Wanawake wanaoingiliwa kinyume na maumbile ni mashoga waliosahaulika

Wanawake wanaoingiliwa kinyume na maumbile ni mashoga waliosahaulika

Uongo mtupuu.
Realy sio utani naweza weka conversation ya mmoja wapo uyo ni mmoja tu kati ya wengi achana na ninaokaa nao mtaa mmoja, sasa kuna mmoja anajuwa sipendelei so ananiunganishia mademu ambao ni marafiki zake
 

Attachments

  • Screenshot_20240203-154537_Lite.jpg
    Screenshot_20240203-154537_Lite.jpg
    73.6 KB · Views: 33
  • Screenshot_20240203-154631_Lite.jpg
    Screenshot_20240203-154631_Lite.jpg
    68.5 KB · Views: 37
Mimi nimemuelewa jamaa alichosema,jamaa amekusudia kwamba tunazusha mambo mengi ya uongo kwa sababu tu tunauchukia ushoga.

Suala la shoga kutikusimamisha uume ni suala la saikolojia zaidi hata mimi nakubali,hiyo haimaanishi ushoga ruksa maana watanzania ni watu tuna ufahamu dhaifu sana.

Kuna watu wanaingilia na kuingiliwa,hiyo maana yake ni kwamba kuingiliwa kwake hakujamfanya ashindwe kuusimamisha uume wake ili aingilie,hivyo kuingiliwa pekee hakumfanyi mwanaume asisimamishe uume bali ni saikolojia.

Mfano : mimi nikimuona mzungu amejiachia viungo siwezi kusimamisha na nitaona kawaida,ila assume tu nimemuona sanchoka kajiachia live kama alivyojiachia mzungu,au nimuone poshyqueen kajiachia basi nina hakika nitasisimuka na uume utasimama,hiyo ni issue ya saikolojia yaani psychology na wala sio ishu ya kimatendo ama kimaumbile yaani physiology.

Mashoga wanashindwa kusimamisha uume sio kwa kile kitendo cha kuingiliwa hapana hapana hapana,bali ni kwa ile mentality yao wanayokuwa nayo na uzoefu wa kuingiliwa na wanaume hivyo automatically shoga anajikuta anasisimkwa na vitu tofauti sana kuliko anavyosisimkwa mwanaume wa kawaida.

Wako mashoga kusisimka kwao mpaka akutane na mwanaume mrefu mqenye upara na hana kitambi utakuta hapo anasisimkwa kwa sababu huwenda alishafurahishwa mno na mwanaume wa dizaini hiyo hivyo kumbukumbu akilini inamkumbusha tukio hilo.

KWa mujibu wa Dini zetu ushoga ni dhambi kubwa,lakini pia Sidhani kama hata dini zetu zinaruhusu kukataza ushoga kwa kutumia Uongo,maana kufanya hivyo ni kuutangaza zaidi pale ambapo wengine watagundua ni uongo.

Kwa kumalizia namfahamu mtu ni shoga mtu mzima na ana watoto sio chini ya watano na mke juu.
Daah aisee yaani kua shoga hakumfanyi mwanaume kua hanithi??

Hiki nitalikataa mpaka kesho wakuu, na sio kua akiingiliwa mara moja au 2 basi tayari anapoteza uwezo huo nope no ile mara kwa mara.

Unaposema ni ishu ya pyschology zaidi kwani kumesababishwa na nini??
Mwanaume anaposhindwa kusimamisha kwa mkewe kwasababu hiyo ya psychology utasema huyo ana nguvu za kiume na hasimamishi??

Ushoga hauchukiwi bure bure tu mzee, ni kitu kibaya sana sana kina madhara mno.
Kule nyuma hakuna utelezi, mnaweka utelezi bandia, ukiisha huo bandia mnapeana vidonda tu.

Umeshahi kuona mtu akitolewa uchafu kwenye uume?? Aisee ni maumivu sana, sababu kubwa ni kula tope uchafu unabakia kwenye mrija wa uume, mkojo hautoki hadi utobolewe.

Usitetee huu ujinga man, tusiige wazungu wao wana means zao za kuendana na ushoga.
 
Madhara yake yapo ila sio hiyo ya mtu akizaa eti sijui kinyesi kumtoka ndio ameingiliwa!! Thats why nikakuuliza mfano wagonjwa wa fistula huwa ni sababu ya anal sex?

