Wanawake wanaoingiliwa kinyume na maumbile ni mashoga waliosahaulika

Wanawake wanaoingiliwa kinyume na maumbile ni mashoga waliosahaulika

Wanajua kushawishi hatari. Mimi niliruka mitego ya mashoga wawili. Tuendelee kumuomba Mungu atusaidie
Mi moja nilikutana nalo badoo lipo sinza,moja lipo kongowe sjui huko,nilikutana nalo fb,likaanza sjui unajua kaka we ni handsome kinoma,nikamjibu nakubali sana mzee,akasema pande zp,nikamtajia,akaongeza utakuja lini pande za kongowe,nikamjibu kama nikipata mishe ntatimba tu,akanambia njoo basi ..afu akantumia video ya jamaa mmoja homo anafanywa mambo ya hovyo ..hata skusema kitu nikalima block.
 
Ndio shida ya kutoroka masomo ya bailojia unakuja kuwa mjinga ukubwani sababu haujui unaongea nini.

Sasa kule nyuma unafananisha na huku mbele?

Maumbile ya mwanamke unayafahamu vema?

Unajua kuwa sehemu ya kuchomeka uume ipo chini na sehemu ya kutoa haja ndogo upo kwa juu yaani havihusiani wala kuingilia. Kwa kifupi mwanamke anaweza kukojoa huku uume umeingia sehemu yake.

Pili sehemu ya uke ina mfumo wake kabisa wa bacteria wazuri wanaoulinda na maradhi ya kuambukiza na matokeo yake ni usalama kama mwanamke atatunza vema sehemu zake za siri kwa kutoingiliwa na wanaume tofauti lakini pia kuwa msafi wa mwili.

Sasa huko nyuma ni njia ya kutolea haja kubwa tena yenye harufu kali kupita maelezo.

Mtu anaingiza uume unakutana na kinyesi cha binadamu kuna starehe gani hapo?

Huwa najiuliza baada ya kuchomeka na kumaliza ufirauni wako ukichomoa unaendelea kulala hapo hapo au unaenda bafuni na kutazama uchafu wa kinyesi uliogandamana kwenye uume wako na kuanza kusafisha unashafishaje na unaposafisha huwa unashika na mikono na kunusa kama umesafishika?

Hivi ukishatoka hapo unajiona ni timamu kabisa wa akili? [emoji848][emoji848][emoji848]

Aiseee MUNGU atusaidie. Mimi ndio maana ilifika muda kwenda lodge nikawa very selective yaani hadi nichague lodge ya kulala basi nitakagua sana maana imagine kuna watu wanakuja lodge humo kufanya haya mambo halafu mimi nije niingie tena humo aiseee hapana.

Na ndio maana siku hizi wanawake hawa mapepe wasiotulia hawaishiwi na magonjwa yasiyoeleweka na makali sana sababu kuna Virusi wanavipokea kutoka kwa hawa wanaume wachafu wa tabia na mwili kisha wanatembea navyo hospital wanashidwa vielewa maana hata dawa zake hakuna.

Unasikia tu PID ila ukimeza dawa na kuchomwa sindano wiki tu ugonjwa umerudi, maharufu ya ajabu utadhani huko chini kuna mzoga wa samaki au panya. Aisee haya yote ni matokeo ya kwenye kinyume na utaratibu sahihi wa kufanya mapenzi.
Mkuu umemaliza kila kitu,kudos.
 
Ushawishi gani? Acheni uongo wenu, tatizo la Bongo wamejaa bisexuals na sio straight.

