Wanawake wanawahi kuchoka, Mwanaume unatoa wapi ujasiri wa kuoa mwanamke mnayelingana umri?

Wanawake wanawahi kuchoka, Mwanaume unatoa wapi ujasiri wa kuoa mwanamke mnayelingana umri?

R-K-O

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2023
Posts
482
Reaction score
2,178
Nitoe mfano, majina yakiwa ya kutunga.

Mwaka 2008 Fred akiwa na miaka 26 alifunga ndoa na Recho mwenye miaka 25. Wote walikuwa bado ni vijana wabichi kabisa wanavutia.

Kufikia Leo Fredi ana miaka 41 huku Recho ana 40, unaweza kuhisi Fred alioa dada yake.

Fred ni rafiki yangu, anakiri kwamba alikosea kufanya huo uamuzi hasa ukizingatia yeye bado kijana ambae huvutiwa bado na mabinti wenye muonekano wa ujana bila make up, ambao wengi ni chini ya miaka 32.

Muda huu ni ngumu hata kwa Recho kuzaa na kuzaa akiwa na miaka 41 na kuanza kulea watoto, ule umri mzuri wa kuzaa ushampita, hivyo inakuwa kizuizi hata kwa Fred.

Pia wote kwa pamoja wapo katika hatari ya magonjwa nyemelezi ya miaka ya 40 kama kisukari, homa ya ini, presha, n.k.
 
Nitoe mfano, majina yakiwa ya kutunga.

Mwaka 2008 Fred akiwa na miaka 26 alifunga ndoa na Recho mwenye miaka 25.

Wote walikuwa bado ni vijana wabichi kabisa wanavutia.

Kufikia Leo Fredi ana miaka 41 huku Recho ana 40 unaweza kuhisi Fred alioa dada yake.

Fred ni rafiki yangu anakiri kwamba alikosea kufanya huo uamuzi hasa ukizingatia yeye bado kijana ambae huvutiwa bado na mabinti wenye muonekano wa ujana bila make up ambao wengi ni chini ya miaka 32.

Muda huu ni Ngumu hata kwa Recho kuzaa na kuzaa akiwa na miaka 41 na kuanza kulea watoto, ule umri mzuri wa kuzaa ushampita, hivyo inakuwa kizuizi hata kwa Fred.

Pia wote kwa pamoja wapo katika hatari ya magonjwa nyemelezi ya miaka ya 40 kama kisukari, homa ya ini, presha, n.k.
Kwani huyo Recho tangu walivyoona na Fred akiwa na miaka 26 hakuzaa mpaka atake kuzaa tena na miaka 40?[emoji848]
 
Nitoe mfano, majina yakiwa ya kutunga.

Mwaka 2008 Fred akiwa na miaka 26 alifunga ndoa na Recho mwenye miaka 25.

Wote walikuwa bado ni vijana wabichi kabisa wanavutia.

Kufikia Leo Fredi ana miaka 41 huku Recho ana 40 unaweza kuhisi Fred alioa dada yake.

Fred ni rafiki yangu anakiri kwamba alikosea kufanya huo uamuzi hasa ukizingatia yeye bado kijana ambae huvutiwa bado na mabinti wenye muonekano wa ujana bila make up ambao wengi ni chini ya miaka 32.

Muda huu ni Ngumu hata kwa Recho kuzaa na kuzaa akiwa na miaka 41 na kuanza kulea watoto, ule umri mzuri wa kuzaa ushampita, hivyo inakuwa kizuizi hata kwa Fred.

Pia wote kwa pamoja wapo katika hatari ya magonjwa nyemelezi ya miaka ya 40 kama kisukari, homa ya ini, presha, n.k.
Oa mwanamke unayeweza kuwa comfortable naye. Oa mwanamke anayeweza kukupa amani ya moyo wako mpaka ndani ya nyumba. Mtu kama mimi sipendi mwanamke anayenipigia kelele na kunifokea. Ninaweza kumchoma kisu hata cha shingoni. Sasa nikipata mwenye umri kama wangu wa miaka 29 lakini ananipa amani ya moyoni, hanifokei, kwanini nisimuoe??
 
Nitoe mfano, majina yakiwa ya kutunga.

Mwaka 2008 Fred akiwa na miaka 26 alifunga ndoa na Recho mwenye miaka 25.

Wote walikuwa bado ni vijana wabichi kabisa wanavutia.

