Wanawake wananyenyekea kwa sababu hawana pesa: Wanafuata chakula

Wanawake wananyenyekea kwa sababu hawana pesa: Wanafuata chakula

Ni mama zetu lakini huo ndio ukweli na ukitaka kujua ukweli zaidi ewe bwana mdogo muulize dingi. Mwanaume akiwa na kipato huwa anahitaji familia ila mwanamke mwenye kipato huwa anahitaji watoto tu.
Mmekariri sana maisha na kugeneralise mambo
 
Unayosema niyakweli japo ukweli utabk kuwa ukweli wanaume tunahtaji san uwepo wa hawa viumbe hasa wakiwa kwenye himaya zetu pia nawao wanatuhitaji sisi sana ni viburi tu vya kijinga vya kibinadamu..ishini kwa mipaka msiabudiane mimi siwez ishi bila mwanamke ikifika time nitavuta pisi moja nisumbuane nayo ndo ubinadam wenyewe.
Cheeers....
 
Umesema kweli kbs ndugu, mwanamke mwenye elimu na pesa hawezi kuwa mke mnyenyekevu hata iweje.
Kijana ambae hujaoa chukua ushauri wa bure, oa mwanamke asie na elimu kubwa wala uchumi mnaweza kuwa na familia.
 
Jamii yetu ya Kitanzania ina mambo sana,Sasa heshima au kutokua na heshima si hulka ya mtu?Akikosea mmoja si wote bwana Kuna wanawake ni ma CEO kwenye makampuni makubwa na pesa zao na bado wanaheshimu waume zao..huyo ni gumegume tu kati ya wanawake kumi wenye stara.
 
Madada wenye hela ambao wanyenyekevu wapo ila wachache mno,nimesha washuhudia wawili mmoja ana maduka ya nguo,mwengine ana duka la jumla vinywaji na chakula. Wale wadada waume zao walikuwa wanawapenda sana.

Yaani kama huyu dada mwenye duka jumla la vinywaji na chakula alikuwa anarudi mapema jioni kumpikia mmewe ambaye yy ni kinyozi,sometimes alikuwa anamlipia mpaka kodi ya frame yake, ila yule kinyozi alivyo pata hela ya mgao wa mauzo ya shamba la mzee wake akapotea huko kwa malaya,baadae wakaachana.

Wapili huyu nae jamaa yake ni kitombiii sana yaani kitaa kavuruga sana, wametengana kwa mdaa ila yule dada still bado anampenda.

Japo majority ya dada zangu wakishapata hela ligi,mashindano na viburi ndani ya nyumba zinaanza. Ila hawa wadada wote wawili niliwafuatilia nikaja kujua wametoka kwenye familia za dini sana,hela hazija wafanya wawe viburi mbele ya waume zao na hawana upuuzi huu wa 50/50 na usawa wa kijinsia.

Kuna kipindi mwanangu mmoja alitaka kuniunga kwa demu wa UN kwani alikuwa anatafuta mme,nikamwambia nina mtu na kipindi hiko niliamua kabisa kutuliza mawazo.Demu mwenyewe nae akaja kuzingua baada ya kurudiana na ex-wake,yaani bora yule wa UN ningemweka sub.
 
Madada wenye hela ambao wanyenyekevu wapo ila wachache mno,nimesha washuhudia wawili mmoja ana maduka ya nguo,mwengine ana duka la jumla vinywaji na chakula. Wale wadada waume zao walikuwa wanawapenda sana.

Yaani kama huyu dada mwenye duka jumla la vinywaji na chakula alikuwa anarudi mapema jioni kumpikia mmewe ambaye yy ni kinyozi,sometimes alikuwa anamlipia mpaka kodi ya frame yake, ila yule kinyozi alivyo pata hela ya mgao wa mauzo ya shamba la mzee wake akapotea huko kwa malaya,baadae wakaachana.

Wapili huyu nae jamaa yake ni kitombiii sana yaani kitaa kavuruga sana, wametengana kwa mdaa ila yule dada still bado anampenda.

Japo majority ya dada zangu wakishapata hela ligi,mashindano na viburi ndani ya nyumba zinaanza. Ila hawa wadada wote wawili niliwafuatilia nikaja kujua wametoka kwenye familia za dini sana,hela hazija wafanya wawe viburi mbele ya waume zao na hawana upuuzi huu wa 50/50 na usawa wa kijinsia.

Kuna kipindi mwanangu mmoja alitaka kuniunga kwa demu wa UN kwani alikuwa anatafuta mme,nikamwambia nina mtu na kipindi hiko niliamua kabisa kutuliza mawazo.Demu mwenyewe nae akaja kuzingua baada ya kurudiana na ex-wake,yaani bora yule wa UN ningemweka sub.
Pamoja na kuwapenda na kuwanyenyekea hao 'waume' zao kwa dhati ila mwisho wa siku wameambulia usaliti na kuachwa kwahiyo hivyo ndivyo mnavyotaka, kuwa wanawake siku zote ndio wawe decent bila kujali wanaume zao ni watu wa aina gani ndio maana nasema msilaumu wanawake walioamua kuwa wabinafsi, sababu hamjui wamepitia mangapi toka kwa wanaume wasio na shukurani kama hao lakini cha ajabu maovu ya wanaume wenzenu huwa hamyakemei na mnayaona sawa kabisa
 
Madada wenye hela ambao wanyenyekevu wapo ila wachache mno,nimesha washuhudia wawili mmoja ana maduka ya nguo,mwengine ana duka la jumla vinywaji na chakula. Wale wadada waume zao walikuwa wanawapenda sana.

