Wanawake wananyenyekea kwa sababu hawana pesa: Wanafuata chakula

Wanawake wananyenyekea kwa sababu hawana pesa: Wanafuata chakula

Kwanini unyenyekevu unanasibishwa na mwanamke kukubali manyanyaso? Mimi kwa kweli the only thing i can offer ni “love” na spices zake…. I know very well how to draw the line to disrespects.

Hivi wanaume wanaelewa kwanini watu wa zamani (waliokuwa na ndoa za kupigiwa mfano) wamepambana kwa hali na mali kuwapeleka watoto wao wa kike shule? Ni wazi wababa wanajua makosa waliyoyafanya na wamama wanajua makosa waliyofanyiwa…… hakuna anayekubali mwanae apitie hayo tena.

Mimi nawaambia watu, Ndoa za zamani zingekuwa nzuri kiasi hiko matokeo yasingekuwa haya tunayoyaona, kwa akili zangu ndogo ni kama hao hao watu wa zamani walifika point wakasema this is bullshit, wakaamua kulea watoto vinginevyo 😜
Una maanisha ndoa za zamani zilikuwa zinadumu sababu wanawake walikuwa wanavumilia mateso??
 
Meza imepinduka, dunia haimsubiri mtu yeyote anayelia lia, tupambaneni, mwenye hela na mwenye ndoa sawa, asiye na hela na hana ndoa sawa, mwenye hela na hana ndoa sawa, mwenye ndoa na hana hela sawa.

Kwa muda mrefu ndoa imekuwa ni sehemu ya ukandamizaji kwa mwanamke, meza imepinduka vilio kila kona. Muathirika ni nani??

Bichwa komwe, komwe la mama mkwe wako. [emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Habari wanandugu Mimi ni dereva natafuta gari ya mkataba ya kufanyia Kazi iwe canter.fuso.Tata,coaster ,Rosa ,yeyote tutakavyokubaliana na boss wangu Nina leseni C1 C2 C3 E A B D Nina uzoefu zaidi ya miaka 10 mawasiliano yangu ni 0625886599
Nenda Taesa
 
Pamoja na kuwapenda na kuwanyenyekea hao 'waume' zao kwa dhati ila mwisho wa siku wameambulia usaliti na kuachwa kwahiyo hivyo ndivyo mnavyotaka, kuwa wanawake siku zote ndio wawe decent bila kujali wanaume zao ni watu wa aina gani ndio maana nasema msilaumu wanawake walioamua kuwa wabinafsi, sababu hamjui wamepitia mangapi toka kwa wanaume wasio na shukurani kama hao lakini cha ajabu maovu ya wanaume wenzenu huwa hamyakemei na mnayaona sawa kabisa
Ndio maana nimetumia neno "......wachache mnoo........",kwa maana majority wapo hivyo au hao nao majority kwa mtizamo wako walitendwa na wanaume?

Halafu hawa wadada wenyewe nimewajua huyo mwenye maduka ya nguo, nimejua kipindi nipo O-Level, wapili kipindi nipo A-level alikuwa jirani yetu.Ndio maana najua mpaka background yao na malezi yao sababu walikuwa marafiki zangu. Nikilinganisha na hao majority tabia zao kiroho na hawa wawili ni ardhi na mbingu.

Ila majority dada zangu, mkiwa na hela viburi,mashindano,jeuri na ndio maana naamini hela ya mwanamke haijawahi kuwa tamu huambatana na manyanyaso na masimango.Watafute hawa vijana wanao lelewa na wanawake wengine wanakula mpaka makofi.

Leo sipo kwa ajili ya ligi,najua unapenda ligi na wanaume sijui wamekufanya nini. Ila na mpongeza huyo mwanaume anaye date na ww ana moyo wa kuamisha milima.
 
Ndoa ni kama taasisi ya kitapeli ambayo mwanamke anaitumia kukidhi mahitaji yake. Kinyume na hapo, mwanamke hana haja na ndoa.

* Kunawakati tunapaswa kuyapuuza mahitaji ya wanawake na kuzingati mahitaji yetu wenyewe binafsi kama wanaume*
 
Back
Top Bottom