Kufikia Leo Fredi ana miaka 41 huku Recho ana 40 unaweza kuhisi Fred alioa dada yake.

Fred ni rafiki yangu anakiri kwamba alikosea kufanya huo uamuzi hasa ukizingatia yeye bado kijana ambae huvutiwa bado na mabinti wenye muonekano wa ujana bila make up ambao wengi ni chini ya miaka 32.

Muda huu ni Ngumu hata kwa Recho kuzaa na kuzaa akiwa na miaka 41 na kuanza kulea watoto, ule umri mzuri wa kuzaa ushampita, hivyo inakuwa kizuizi hata kwa Fred.

Pia wote kwa pamoja wapo katika hatari ya magonjwa nyemelezi ya miaka ya 40 kama kisukari, homa ya ini, presha, n.k.
Sasa mwanaume ukishazeeka kumzidi mke wako yeye ananza kumtafuta kijana wakutimiza mahitaji, Aisee mimi Naona Ni vyema Kuoana Mliolanga Hamna Tabu, Kwan Unataka ufanye mapenz mpaka Ukiwa na miaka 70 au? kuna mambo mengine
 
Sasa mwanaume ukishazeeka kumzidi mke wako yeye ananza kumtafuta kijana wakutimiza mahitaji, Aisee mimi Naona Ni vyema Kuoana Mliolanga Hamna Tabu, Kwan Unataka ufanye mapenz mpaka Ukiwa na miaka 70 au? kuna mambo mengine
Mwanamke mkilingana, hata stories zenu zinafanana. Marafiki wanakuwa agemates, mnakumbushiana habari za Amina Chifupa alipokuwa Clouds FM au Akina Daz Baba wakati anasoma Azania. Sasa wewe ulizaliwa 1985 unaona dada wa 2001 utapiga naye story gani wakati wa usiku??
 
Nitoe mfano, majina yakiwa ya kutunga.

Mwaka 2008 Fred akiwa na miaka 26 alifunga ndoa na Recho mwenye miaka 25.

Wote walikuwa bado ni vijana wabichi kabisa wanavutia.

Kufikia Leo Fredi ana miaka 41 huku Recho ana 40 unaweza kuhisi Fred alioa dada yake.

Fred ni rafiki yangu anakiri kwamba alikosea kufanya huo uamuzi hasa ukizingatia yeye bado kijana ambae huvutiwa bado na mabinti wenye muonekano wa ujana bila make up ambao wengi ni chini ya miaka 32.

Muda huu ni Ngumu hata kwa Recho kuzaa na kuzaa akiwa na miaka 41 na kuanza kulea watoto, ule umri mzuri wa kuzaa ushampita, hivyo inakuwa kizuizi hata kwa Fred.

Pia wote kwa pamoja wapo katika hatari ya magonjwa nyemelezi ya miaka ya 40 kama kisukari, homa ya ini, presha, n.k.
Lakini wanaowahi kufa ni wanaume.
 
Nitoe mfano, majina yakiwa ya kutunga.

Mwaka 2008 Fred akiwa na miaka 26 alifunga ndoa na Recho mwenye miaka 25.

Wote walikuwa bado ni vijana wabichi kabisa wanavutia.

Kufikia Leo Fredi ana miaka 41 huku Recho ana 40 unaweza kuhisi Fred alioa dada yake.

Fred ni rafiki yangu anakiri kwamba alikosea kufanya huo uamuzi hasa ukizingatia yeye bado kijana ambae huvutiwa bado na mabinti wenye muonekano wa ujana bila make up ambao wengi ni chini ya miaka 32.

Muda huu ni Ngumu hata kwa Recho kuzaa na kuzaa akiwa na miaka 41 na kuanza kulea watoto, ule umri mzuri wa kuzaa ushampita, hivyo inakuwa kizuizi hata kwa Fred.

Pia wote kwa pamoja wapo katika hatari ya magonjwa nyemelezi ya miaka ya 40 kama kisukari, homa ya ini, presha, n.k.
Wanachoka wapi, fafanua
 
Mwanamke mkilingana, hata stories zenu zinafanana. Marafiki wanakuwa agemates, mnakumbushiana habari za Amina Chifupa alipokuwa Clouds FM au Akina Daz Baba wakati anasoma Azania. Sasa wewe uzaliwa 1985 unaona dada wa 2001 utapiga naye story gani wakati wa usiku??
Ahahahaha..Kweli.Yan mimi eti niwe na binti wa 20's..Automatically siwezi.
hatuendani umri
Hatuendani mitazamo
Hatuendani fikra
Hatuendani kihistory
Yan hatuendani kwenye mambo mengi sana.

