Wanawake wanaongoza kuvunja ndoa Kilimanjaro

Wanawake wanaongoza kuvunja ndoa Kilimanjaro

😅 Seriously mie divorce ilinitesa sana mkuu, sikuwahi kwenye maisha yangu kuwaza hiyo kitu kuni Kuta. Nilipata depression karibia miezi mitatu.. niiliisha nikawa kama fuvu.. Sina hela.. maana mie manzi mchungaji alikanyaga waya, na demu akaniambia nikatafute hela siku nikipata hela turudiane 🤣🤣🤣.. niliugua.. nimekuja ku recover baada ya karibia miezi 10 ndio hata nikaanza kuwa ana akili zangu.. Mie watu wanao cheza na ndoa nawatazama.. ndoa unaweza kuharibu maisha ya mtu jumla jumla.. sio kitu cha mchezo mchezo aisee.. mie naogopa sana kitu inaitwa ndoa..
Sawa mwanawane wacha na mie nilinde ndoa yangu hapa ila uzuri mie mke wangu nilishampa free pass 4 kwa mwaka akagegedwe na de liboloz nyingine maana mie kibamia changu najua anakivumilia kisa hela ninayo
 
Sawa mwanawane wacha na mie nilinde ndoa yangu hapa ila uzuri mie mke wangu nilishampa free pass 4 kwa mwaka akagegedwe na de liboloz nyingine maana mie kibamia changu najua anakivumilia kisa hela ninayo
😅😅😅😅 Weye enjoy ndoa ni tamu ikiwa tamu, na ndoa ni mauti ikiwa mauti.. weye furahia.. mie acha niendelea kupiga code hapa Silicone valley
 
😅😅😅😅 Weye enjoy ndoa ni tamu ikiwa tamu, na ndoa ni mauti ikiwa mauti.. weye furahia.. mie acha niendelea kupiga code hapa Silicone valley
Alafu mzeya ebu nikuulize kitu.
Huko silcon valley nasikia biashara ya cocaine inalipa sana....vipi nilete mzigo?
 
Alafu mzeya ebu nikuulize kitu.
Huko silcon valley nasikia biashara ya cocaine inalipa sana....vipi nilete mzigo?
😅😅 Ukitoboa kufikisha mzigo unapiga mzigo.. unataka kutuletea cocain daraja gani mwanawaneeem. Mtoto wa mzee kinana anahitaji faraja mwanawaneee
 
😅😅 Ukitoboa kufikisha mzigo unapiga mzigo.. unataka kutuletea cocain daraja gani mwanawaneeem. Mtoto wa mzee kinana anahitaji faraja mwanawaneee
Ah huko nasikia ni watumiaji wa high grade sio mataptap ya hawa wa tmk na knondo.
Haya bana wacha nije na mzigo.
La mwisho, hizi computer inabadilishaje 1 &0 kuwa images na functions zote
 
Ndoa sasa hivi zina matatizo. Haya mambo hatukuwa tunayaona kwa wazee wetu.. Sasa hivi jamaa na maadili yame mong'onyoka sana . Ndio maana ndoa zenyewe zimekosa thamani. Ukiangalia sababu za siku hizi za kuvunja ndoa ni upuuzi mtupu.. hazina uzito ila kwakua mtu kamchoka mtu ndio imeisha hiyo
Maisha ya wazee wetu yalikuwa tofauti sana na yetu. Ndoa ni ngumu tangu zamani, ila wazee wetu waliandaliwa kukabiliana na hali hizo hivyo ilisaidia angalau. Je sisi tuli/meandaliwa kuyapokea mabadiliko ya sasa? Mwanaume anamtaka mke kama bibi yake ilihali yeye sio babu yake, how is that possible?

Ukifuatilia kwa kiasi kukubwa ndoa zilidumu kwasababu ya uvumilivu wa wanawake, kwasababu hawakuwa na options. Kwa sasa wanawake wana options hivyo kuvumilia upuuzi ni ngumu.

Mwanamke hakuruhusiwa kumiliki ardhi wala mali. Hivyo alimtegemea mumewe 100%. Akiamua kuondoka angeteseka na kutengwa mpaka na familia yake. Hivyo hakuwa na option bali kuendelea kuvumilia.

Kwasasa wanawake wanasoma na wanakuwa na nguvu kiuchumi. Hivyo ana option ya kuondoka na kuendelea na maisha vizuri. Hata wazazi wanamwambia "binti yetu, ukiona umeshindwa basi ondoka".
 