Mpaka mtu afikie hiyo level ya kujisaidia labda awe anafanya anal sex mnoo ndio apate hayo madhara kama vile tu atakayefanya sex kwa njia ya kawaida mnoo naye hupata madhara.
Ni uongo, kaulize versatiles ni kina nani? Sasa mtu anaweza kuingilia wenzake kama ameshaingiliwa sana? Kusimamisha uume ni saikolojia zaidi kuliko eti kuingiliwa. If that's the case basi wanaume wote wenye shida ya nguvu za kiume means ni mashoga!!!
Daah nyie watu mnaujua ushoga kijuu juu sana.

Versatile ni anapigwa na kupiga pipe.
Na hawa versatile mwanzo huwa wanaingilia wenzao tu ila inafika time anatamani kuingiliwa, ndio jinsi hao hupatikana.
Na as time goes on hao unaowaita versatile hubadilika tena na kua machoko kabisa.

Ule uchafu wa manii unaoingia huwa unaenda wapi??
Kuna utaalamu wowote wa kusafisha kinyeo ili uingiliwe??
Je hapa nchini kuna mafuta maalumu ya hiyo minyanduano haramu??

Vipi na condom?? Mnatumia hizihizi dume na zana za bure?? Ni salama? Zimetengenezwa kwa matumizi hayo??

Mwisho kabisa ungependa mwanao awe shoga??
 
Sasa mbona kama unawaweka watoto wako hatarini na wewe pia? Maana hapo atakuletea maradhi huko anapotoka kufanya huo ufirauni wake halafu akija kukuingilia wewe jua lazima kuna wadudu wa ajabu atawaingiza ukeni na kukuleta magonjwa yasiyoeleweka na yasiyosikia dawa.

Pili watu wenye tabia za kishenzi kama hizi huwa hawana mipaka kwa watoto. Sasa hofu weka juu ya watoto wako na hata ndugu zako wanaweza fanyiwa huo uharamia kwa kifupi hebu jiandae kuondoka hapo umuache na maisha aliyochagua.
Acha kuvunja ndoa za watu
 
Ule uchafu wa manii unaoingia huwa unaenda wapi??
Unatoka, mbona kuna vinyesi vinatoka tumboni na tumbo haliozi ndio sembuse manii? Huwa zinatoka eventually akienda chooni.

Mbona mwanamke anakojolewa ndani umewahi jiuliza zile shahawa zote zinaenda wapi? Mind you only one sperm ndio hutunga mimba.
Versatile ni anapigwa na kupiga pipe.
Na hawa versatile mwanzo huwa wanaingilia wenzao tu ila inafika time anatamani kuingiliwa, ndio jinsi hao hupatikana.
Sio kweli versatile huwa versatile mwanzo mwisho.... ni sawa na kusema mwanamke anayeingiliwa kinyume basi hawezi tena ingiliwa njia ya kawaida? Are you serious?

Verse is verse anapenda kuingilia lakini anapenda kuingiliwa
Vipi na condom?? Mnatumia hizihizi dume na zana za bure?? Ni salama? Zimetengenezwa kwa matumizi hayo??
Condom zipo zenye lube ya kutosha
Mwisho kabisa ungependa mwanao awe shoga??
Hapana sitopenda ila akizaliwa hivyo si unamuongezea tu testosterone anakua more attracted to women
 
Realy sio utani naweza weka conversation ya mmoja wapo uyo ni mmoja tu kati ya wengi achana na ninaokaa nao mtaa mmoja, sasa kuna mmoja anajuwa sipendelei so ananiunganishia mademu ambao ni marafiki zake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ungeweka convo had mwshoniii, mtu unampa no ako, mnatumiana vid za kufirana, mnawekeana emoj za kopa na apple,

Huu unafiki, kiufupiii ni ulimla na huwa unakula gays ila unajistukia, ungekua hutak hata convo nae usingefanya, hizo text zako unaficha nn. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Daah aisee yaani kua shoga hakumfanyi mwanaume kua hanithi??

Hiki nitalikataa mpaka kesho wakuu, na sio kua akiingiliwa mara moja au 2 basi tayari anapoteza uwezo huo nope no ile mara kwa mara.

Unaposema ni ishu ya pyschology zaidi kwani kumesababishwa na nini??
Mwanaume anaposhindwa kusimamisha kwa mkewe kwasababu hiyo ya psychology utasema huyo ana nguvu za kiume na hasimamishi??

Ushoga hauchukiwi bure bure tu mzee, ni kitu kibaya sana sana kina madhara mno.
Kule nyuma hakuna utelezi, mnaweka utelezi bandia, ukiisha huo bandia mnapeana vidonda tu.