Ndio yale unajikuta umegeuka kuwa provider badala ya partner.Kila kitu wewe ndio wa kutoa kisa unachoambulia wewe ni sex tu.
Huu nao ni ufala kama ufala mwingine.

Tutaongea kitu gani na mtoto ambaye umezidi miaka almost 10?
Nini ambacho naweza kaa nae chin tukaongea??

Unawaza kuhusu buznes anawaza kuhusu outing n spending..n SEX..what the hell??mtajenga nini hapo?
 
Ahahahaha..Kweli.Yan mimi eti niwe na binti wa 20's..Automatically siwezi.
hatuendani umri
Hatuendani mitazamo
Hatuendani fikra
Hatuendani kihistory
Yan hatuendani kwenye mambo mengi sana.

Ndio yale unajikuta umegeuka kuwa provider badala ya partner.Kila kitu wewe ndio wa kutoa kisa unachoambulia wewe ni sex tu.
Huu nao ni ufala kama ufala mwingine.

Tutaongea kitu gani na mtoto ambaye umezidi miaka almost 10?
Nini ambacho naweza kaa nae chin tukaongea??

Unawaza kuhusu buznes anawaza kuhusu outing n spending..mtajenga nini hapo?
Watu wanaangali sex tu na sifa za kumuweka Instagram. Kuoa agemates/peers kuna faida zake napo.
 
Maisha ni kuzingatia upevu wa akili,mfano mkiwa aged 30 wote wawili mtawaza kuanza ujenzi wa nyumba ya familia yenu wakati ukiwa na wa miaka 20 yeye atakuwa bado anawaza kuringishiana na mashoga zake models za iPhones na kubadilisha mitindo ya mavazi huku wewe umri unaenda nguvu zikipungua na majukumu yakiongezeka akija kufika 30 wewe una 40 hapo ameshapevuka akili anaanza kuwaza ujenzi hapo mna watoto watatu wanasoma nyumba ni ya kupanga unadhani kuna kitu utafanya tena?

Mwanamke akila vizuri akilala pazuri hazeeki shida mnawatia stress kuchepuka lishe yenyewe hamtoi inavyotakiwa mnazeekea nyumba za kupanga kwa hizi changamoto hataacha kuwa bibi akifika 43.
 
Watu wanaangali sex tu na sifa za kumuweka Instagram. Kuoa agemates/peers kuna faida zake napo.
I met my girl tukiwa both at 20yrs old hapo ndio tumetoka kumaliza form 6..I married her tukiwa 26yrs miaka miaka 2 baada ya kumaliza chuo..Hatukua na kaz wote but tulikua tunaendana kwenye mambo mengi sanaa.Mnakaa chin mnapanga plan zinaenda cz mnayatazama maisha katika same perspective..Mimi na yeye tuko 34 with 4 kids first born akiwa already secondary....oa mshkaji wako..sio mambo ya kuoa mtu sawa na mwanao au mdogo ako wa mwisho huko ndio maana hata mawifi zake wanapata guts za kumtingisha 😂.

Anyway ,sio kila kina workout kwa mtu flan bas lazima ki apply kwa mwingine pia...Kila mtu afanye anachotaka
 
Kila mmja ana namna yake ya kuchakata masuala ya mahusiano ila kwangu mimi nikiwa na mwanamke ambae ni mdogo sana kimsingi ananichosha haraka sabb nakosa cha kuzungumza nae positively nahisi anakuwa haendani na tabia zangu kimazungumzo,matendo sabb anakosa instincts za urafiki wenye uhusiano.
Kipindi nahusiana na age mate wangu ilikuwa ni moment bora zaidi sabb anatambua situations zangu zote na umbea tunapiga fresh sana alijua tokea mdogo napenda mpira hivo ikifika muda wa mechi zangu anajua vile Nataka...late last year nlihusiana na bint nimemzidi miaka mi5 nlihisi utofauti mkubwa sana...
Acha nikusanye hela za mama anaeupinga mwingi nitaangaza kwa agemate mwenye sifa zangu niweke ndani.
 
Back
Top Bottom