Ummesh
JF-Expert Member
- Dec 20, 2015
- 2,077
- 1,142
Safi sana.Anayenisugua mgongoni nikioga ndiye anayenisugua na kucha pia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safi sana.Anayenisugua mgongoni nikioga ndiye anayenisugua na kucha pia
Sawa ila usisahau kumwambia mkeo aachane na hiyo tabia maana ipo siku ataomba kusuguliwa na mgongo kbsaKwakweli nikipita bila ku comment hapa ntakuwa sijakutendea haki,endelea hivyohivyo mama big up kwa sana
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Safi sana.
Hahahahahah bahati nzuri au mbaya bado sijafanikiwa kumpata wa kunipenda ila nikimpata nitam treat the way umeniambiaSawa ila usisahau kumwambia mkeo aachane na hiyo tabia maana ipo siku ataomba kusuguliwa na mgongo kbsa
Wewe wako hasuguliwi mkuu?Hiyo ni kweli kabisa haina ubishi..Cha ajabu watakuja kubisha hapa
Kazi kwenu wenye wake wanaopenda kusuguliwa kucha.
[emoji3][emoji3]anawasugua vizuri itakuwa.Jana nimekaa ndani nikasikia barazani wadada wanamuomba namba msugua kucha.Afu wanamsifia eti anasugua vizuri
Sawa mkuu kila la kheriHahahahahah bahati nzuri au mbaya bado sijafanikiwa kumpata wa kunipenda ila nikimpata nitam treat the way umeniambia
Hongera kwa kujitoa kwenye orodha ya wasuguliwaji.Binafsi sipendi huo ujinga kabisa
Wenye wake zao watakukunjaWakuu habrn za kazi
Nimegundua wanawake wanaopenda kusuguliwa kucha na wasugua kucha huishia kusex nao.
Huu ndiyo ukweli wasugua kucha wanagegeda sana wake za watu tena ndani ya nyumba zao.
Nilikuwa naenda kumtembea rafiki yangu nyumbani kwake , jamaa akawa hayupo niliyemkuta alikuwa mkewe lkn hakuwa peke yake alikuwa na msugua kucha.
Nikaaga na kwenda zangu,siku mbili baadae nilikutana na yule msugua kucha kwakuwa tulikuwa tumeshafahamiana tukasalimiana na kuongea kidogo.
Ktk maongezi yetu alijikuta akinieleza jinsi wanavyogegeda wake za watu.
Anasema si rahisi umsugue miguu na kucha bila kuamsha hisia zake nahujikuta wakipewa tunda bureeee kbsa.
Msugua kucha alisema wengi wanaosex nao ni wake za watu.
Kazi kwenu wenye wake wanaopenda kusuguliwa kucha.
Kumbe, nami ntaanza kufanyiwa scrub mkuuni sawa na sisi wanaume tunavyowagegeda wale wafanya scrub kule saluni,akishamaliza kukushikashika unaondoka na namba ya simu tu.
Hahahaha! Sijajitoa maana sijawahi kuingiaHongera kwa kujitoa kwenye orodha ya wasuguliwaji.
Washawahi ku attempt kutaka kukuzoa mkuu?Wasugua kucha nao zoa zoa mno
sina mke mkuuWewe wako hasuguliwi mkuu?
Hehe bora iendelee kuwa opposite gender mkuu, ikibadilika wimbi la mashoga na wasagaji litazidi.Ni mambo ya ajabu kabisa. Haya mambo ya kusingwa,kusafishwa kucha scrub etc
na opposite gender ni miongoni mwa vichocheo vya uzinifu.
Ohoo, omba sana MUNGU usimpate aliezoea kusuguliwa[emoji3]sina mke mkuu