Wanawake wananyenyekea kwa sababu hawana pesa: Wanafuata chakula

Wanawake wananyenyekea kwa sababu hawana pesa: Wanafuata chakula

Wanawake wafukuzwe kazi sababu ya kubaki nyumbani kuwapikia na kuwafulia, kwani wao ni Watumwa wenu???
Hilo nimeweka kama kionjo tu.

Matamanio yangu ni kuona watu wanakuwa wakweli katika ndoa. Asitokee mmoja wa kumlaghai au kumtumia mwenzake kwa faida yake.

Kama tunakunjua makucha basi tuyakunjue ingali wote ni makapuku. Turaruane kihalali tukiwa tunatambua tunachokifanya.

Kumrarua mwenzio na makucha kwa kuwa tu una mshahara hilo si jambo la haki.

Kama una makucha yakunjue hata kama hauna mshahara, ili tukianza kuraruana turaruane kweli kweli katika kweli na haki.
 
Mwanamke mwenye kazi, mshahara mnono, nyumba na gari, hawezi kumuheshimu mumewe vile inavopaswa.

Ndoa ni kama taasisi ya kitapeli ambayo mwanamke anaitumia kukidhi mahitaji yake. Kinyume na hapo, mwanamke hana haja na ndoa.

Kuna dada mmoja ni mwanasheria yupo Arusha, hawezi japo kumpikia chai mumewe. Muda wote yuko kazini, na akirudi hana muda.

Anajua mumewe ni kama kikaragosi ambacho hakimtishi kwa lolote.

Kwa mantiki hiyo, nihitimishe kwa kusema kwamba, unyenyekevu wa mwanamke katika ndoa ni danganya toto ili aweze kuendelea kupata mahitaji yake ikiwemo chakula na mavazi.

Akifanikiwa kuvipata hivyo bila usaidizi wako, atakunjua makucha yake rasmi akucharange kama shumileta.

Unyenyekevu ni utapeli. Hadaa ya kuchuma mali.

Mwanamke mwenye fedha ni mwanaume mwenzio. Ukimkoromea anakucharaza bakora.

MY TAKE: Wanawake wafukuzwe kazi.
huo ndo ukweli
kwa maneno mengine wanawake wote wanajiuza kwa style tofauti
tutafute hela
 
Kwanini unahisi ni unyenyekevu wa uongo? Mtu tu asikupende kwa moyo wake wote na kukutii, we unaona ananyenyekea uongo kisa hizo elf20 zako?

Watu ambao hamjawahi ku experience mapenzi ya dhati mnasumbua sana
Andika yote lakini nikiwa na mwanamke mwenye pesa nakaa naye "one eye closed and the other one very opened "!Hamuaminiki.
 
Kwa fikra hizi ndiyo maana mlpewa ukomo wa fikra.Hela huwafanya mkose upendo,utu,heshima na mizani maishani.Na ndiyo hapo huwa najiuliza ingekuwaje kama wanaume na wanawake wangeumbwa kwa uwezo na kuyachukulia mambo kuliko sawa!Ingekuwa rabsha.
Hamna kiumbe kisicho na heshima mkuu l, shida ya wanaume wanapenda ile kuheshimiwa beyond sijui unanipata???

Yaan wanataka.ile hali ya kuogopwa flani hivii yaani sijui nikueleezeejw kiongozi
 
Umri wako bado! Hata wetu wakati ule walifikiria hivyo. Lakini kadri ya wakukuomba k wakipungua, umuhimu wa mume unaonekana!
Aah mkuu sijamaanisha kutotambua umuhimu wa.mume/mwanaume

Shida yenu mnapenda kuogopwa sana, mnapenda yaan kuona wenzenu watumwa nyie wamiliki akta wote ni binadamu mnatumia ile option ya kua hana kitu kumteketeza kabisa
 
Wafukuzwe kazi wakatumikie ndoa?
Hiyo siyo solution solution ni walio bado hawajaoa kutumia akili zao vyema na uanaume wao vyema,mume ajue yeye kwa 100% ndiye anaetakiwa kuwajibika kwa lolote ktk familia aliyoianzisha hata kama itatakiwa kampan ya mke iwe inatokana na miradi aliyoianzisha yeye kwa ajili yao ikisimamiwa na mke nje ya hapo hakuna heshima.

Leo vijana wanasema hawawezi kuoa wanaita beki kipa sijui goli kipa vichwani wakiwaza mke mwenye kazi atasaidia majukumu,atasaidia january march atakujibu mwanaume gani ulioa hujajipanga uchukulie ni tusi umpige kesho muamkie ustawi wa jamii kwa kesi ya shambulio.
 
Umasikini ni driving factor inayowafosi wanawake kuingia kwenye ndoa.
Mwanamke anaweza vumilia umasikini wa kwao na sio wa mume wake.
Ukiwa masikini mwanamke kakuonea aibu atakudharau asiye na aibu anakukimbia.
Ulizia wastaafu watakuambia hili.
Waliishi vizuri na wake zao wakati mwisho wa mwezi unasoma ulipoisha dharau kebehi thus wastaafu hufa mapema
 
Unajua wengi wanaosema ndoa haina maana hasa wanawake, ni kuwa hawasemi ukweli! Wanasema kujifurahisha tu. Kila mwanamke isipokuwa sista wa kikatoliki anaota ndoa. Abishe mtu nimpe mifano hai
Hata hapa wanapita na wanafanya ukaidi kwa hizi fake IDs ila deep down wanatamani sana kuwa ndani ya ndoa.

Huwa zinakuja post humu kutafuta waume ukifungua profile ya muhusika inasema "Joined Yesterday” huyo siyo mgeni ni hawa hawa wanaokazana kuandika shit humu kwenye post kama hizi wanakuja kivingine kujaribu bahati zao.
 
Back
Top Bottom