Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Ndio maana Sadio Mane kaoa binti wa kawaida asiye na hela...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unapomkwoti mtu jitahidi kurahisisha majadiliano, sasa hapo umeandika nini?Eti na wewe unakubali kwsmba ni mwanaume mwenzako?
Kumaanisha nini 🤣😂🤒Yeah,sometimes kama shangazi ila sometimes kama mjomba ila this time kashusha vitu unasoma huku unavuta picha aliyetype ana sauti nzito,nimetikisa kichwa na kusema "Yes,I'm ame type".
Si amesema Kichwa Komwe, kwamba mwanamke akiwa na hela ni mwanaume mwenzako, jamani Depal..Unapomkwoti mtu jitahidi kurahisisha majadiliano, sasa hapo umeandika nini?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nikubaliane na wewe tu kwamba mwanamke mweye pesa ni mwanaume mwenzako. [emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Eeh sasa jitu hunilishi na hunivishi afu unipandishie koromeo how dare you [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mwanaume akikulisha.na.kukuvisha basi tegemea.maajabu meengi, dharau, usaliti na mateso kibao kwasababu anajua huezi ishi bila yeye huna pakwenda hehehe[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Thanks to our parents [emoji120][emoji178]
Sasa mkuu si bora hawa wanao kupikia na kukupa services hao ndo wife material sasa.In simple say,
Katika ndoa, Mwanaume ndio anatapeliwa..
Ndio utapeli mbaya zaidi maana Unafanyiwa utapeli halafu unaugharamikia utapeli huo ukumalize mwenyewe,
Kila nikifumba macho na kufumbua Sioni Mwanamke Mwenye Pesa anayehitaji Ndoa.
Atahitaji Sex satisfaction apite vile, na hata hio anauwezo wa kuipata kwa Njia za kisasa..
Sisi ndio tuna waza kuwaweka ndani, eti unadanganya unatakiwa umhudumie, huku unaingizwa mkenge na vi cheap services kama kupikiwa na usafi.
Rubish, Hii ni full robbery.
Tafuta mwanamke mtakae heshimiana mkuu tatizo mnangalia sura na maumbile lazima mteseke tuMwanamke mwenye kazi, mshahara mnono, nyumba na gari, hawezi kumuheshimu mumewe vile inavopaswa.
Ndoa ni kama taasisi ya kitapeli ambayo mwanamke anaitumia kukidhi mahitaji yake. Kinyume na hapo, mwanamke hana haja na ndoa.
Kuna dada mmoja ni mwanasheria yupo Arusha, hawezi japo kumpikia chai mumewe. Muda wote yuko kazini, na akirudi hana muda.
Anajua mumewe ni kama kikaragosi ambacho hakimtishi kwa lolote.
Kwa mantiki hiyo, nihitimishe kwa kusema kwamba, unyenyekevu wa mwanamke katika ndoa ni danganya toto ili aweze kuendelea kupata mahitaji yake ikiwemo chakula na mavazi.
Akifanikiwa kuvipata hivyo bila usaidizi wako, atakunjua makucha yake rasmi akucharange kama shumileta.
Unyenyekevu ni utapeli. Hadaa ya kuchuma mali.
Mwanamke mwenye fedha ni mwanaume mwenzio. Ukimkoromea anakucharaza bakora.
MY TAKE: Wanawake wafukuzwe kazi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa km uwezo wa kulipa yeye binafsi anao, kwann akuambie? Kwan lazima? LolDah nna mke ni mtumishi wa uma yani jana nusu nimmalize kwa dharau...kakopa dinner set ya laki NNE bila kunishirikisha namuuliza kwanini ananijibu siku nyingne ntakwambia...nlijisahau
Mfano hai kabisa mama yako kafuata chakula kwa baba yako au unaropoka tu mkuu muda mwingine waheshimuni hawa wanawake japo wachache wanazingua ila sio dili sana kuwananga kila saa kama vile jinsia me imekamilika wakati wapo wanaume wangese tuMwanamke mwenye kazi, mshahara mnono, nyumba na gari, hawezi kumuheshimu mumewe vile inavopaswa.
Ndoa ni kama taasisi ya kitapeli ambayo mwanamke anaitumia kukidhi mahitaji yake. Kinyume na hapo, mwanamke hana haja na ndoa.
Kuna dada mmoja ni mwanasheria yupo Arusha, hawezi japo kumpikia chai mumewe. Muda wote yuko kazini, na akirudi hana muda.
Anajua mumewe ni kama kikaragosi ambacho hakimtishi kwa lolote.
Kwa mantiki hiyo, nihitimishe kwa kusema kwamba, unyenyekevu wa mwanamke katika ndoa ni danganya toto ili aweze kuendelea kupata mahitaji yake ikiwemo chakula na mavazi.
Akifanikiwa kuvipata hivyo bila usaidizi wako, atakunjua makucha yake rasmi akucharange kama shumileta.
