Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Ungeweka neno "baadhi" ningekuelewa.Usichanganye wanaume wote.Hata hivyo,tofautisha mwanaume anapotumia mamlaka kama mume,baba na kiongozi na mwanaume anayeongozwa na ubabe wenye ukatili.Hao ni watu wawili tofauti kabisa.Aah mkuu sijamaanisha kutotambua umuhimu wa.mume/mwanaume
Shida yenu mnapenda kuogopwa sana, mnapenda yaan kuona wenzenu watumwa nyie wamiliki akta wote ni binadamu mnatumia ile option ya kua hana kitu kumteketeza kabisa