Yaani kama huyu dada mwenye duka jumla la vinywaji na chakula alikuwa anarudi mapema jioni kumpikia mmewe ambaye yy ni kinyozi,sometimes alikuwa anamlipia mpaka kodi ya frame yake, ila yule kinyozi alivyo pata hela ya mgao wa mauzo ya shamba la mzee wake akapotea huko kwa malaya,baadae wakaachana.

Wapili huyu nae jamaa yake ni kitombiii sana yaani kitaa kavuruga sana, wametengana kwa mdaa ila yule dada still bado anampenda.

Japo majority ya dada zangu wakishapata hela ligi,mashindano na viburi ndani ya nyumba zinaanza. Ila hawa wadada wote wawili niliwafuatilia nikaja kujua wametoka kwenye familia za dini sana,hela hazija wafanya wawe viburi mbele ya waume zao na hawana upuuzi huu wa 50/50 na usawa wa kijinsia.

Kuna kipindi mwanangu mmoja alitaka kuniunga kwa demu wa UN kwani alikuwa anatafuta mme,nikamwambia nina mtu na kipindi hiko niliamua kabisa kutuliza mawazo.Demu mwenyewe nae akaja kuzingua baada ya kurudiana na ex-wake,yaani bora yule wa UN ningemweka sub.
Kitonga ganda la ndiziii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Meza imepinduka, dunia haimsubiri mtu yeyote anayelia lia, tupambaneni, mwenye hela na mwenye ndoa sawa, asiye na hela na hana ndoa sawa, mwenye hela na hana ndoa sawa, mwenye ndoa na hana hela sawa.

Kwa muda mrefu ndoa imekuwa ni sehemu ya ukandamizaji kwa mwanamke, meza imepinduka vilio kila kona. Muathirika ni nani??

Bichwa komwe, komwe la mama mkwe wako. 😅
 
Meza imepinduka, dunia haimsubiri mtu yeyote anayelia lia, tupambaneni, mwenye hela na mwenye ndoa sawa, asiye na hela na hana ndoa sawa, mwenye hela na hana ndoa sawa, mwenye ndoa na hana hela sawa.

Kwa muda mrefu ndoa imekuwa ni sehemu ya ukandamizaji kwa mwanamke, meza imepinduka vilio kila kona. Muathirika ni nani??

Bichwa komwe, komwe la mama mkwe wako. [emoji28]
Haha kweli kabisa meza zimepinduka hawaamini wanachokiona ndio maana vilio kila kona, mfumo dume uliwadekeza sana wanaume hawakutegemea wala hawajazoea haya mambo ndio maana baada ya wanawake kuamka na kuanza kujibu mapigo wamechanganyikiwa, nakubaliana na wanaosema kwamba feminists walichokosea ni ku empower women halafu wakasahau kuwaelekeza wanaume namna ya kuishi na empowered women na haya ndio matokeo yake
 
How dare you?
Screenshot_20240117-002057.png
 
Kama ni vicheap services mbona mkiachiwa nyumba siku moja tu mnahaha, kwanini huwa hamvipendi na mnaona uvivu kuvifanya, na mpaka leo bado mnaviregard kama majukumu ya mwanamke
Kijana umeshawahi kuishi ki-bachelor au upo kwa shemeji yako??
 
Haha kweli kabisa meza zimepinduka hawaamini wanachokiona ndio maana vilio kila kona, mfumo dume uliwadekeza sana wanaume hawakutegemea wala hawajazoea haya mambo ndio maana baada ya wanawake kuamka na kuanza kujibu mapigo wamechanganyikiwa, nakubaliana na wanaosema kwamba feminists walichokosea ni ku empower women halafu wakasahau kuwaelekeza wanaume namna ya kuishi na empowered women na haya ndio matokeo yake
Kwanini unyenyekevu unanasibishwa na mwanamke kukubali manyanyaso? Mimi kwa kweli the only thing i can offer ni “love” na spices zake…. I know very well how to draw the line to disrespects.

Hivi wanaume wanaelewa kwanini watu wa zamani (waliokuwa na ndoa za kupigiwa mfano) wamepambana kwa hali na mali kuwapeleka watoto wao wa kike shule? Ni wazi wababa wanajua makosa waliyoyafanya na wamama wanajua makosa waliyofanyiwa…… hakuna anayekubali mwanae apitie hayo tena.

Mimi nawaambia watu, Ndoa za zamani zingekuwa nzuri kiasi hiko matokeo yasingekuwa haya tunayoyaona, kwa akili zangu ndogo ni kama hao hao watu wa zamani walifika point wakasema this is bullshit, wakaamua kulea watoto vinginevyo 😜
 
Back
Top Bottom