Wanawake wananyenyekea kwa sababu hawana pesa: Wanafuata chakula

Wanawake wananyenyekea kwa sababu hawana pesa: Wanafuata chakula

Eeh sasa jitu hunilishi na hunivishi afu unipandishie koromea how dare you πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Mwanaume akikulisha.na.kukuvisha basi tegemea.maajabu meengi, dharau, usaliti na mateso kibao kwasababu anajua huezi ishi bila yeye huna pakwenda hehehe😁😁😁😁

Thanks to our parents πŸ™πŸ’–
Umri wako bado! Hata wetu wakati ule walifikiria hivyo. Lakini kadri ya wakukuomba k wakipungua, umuhimu wa mume unaonekana!
 
Eeh sasa jitu hunilishi na hunivishi afu unipandishie koromea how dare you πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Mwanaume akikulisha.na.kukuvisha basi tegemea.maajabu meengi, dharau, usaliti na mateso kibao kwasababu anajua huezi ishi bila yeye huna pakwenda hehehe😁😁😁😁

Thanks to our parents πŸ™πŸ’–
Na anakuwa na jeuri ya kwenda na kukurudia, maana ana uhakika atakukuta mrs. Available.
 
Mwanamke mwenye kazi, mshahara mnono, nyumba na gari, hawezi kumuheshimu mumewe vile inavopaswa.

Ndoa ni kama taasisi ya kitapeli ambayo mwanamke anaitumia kukidhi mahitaji yake. Kinyume na hapo, mwanamke hana haja na ndoa.

Kuna dada mmoja ni mwanasheria yupo Arusha, hawezi japo kumpikia chai mumewe. Muda wote yuko kazini, na akirudi hana muda.

Anajua mumewe ni kama kikaragosi ambacho hakimtishi kwa lolote.

Kwa mantiki hiyo, nihitimishe kwa kusema kwamba, unyenyekevu wa mwanamke katika ndoa ni danganya toto ili aweze kuendelea kupata mahitaji yake ikiwemo chakula na mavazi.

Akifanikiwa kuvipata hivyo bila usaidizi wako, atakunjua makucha yake rasmi akucharange kama shumileta.

Unyenyekevu ni utapeli. Hadaa ya kuchuma mali.

Mwanamke mwenye fedha ni mwanaume mwenzio. Ukimkoromea anakucharaza bakora.

MY TAKE: Wanawake wafukuzwe kazi.
We jamaa!

Upendo was kweli was ke utaujua pale ke anapofanikiwa kuwa sawa na wewe au kukuzidi!!!
 
Hapo sasa,, wanapendwa hawa kuombwa kila kitu. Ila wakija huku jf ndio wanatuona kausha damu
Mimi napenda mwanamke mwenye kipato na anayejiamini.

Lakini kama hana kipato basi asitumie unyenyekevu wa urongo ili kumtapeli Baba Kimaro.

Bora tu ufungue makucha hata kama huna kipato ili mbivu na mbichi zijulikane.

Makucha ni makali lakini nitavumilia kwa ajili ya mbususu.
 
Nafikiri mkaka kijana awe na mitazamo chanya juu ya ndoa

Aoe kwa sababu anampenda fulani
Aoe kwa sababu anahitaji kujenga familia na fulani provided that mtashirikiana sio kwenye tendo tu hata basic chores

Sio uoe kwasababu unataka mtu akuheshimu, akunyenyekee kwani we MUNGU?

Sio uoe ufuliwe, upikiwe kwani yeye.ni mtumwa provided that na yeye ana damu sio roboti kwamba anaeza mtumikisha kwa kila kitu

Nafikiri wazazi sasa wawaeleweshe hawa wanawake vijana wajitambue aisee πŸ™ŒπŸ™Œ
 
Tunaishi nao kisaniisanii hivyohivyo ili sekunde zisonge mbele kufuata mvi.Usiumize kichwa kuwaza hitaji halisi la mwanamke utalala na gumboots za kuchungia punda.Kuna wakati unapaswa kuyaacha maisha yaende kwa kujifanyia auto-coursing tu ili mfike kispoti.
Hapo ni sawa! Aliyejuu msubiri chini. Umri ukifika hata kiwete ni mume wake. Tumeyaona, mwanamke bila mume uzeeni au mwanamume bila mke uzeeni ni majanga
 
Mwanamke hakuumbwa kumiliki mwanamke aliumbwa kumilikiwa na kumilikiwa siyo anyanyaswe ni atunzwe apendeze apate utulivu wa nafsi,ni kusema pia mke anatakiwa awe mshauri wa mumewe.

Huyo anayefanya hivyo ikitokea mumewe amemuacha pamoja na kuwa na vyote hivyo baada ya kumaliza kazi zake akirudi home kuna kitu kitampungua na hatakipata kama hatakubali kuwa chini ya mwanaume.
 