Hakuna ushawishi wowote, ni nyie wenyewe mnatakaa, ila unafiki unawasumbua.
Haya ni mashenzi tuuu,hakuna mwanaume kamili au straight anaweza kushawishika kumla gay au demu akakubali kuwekwa mafinger na tomboy,ukiona limeshawishika ujue lilishawahi kutamani ndo wakati umewadia sasa linawaza likubali au likatae
 
Haya ni mashenzi tuuu,hakuna mwanaume kamili au straight anaweza kushawishika kumla gay au demu akakubali kuwekwa mafinger na tomboy,ukiona limeshawishika ujue lilishawahi kutamani ndo wakati umewadia sasa linawaza likubali au likatae
Bora mseme nyie, nikisema mie naonakena mbayaa
 
Wanawake ndo hupata tabu wakati wa kujifungua, naskia huishia kujamba jamba tu badala ya kupump mtoto atoke, wengi huchafua mashuka kwa nnya
Hii ni misinformation.... hizo ni infection sawa tu na fistula hazina uhusiano na anal sex.
Uongo uko wapi hapo mkuu.
Mwanaume akipigwa pipe anakua na pigo za kike, analegea(kuharibika nje)
Sio kweli, wapo wengi tu ukiambiwa ni shoga unakataa maana muonekano haufanani. Huko kulegea au kuwa feminine ni hulka na hormone zaidi kuliko kuingiliwa.
unaingiza uchafu kule ndichi na pia mtu anapoteza uwezo wa kusimamisha vizuri.
Kushindwa kusimamisha ni saikolojia zaidi maana anakua anavutiwa zaidi na wanaume kuliko wanawake na sio sababu ya kuingiliwa kinyume. Ndio maana kuna watu wanajiita versatile anaingiliwa na kuingilia sasa angewezaje kuingilia wenzake ilihali ameshaingiliwa sana? Or hujawahi kusikia mtu ana watoto kabisa ila anageuzwa?

Tutofautishe hisia/saikolojia na tendo la ngono?
 
Hii ni misinformation.... hizo ni infection sawa tu na fistula hazina uhusiano na anal sex.
Sio kweli, wapo wengi tu ukiambiwa ni shoga unakataa maana muonekano haufanani. Huko kulegea au kuwa feminine ni hulka na hormone zaidi kuliko kuingiliwa.

Kushindwa kusimamisha ni saikolojia zaidi maana anakua anavutiwa zaidi na wanaume kuliko wanawake na sio sababu ya kuingiliwa kinyume. Ndio maana kuna watu wanajiita versatile anaingiliwa na kuingilia sasa angewezaje kuingilia wenzake ilihali ameshaingiliwa sana? Or hujawahi kusikia mtu ana watoto kabisa ila anageuzwa?

Tutofautishe hisia/saikolojia na tendo la ngono?
Umeandika upotoshaji mkubwa sana mkuu yaani mkubwa mno.

Kwa maana hiyo kuingilwa nyuma hakuna madhara??

Yote hapo juu umefanya kuyapindisha tu ila yote ni ya kweli kabisa.
 
Mtu yeyote anayefanywa nyuma anavunja sheria za asili na za Kimungu.

Mwanaume anayefanywa nyuma na mwanamke anayefanywa kinyume nyume wote ni walewale, yaani wote ni mashoga.

Kama mwanaume na akili zako timamu unaweza kumfanya mwanamke kinyume na maumbile usiwadharau mashoga wa kiume, hao pia ni wake zako.

Jamii inapokemea mashoga isibebe picha za wafanyaji kinyume na maumbile wanaume tu, wapo wanawake pia tena ni maelfu kwa maelfu nao wakemewe ikiwezekana watengwe.

Sheria za Tanzania mapenzi kinyume na maumbile ni mwiko kwa jinsia zote.

Na ndoa yoyote inakuwa batili pindi tu wanandoa wanapofanya kinyume na maumbile.
Hata kumwomba mke wako makalio hapo tayari ndoa imekuwa haramu, au mke wako akikuomba umfanye matakoni pia hapo mwanaume una haki ya kuvunja ndoa.
Tuwekee na vifungu vya maandiko basi ili nasisi tuwe na nguvu yakuhubiri neno.
 
Back
Top Bottom