Umeshahi kuona mtu akitolewa uchafu kwenye uume?? Aisee ni maumivu sana, sababu kubwa ni kula tope uchafu unabakia kwenye mrija wa uume, mkojo hautoki hadi utobolewe.

Usitetee huu ujinga man, tusiige wazungu wao wana means zao za kuendana na ushoga.
Wee ndio huujui ushoga vizuri, afu nilikua nakuona uko na upeo mkubwa kuhusu [emoji304], kumbe sivyoo,

Kiifupi ni huna unachojua. Hayo madhara kwa mfiraji hata akifira wanawake anapata km kawaida. Au una lipi la kueleza?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ungeweka convo had mwshoniii, mtu unampa no ako, mnatumiana vid za kufirana, mnawekeana emoj za kopa na apple,

Huu unafiki, kiufupiii ni ulimla na huwa unakula gays ila unajistukia, ungekua hutak hata convo nae usingefanya, hizo text zako unaficha nn. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Huyu jamaa mnafiki kinyama read between the lines anakula mashoga na yeye analiwa full stop.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ungeweka convo had mwshoniii, mtu unampa no ako, mnatumiana vid za kufirana, mnawekeana emoj za kopa na apple,

Huu unafiki, kiufupiii ni ulimla na huwa unakula gays ila unajistukia, ungekua hutak hata convo nae usingefanya, hizo text zako unaficha nn. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaha na uwezi amini sina hata hisia na gays ya ni unafiki pro max nione tu walivyo just a research, yeah alikuwa anatuma but hata hisia haziji kuwatafuna hawa uongo siwezi Mungu azidi kutia ugumu ktk hili
 
Daah aisee yaani kua shoga hakumfanyi mwanaume kua hanithi??

Hiki nitalikataa mpaka kesho wakuu, na sio kua akiingiliwa mara moja au 2 basi tayari anapoteza uwezo huo nope no ile mara kwa mara.

Unaposema ni ishu ya pyschology zaidi kwani kumesababishwa na nini??
Mwanaume anaposhindwa kusimamisha kwa mkewe kwasababu hiyo ya psychology utasema huyo ana nguvu za kiume na hasimamishi??

Ushoga hauchukiwi bure bure tu mzee, ni kitu kibaya sana sana kina madhara mno.
Kule nyuma hakuna utelezi, mnaweka utelezi bandia, ukiisha huo bandia mnapeana vidonda tu.

Umeshahi kuona mtu akitolewa uchafu kwenye uume?? Aisee ni maumivu sana, sababu kubwa ni kula tope uchafu unabakia kwenye mrija wa uume, mkojo hautoki hadi utobolewe.

Usitetee huu ujinga man, tusiige wazungu wao wana means zao za kuendana na ushoga.
Kinachomfanya mwanaume kuwa hanithi ni shahawa za mwanaume mwenzie either amwagiwe au azichezee ziingie mwilini mwake,

Ushawah jiuliza kwanini wanaokula mashoga mwisho wa siku nao wanaishia kuliwa au kuwa ma hanithi? Unamtindua shoga nae uku anajifikia mshindo kwa kujichua apo anakuwa na shahawa zake mkononi anakuja anashika uume wa mwenzie

Sperm zimeumbwa special kwa ajili ya kiumbe cha kike zikienda kwa mwingine zinambadili, hujawahi chunguza hata ukipeez sperm zako unazichukia utatafuta maji yalipo au kitambaa ujifute ndo uwe comfortable
 
Daah aisee yaani kua shoga hakumfanyi mwanaume kua hanithi??

Hiki nitalikataa mpaka kesho wakuu, na sio kua akiingiliwa mara moja au 2 basi tayari anapoteza uwezo huo nope no ile mara kwa mara.

Unaposema ni ishu ya pyschology zaidi kwani kumesababishwa na nini??
Mwanaume anaposhindwa kusimamisha kwa mkewe kwasababu hiyo ya psychology utasema huyo ana nguvu za kiume na hasimamishi??

Ushoga hauchukiwi bure bure tu mzee, ni kitu kibaya sana sana kina madhara mno.
Kule nyuma hakuna utelezi, mnaweka utelezi bandia, ukiisha huo bandia mnapeana vidonda tu.

Umeshahi kuona mtu akitolewa uchafu kwenye uume?? Aisee ni maumivu sana, sababu kubwa ni kula tope uchafu unabakia kwenye mrija wa uume, mkojo hautoki hadi utobolewe.

Usitetee huu ujinga man, tusiige wazungu wao wana means zao za kuendana na ushoga.

