Wanawake wananyenyekea kwa sababu hawana pesa: Wanafuata chakula

kma inakujaaa ivi lakin inakataa
 
Hivi kwa mfano Samia anamtandikia mumewe?
 
Ndoa ni kama taasisi ya kitapeli ambayo mwanamke anaitumia kukidhi mahitaji yake. Kinyume na hapo, mwanamke hana haja na ndoa.

* Kunawakati tunapaswa kuyapuuza mahitaji ya wanawake na kuzingati mahitaji yetu wenyewe binafsi kama wanaume*
wanawake ni matapeli wa ndoa, wanataka wahudumiwe kama watoto
 
Mfano hai kabisa mama yako kafuata chakula kwa baba yako au unaropoka tu mkuu muda mwingine waheshimuni hawa wanawake japo wachache wanazingua ila sio dili sana kuwananga kila saa kama vile jinsia me imekamilika wakati wapo wanaume wangese tu
Lekebisha hiyo kauli sio wachache ndo wanazingua, kwa kizazi hiki Wengi ndo wanazingua
 
Kwahiyo wanaume wote wanaolisha na kuvisha wake zao kwa asilimia 100, wananyanyasa wake zao Palina
 
naungana na wanasema ndoa ni utapeli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…