Eeh sasa jitu hunilishi na hunivishi afu unipandishie koromea how dare you πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Mwanaume akikulisha.na.kukuvisha basi tegemea.maajabu meengi, dharau, usaliti na mateso kibao kwasababu anajua huezi ishi bila yeye huna pakwenda hehehe😁😁😁😁

Thanks to our parents πŸ™πŸ’–
Kwa fikra hizi ndiyo maana mlpewa ukomo wa fikra.Hela huwafanya mkose upendo,utu,heshima na mizani maishani.Na ndiyo hapo huwa najiuliza ingekuwaje kama wanaume na wanawake wangeumbwa kwa uwezo na kuyachukulia mambo kuliko sawa!Ingekuwa rabsha.
 
Naonaga katika upambanaji bora Uongeze jitihada za chini chini,
Uwe na Way Out ya kujiwekeza kivingine hata kidogo kwa ambacho Mwanamke wako hatakifahamu..

Tafuta katika cycle yako upate mtu wa kumuamini Ndio aijue,

Kama ni ngumu,
Usiwe Bwenge Kila kitu unamwagia mezani Bwaaaa,
Vingine Ficha ficha, ili akianzisha sebene Usije ukajinyonga.

Niseme ukweli mimi roho ya kumuacha Mwanamke Aniache halafu Aondoke na kila kitu changu(kama kilichomtokea Mshkaji mwaka jana Mwishoni)eti kisa watoto na kujifariji haya maisha pesa inatafutwa,
HIO ROHO SINA, Hivyo lazima nijihami.
 
Mimi napenda mwanamke mwenye kipato na anayejiamini.

Lakini kama hana kipato basi asitumie unyenyekevu wa urongo ili kumtapeli Baba Kimaro.

Bora tu ufungue makucha hata kama huna kipato ili mbivu na mbichi zijulikane.

Makucha ni makali lakini nitavumilia kwa ajili ya mbususu.
Kwanini unahisi ni unyenyekevu wa uongo? Mtu tu asikupende kwa moyo wake wote na kukutii, we unaona ananyenyekea uongo kisa hizo elf20 zako?

Watu ambao hamjawahi ku experience mapenzi ya dhati mnasumbua sana
 
Usiwe na pa kwenda alikuokota juu ya mti!??
Usiishi bila yeye kwani unatumia oksijeni yake??
Eeh unajua ukisshakua mkubwa na wazazi kuchoka aau kustaafu uwezo wa kumuhudumia kijana wao unapungua

Sasa mwanamke kijana asipokua na ramani afu atokee Mwanaume anataka amueke ndani yupo radhi avumilie yote πŸ™Œ maana mji umekua mgumu kwake
 
Mwanamke mwenye kazi, mshahara mnono, nyumba na gari, hawezi kumuheshimu mumewe vile inavopaswa.

Ndoa ni kama taasisi ya kitapeli ambayo mwanamke anaitumia kukidhi mahitaji yake. Kinyume na hapo, mwanamke hana haja na ndoa.

Kuna dada mmoja ni mwanasheria yupo Arusha, hawezi japo kumpikia chai mumewe. Muda wote yuko kazini, na akirudi hana muda.

Anajua mumewe ni kama kikaragosi ambacho hakimtishi kwa lolote.

Kwa mantiki hiyo, nihitimishe kwa kusema kwamba, unyenyekevu wa mwanamke katika ndoa ni danganya toto ili aweze kuendelea kupata mahitaji yake ikiwemo chakula na mavazi.

Akifanikiwa kuvipata hivyo bila usaidizi wako, atakunjua makucha yake rasmi akucharange kama shumileta.

Unyenyekevu ni utapeli. Hadaa ya kuchuma mali.

Mwanamke mwenye fedha ni mwanaume mwenzio. Ukimkoromea anakucharaza bakora.

MY TAKE: Wanawake wafukuzwe kazi.
Pole sn mkuu

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
Eeh unajua ukisshakua mjubwa na wazazi kuchoka aau kustaafu uwezo wa kumuhudumia kijana wao unapungua

Sasa mwanamke kijana asipokua na ramani afu atokee Mwanaume anataka amueke ndani yupo radhi avumilie yote πŸ™Œ maana mji umekua mgumu kwake
Nime kukumbuka rafikiπŸ€’
 
Mwanamke hakuumbwa kumiliki mwanamke aliumbwa kumilikiwa na kumilikiwa siyo anyanyaswe ni atunzwe apendeze apate utulivu wa nafsi,ni kusema pia mke anatakiwa awe mshauri wa mumewe.

Huyo anayefanya hivyo ikitokea mumewe amemuacha pamoja na kuwa na vyote hivyo baada ya kumaliza kazi zake akirudi home kuna kitu kitampungua na hatakipata kama hatakubali kuwa chini ya mwanaume.
Unajua wengi wanaosema ndoa haina maana hasa wanawake, ni kuwa hawasemi ukweli! Wanasema kujifurahisha tu. Kila mwanamke isipokuwa sista wa kikatoliki anaota ndoa. Abishe mtu nimpe mifano hai
 
Back
Top Bottom