Ushoga mbaya ila umeongea ki layman,kumbuka hata k inamaliza utelezi na kuchubuka pia.

Njia ya mkojo haiwezi ziba kisa sex,unless mtu anauvimbe kwenye njia ya mkojo.

Kuna mshoga wanafamilia na wana watoto still wanafukuliwa tope unalizungumziaje hili. ?
 
We acha tu mi ni wengi na ninakwepa mitego ila kuna siku sijui pepo gani liniingia linanishawish nikamle mmoja, akili ikanambia sa ka unatak kula mmoja si bora uwatindue wote roho ikaona hii laana nzito nikagairi
Bora kabisa hukufanya huo ufirauni
 
Ushoga mbaya ila umeongea ki layman,kumbuka hata k inamaliza utelezi na kuchubuka pia.

Njia ya mkojo haiwezi ziba kisa sex,unless mtu anauvimbe kwenye njia ya mkojo.

Kuna mshoga wanafamilia na wana watoto still wanafukuliwa tope unalizungumziaje hili. ?
Aliewaambia ukiwa shoga papo hapo husimamishi ni nani??

Yaani utetezi wenu wengi ni huo kua ooh yule ni shoga na ana watoto.!!

Ameuanza lini?? Amefikia hatua ya kina james delicious?? Zile ndo stage mbaya za ushoga, watu wa vile wakiwa na watoto ndo uwajengee hoja.

Na pia njia ya haja kubwa ni chafu, wanaofanya bila kinga wana hatari zaidi ule uchafu ukiingia kwenye uume.

Y
 
Kinachomfanya mwanaume kuwa hanithi ni shahawa za mwanaume mwenzie either amwagiwe au azichezee ziingie mwilini mwake,

Ushawah jiuliza kwanini wanaokula mashoga mwisho wa siku nao wanaishia kuliwa au kuwa ma hanithi? Unamtindua shoga nae uku anajifikia mshindo kwa kujichua apo anakuwa na shahawa zake mkononi anakuja anashika uume wa mwenzie

Sperm zimeumbwa special kwa ajili ya kiumbe cha kike zikienda kwa mwingine zinambadili, hujawahi chunguza hata ukipeez sperm zako unazichukia utatafuta maji yalipo au kitambaa ujifute ndo uwe comfortable
Jamaa yangu watu wanabisha aisee.

Na zile ndo zinawafanya walegee wawe kama milenda..

Kuna mdau nimemuuliza zile sperm kule huwa zinaenda wapi, hana jibu.
 
Wee ndio huujui ushoga vizuri, afu nilikua nakuona uko na upeo mkubwa kuhusu [emoji304], kumbe sivyoo,

Kiifupi ni huna unachojua. Hayo madhara kwa mfiraji hata akifira wanawake anapata km kawaida. Au una lipi la kueleza?
Huo upeo mkubwa au mdogo wewe unaupimaje??

Hapo nimeelezea upande mmoja wa me.

Ukiwa mla tako kwa ke, una hati hati ya kula me na kua punga pia.

Sio vizuri kufanya mapenz kinyume na maumbile.
 
Unatoka, mbona kuna vinyesi vinatoka tumboni na tumbo haliozi ndio sembuse manii? Huwa zinatoka eventually akienda chooni.

Mbona mwanamke anakojolewa ndani umewahi jiuliza zile shahawa zote zinaenda wapi? Mind you only one sperm ndio hutunga mimba.
Sio kweli versatile huwa versatile mwanzo mwisho.... ni sawa na kusema mwanamke anayeingiliwa kinyume basi hawezi tena ingiliwa njia ya kawaida? Are you serious?

Verse is verse anapenda kuingilia lakini anapenda kuingiliwa

Condom zipo zenye lube ya kutosha
Hapana sitopenda ila akizaliwa hivyo si unamuongezea tu testosterone anakua more attracted to women
Mzee nachelea kusema huna ujuacho kuhusu hizo mbanga unatumia utashi wako tu.
Kama unawajua hao verse kadhaa waulize wanapenda nini kati ya kupigwa na kupiga, ndio utajua kwann wengi huangukia kua mapunga pro max.

kingine ni kua shahawa si kwa ajili ya njia ya haja kubwa, ukeni ndo kumeumbiwa hivyo.
Ule ni uchafu ukiingia njia siyo huwa unaoza, ndio maana mapunga matajiri huwa wanaenda kusafishwa mahospitalini, madaktari wanajua sana hili.
 
Back
Top Bottom