dada mmoja ni mwanasheria yupo Arusha, hawezi japo kumpikia chai mumewe. Muda wote yuko kazini, na akirudi hana muda.
Anajua mumewe ni kama kikaragosi ambacho hakimtishi kwa lolote.
Kwa mantiki hiyo, nihitimishe kwa kusema kwamba, unyenyekevu wa mwanamke katika ndoa ni danganya toto ili aweze kuendelea kupata mahitaji yake ikiwemo chakula na mavazi.
Akifanikiwa kuvipata hivyo bila usaidizi wako, atakunjua makucha yake rasmi akucharange kama shumileta.
Unyenyekevu ni utapeli. Hadaa ya kuchuma mali.
Mwanamke mwenye fedha ni mwanaume mwenzio. Ukimkoromea anakucharaza bakora.
MY TAKE: Wanawake wafukuzwe kazi.
NAKAZIANdoa ni kama taasisi ya kitapeli ambayo mwanamke anaitumia kukidhi mahitaji yake. Kinyume na hapo, mwanamke hana haja na ndoa
Unapenda sana ligi wewe. Sasa wanaume wenyewe wanaikandia ndoa hata waliooa tunakesha nao bar ukiwauliza vipi wanasema home makelele halafu wewe upo hapa unasema ndoa ina umuhimu kwa wanaume, yaani wanaume wenyewe hawaitaki ila wewe ambae sio mwanaume unasema ina umuhimu kwao, hivi ni mzima kweli wewe?Ni kwa sababu jamii imeshawaaminisha wanawake kwamba ndoa ni muhimu zaidi kwao ndio maana wanaitetea na ndicho wanaume wanachotaka, lakini kiuhalisia ndoa ni muhimu zaidi kwa mwanaume kuliko kwa mwanamke hata mkibisha huo ndio ukweli hili tunaliona pale jinsia zote zinapofika uzeeni, siku jamii ikiacha kumnyooshea kidole mwanamke asiyeolewa na wanawake wakaacha kupapatikia ndoa ndio siku wanaume watakapojua mbivu na mbichi
Usitoke kwenye point zingatia sana πππHuna akili, penye ukweli hapachagui awe Mama Mzazi, Shangazi, Mke, Dada, Bibi, wala Baba Mzazi, Mjomba, Mume, Kaka, Babu n k ilimradi ujumbe unahusu jinsi Ke au Me basi wote hao ni Wahusika.
Una uhakika gani Mama/Baba yako Mzazi hakuwa na upumbavu kwa mwenzi wa ndoa au unadhani hao ni Malaika hawakosei?
Kila sentensi niliyosoma nakubaliana nawe 100%Mwanamke mwenye kazi, mshahara mnono, nyumba na gari, hawezi kumuheshimu mumewe vile inavopaswa.
Ndoa ni kama taasisi ya kitapeli ambayo mwanamke anaitumia kukidhi mahitaji yake. Kinyume na hapo, mwanamke hana haja na ndoa.
Kuna dada mmoja ni mwanasheria yupo Arusha, hawezi japo kumpikia chai mumewe. Muda wote yuko kazini, na akirudi hana muda.
Anajua mumewe ni kama kikaragosi ambacho hakimtishi kwa lolote.
Kwa mantiki hiyo, nihitimishe kwa kusema kwamba, unyenyekevu wa mwanamke katika ndoa ni danganya toto ili aweze kuendelea kupata mahitaji yake ikiwemo chakula na mavazi.
Akifanikiwa kuvipata hivyo bila usaidizi wako, atakunjua makucha yake rasmi akucharange kama shumileta.
Unyenyekevu ni utapeli. Hadaa ya kuchuma mali.
Mwanamke mwenye fedha ni mwanaume mwenzio. Ukimkoromea anakucharaza bakora.
MY TAKE: Wanawake wafukuzwe kazi.
Wadada wa kizazi cha Instagram hampendi kupikia waume zenu, hata kama hamjaajiriwa masaa 24 mnashinda nyumbani PalinaNafikiri mkaka kijana awe na mitazamo chanya juu ya ndoa
Aoe kwa sababu anampenda fulani
Aoe kwa sababu anahitaji kujenga familia na fulani provided that mtashirikiana sio kwenye tendo tu hata basic chores
Sio uoe kwasababu unataka mtu akuheshimu, akunyenyekee kwani we MUNGU?
Sio uoe ufuliwe, upikiwe kwani yeye.ni mtumwa provided that na yeye ana damu sio roboti kwamba anaeza mtumikisha kwa kila kitu
Nafikiri wazazi sasa wawaeleweshe hawa wanawake vijana wajitambue aisee ππ
NAKAZIA π€Mwanamke mwenye kazi, mshahara mnono, nyumba na gari, hawezi kumuheshimu mumewe vile inavopaswa.
Ndoa ni kama taasisi ya kitapeli ambayo mwanamke anaitumia kukidhi mahitaji yake. Kinyume na hapo, mwanamke hana haja na ndoa.
Kuna dada mmoja ni mwanasheria yupo Arusha, hawezi japo kumpikia chai mumewe. Muda wote yuko kazini, na akirudi hana muda.
Anajua mumewe ni kama kikaragosi ambacho hakimtishi kwa lolote.
Kwa mantiki hiyo, nihitimishe kwa kusema kwamba, unyenyekevu wa mwanamke katika ndoa ni danganya toto ili aweze kuendelea kupata mahitaji yake ikiwemo chakula na mavazi.
Akifanikiwa kuvipata hivyo bila usaidizi wako, atakunjua makucha yake rasmi akucharange kama shumileta.
Unyenyekevu ni utapeli. Hadaa ya kuchuma mali.
Mwanamke mwenye fedha ni mwanaume mwenzio. Ukimkoromea anakucharaza bakora.
MY TAKE: Wanawake wafukuzwe kazi.
Anyway...............Mwanamke mwenye kazi, mshahara mnono, nyumba na gari, hawezi kumuheshimu mumewe vile inavopaswa.
Ndoa ni kama taasisi ya kitapeli ambayo mwanamke anaitumia kukidhi mahitaji yake. Kinyume na hapo, mwanamke hana haja na ndoa.
Kuna dada mmoja ni mwanasheria yupo Arusha, hawezi japo kumpikia chai mumewe. Muda wote yuko kazini, na akirudi hana muda.
Anajua mumewe ni kama kikaragosi ambacho hakimtishi kwa lolote.
Kwa mantiki hiyo, nihitimishe kwa kusema kwamba, unyenyekevu wa mwanamke katika ndoa ni danganya toto ili aweze kuendelea kupata mahitaji yake ikiwemo chakula na mavazi.
Akifanikiwa kuvipata hivyo bila usaidizi wako, atakunjua makucha yake rasmi akucharange kama shumileta.
Unyenyekevu ni utapeli. Hadaa ya kuchuma mali.
Mwanamke mwenye fedha ni mwanaume mwenzio. Ukimkoromea anakucharaza bakora.
MY TAKE: Wanawake wafukuzwe kazi.