Ah huko nasikia ni watumiaji wa high grade sio mataptap ya hawa wa tmk na knondo.
Haya bana wacha nije na mzigo.
La mwisho, hizi computer inabadilishaje 1 &0 kuwa images na functions zote
High grade unyama sana.. ukileta nitakuungisha biashara..

Niulizie mambo yangu maswala ya Machine Learning, Deep Learning au AES , 3DES.. hilo swali la mtoto wa chekechea mwanawaneee 🤣🤣🤨 uliza chochote kuhusu AI au Cryptography nitakujibu
 
Maisha ya wazee wetu yalikuwa tofauti sana na yetu. Ndoa ni ngumu tangu zamani, ila wazee wetu waliandaliwa kukabiliana na hali hizo hivyo ilisaidia angalau. Je sisi tuli/meandaliwa kuyapokea mabadiliko ya sasa? Mwanaume anamtaka mke kama bibi yake ilihali yeye sio babu yake, how is that possible?

Ukifuatilia kwa kiasi kukubwa ndoa zilidumu kwasababu ya uvumilivu wa wanawake, kwasababu hawakuwa na options. Kwa sasa wanawake wana options hivyo kuvumilia upuuzi ni ngumu.

Mwanamke hakuruhusiwa kumiliki ardhi wala mali. Hivyo alimtegemea mumewe 100%. Akiamua kuondoka angeteseka na kutengwa mpaka na familia yake. Hivyo hakuwa na option bali kuendelea kuvumilia.

Kwasasa wanawake wanasoma na wanakuwa na nguvu kiuchumi. Hivyo ana option ya kuondoka na kuendelea na maisha vizuri. Hata wazazi wanamwambia "binti yetu, ukiona umeshindwa basi ondoka".

Hizo option sio sababu ya kuvunja ndoa. Ukiangalia hizo options za kuvunja ndoa ni hazina mashiko nyingi. Maandalizi nakubaliana na wewe kabisa. Ila kuna tatizo sana kwenye jamii kwasababu ya hizo options lakini ndoa Sasa hivi imekuwa fashion na sio ndoa katika maana harisi ya ndoa. Ndio maana unaweza lala mtu Leo kesho akaenda kuomba talaka.. hakuna upendo hakuna heshima watu wameamua kuwa wahuni
 
High grade unyama sana.. ukileta nitakuungisha biashara..

Niulizie mambo yangu maswala ya Machine Learning, Deep Learning au AES , 3DES.. hilo swali la mtoto wa chekechea mwanawaneee 🤣🤣🤨 uliza chochote kuhusu AI au Cryptography nitakujibu
Sasa lakitoto sii ndio mie nataka jibu maana hawa wasomi wetu wa bongo nawauliza wanajing'ata ulimi tuu.
Wee kwa sababu upo kwa wenye huwezi kusa kujua mawili matatu
 
High grade unyama sana.. ukileta nitakuungisha biashara..

Niulizie mambo yangu maswala ya Machine Learning, Deep Learning au AES , 3DES.. hilo swali la mtoto wa chekechea mwanawaneee 🤣🤣🤨 uliza chochote kuhusu AI au Cryptography nitakujibu
Sasa lakitoto sii ndio mie nataka jibu maana hawa wasomi wetu wa bongo nawauliza wanajing'ata ulimi tuu.
Wee kwa sababu upo kwa wenye huwezi kusa kujua mawili matatu
 
Binafsi mimi niliamua kuahirisha ndoa yangu na mpenzi wangu tuliedumu fours years kwenye uchumba Baada ya kufika kwao nikakuta mama na bibi, shangazi, mama wadogo wapo lakini, baba, babu, wajomba, baba wadogo asilimia kubwa walikuwa wameshatangulia mbele za haki
Miji hiyo yote zinaendeshwa na wanawake

Ilinifikirisha sana, nikaamua kufanya maamuzi magumu na mahari niliacha hukohuko nimeamua kutulia
uzuri " we men we age like wine" no Ned to hurry

Napata maswali mawili
1.je wanafariki kimazingara
2.Ni zile dawa zinazosemekana wanaume hupewa na kufa pole Pole maybe 2 to 5 years
3.Ni magonjwa yanatokana na kupiga kazi ngumu ngumu muda mrefu?
4.je ni life style tu? Mfano pimb kupita kiasi Maana wachaga kwa kuzimua ni balaa

Karibuni kwa michango
Mind.e hajawahi kuolewa, amezaa TU na Kila mtu huko Kilimanjaro,alijuaje mambo ya kuvuja ndoa?
 
Back
Top Bottom