Unyenyekevu ni utapeli. Hadaa ya kuchuma mali.
Mwanamke mwenye fedha ni mwanaume mwenzio. Ukimkoromea anakucharaza bakora.
MY TAKE: Wanawake wafukuzwe kazi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umbea umekujaa itakua una komwe wewe,[emoji1787][emoji1787] badala uchangie mada unauliza yasokuhusu
Nilikua nataka nikuite hapa dada uje kuchangia.Kama ni vicheap services mbona mkiachiwa nyumba siku moja tu mnahaha, kwanini huwa hamvipendi na mnaona uvivu kuvifanya, na mpaka leo bado mnaviregard kama majukumu ya mwanamke
ndomana wazee wanatushaur tuoe wanawake tunaowazd kpato na tuwawekee vikwazo wasije kupata kipato kikubwa kuliko sisMwanamke mwenye kazi, mshahara mnono, nyumba na gari, hawezi kumuheshimu mumewe vile inavopaswa.
Ndoa ni kama taasisi ya kitapeli ambayo mwanamke anaitumia kukidhi mahitaji yake. Kinyume na hapo, mwanamke hana haja na ndoa.
Kuna dada mmoja ni mwanasheria yupo Arusha, hawezi japo kumpikia chai mumewe. Muda wote yuko kazini, na akirudi hana muda.
Anajua mumewe ni kama kikaragosi ambacho hakimtishi kwa lolote.
Kwa mantiki hiyo, nihitimishe kwa kusema kwamba, unyenyekevu wa mwanamke katika ndoa ni danganya toto ili aweze kuendelea kupata mahitaji yake ikiwemo chakula na mavazi.
Akifanikiwa kuvipata hivyo bila usaidizi wako, atakunjua makucha yake rasmi akucharange kama shumileta.
Unyenyekevu ni utapeli. Hadaa ya kuchuma mali.
Mwanamke mwenye fedha ni mwanaume mwenzio. Ukimkoromea anakucharaza bakora.
MY TAKE: Wanawake wafukuzwe kazi.
At least hapa umeongea nikakuelewa.Nafikiri mkaka kijana awe na mitazamo chanya juu ya ndoa
Aoe kwa sababu anampenda fulani
Aoe kwa sababu anahitaji kujenga familia na fulani provided that mtashirikiana sio kwenye tendo tu hata basic chores
Sio uoe kwasababu unataka mtu akuheshimu, akunyenyekee kwani we MUNGU?
Sio uoe ufuliwe, upikiwe kwani yeye.ni mtumwa provided that na yeye ana damu sio roboti kwamba anaeza mtumikisha kwa kila kitu
Nafikiri wazazi sasa wawaeleweshe hawa wanawake vijana wajitambue aisee 🙌🙌
Kweli kabisa.Wanawake wazuri na wema bado wapo ni wewe tu usikosee kuchagua
Ni mama zetu lakini huo ndio ukweli na ukitaka kujua ukweli zaidi ewe bwana mdogo muulize dingi. Mwanaume akiwa na kipato huwa anahitaji familia ila mwanamke mwenye kipato huwa anahitaji watoto tu.Mfano hai kabisa mama yako kafuata chakula kwa baba yako au unaropoka tu mkuu muda mwingine waheshimuni hawa wanawake japo wachache wanazingua ila sio dili sana kuwananga kila saa kama vile jinsia me imekamilika wakati wapo wanaume wangese tu
Hao huwa kwangu wanatulia kabisaMwanamke mwenye kazi, mshahara mnono, nyumba na gari, hawezi kumuheshimu mumewe vile inavopaswa.
Ndoa ni kama taasisi ya kitapeli ambayo mwanamke anaitumia kukidhi mahitaji yake. Kinyume na hapo, mwanamke hana haja na ndoa.
Kuna dada mmoja ni mwanasheria yupo Arusha, hawezi japo kumpikia chai mumewe. Muda wote yuko kazini, na akirudi hana muda.
Anajua mumewe ni kama kikaragosi ambacho hakimtishi kwa lolote.
Kwa mantiki hiyo, nihitimishe kwa kusema kwamba, unyenyekevu wa mwanamke katika ndoa ni danganya toto ili aweze kuendelea kupata mahitaji yake ikiwemo chakula na mavazi.
Akifanikiwa kuvipata hivyo bila usaidizi wako, atakunjua makucha yake rasmi akucharange kama shumileta.
Unyenyekevu ni utapeli. Hadaa ya kuchuma mali.
Mwanamke mwenye fedha ni mwanaume mwenzio. Ukimkoromea anakucharaza bakora.
MY TAKE: Wanawake wafukuzwe kazi.
Arusha ni kama wanawake washasingiziwa hawajui malavidaviWas Arusha necessary?? Ungesema tu kuna huyu mdada, au kuna hii ndoa mke wake ni mwanasheria.
Why Arusha? Komwe lako..