ππππππππ jamaa yangu una vitukoMwanamke mkilingana, hata stories zenu zinafanana. Marafiki wanakuwa agemates, mnakumbushiana habari za Amina Chifupa alipokuwa Clouds FM au Akina Daz Baba wakati anasoma Azania. Sasa wewe ulizaliwa 1985 unaona dada wa 2001 utapiga naye story gani wakati wa usiku??
[emoji625][emoji625]Ahahahaha..Kweli.Yan mimi eti niwe na binti wa 20's..Automatically siwezi.
hatuendani umri
Hatuendani mitazamo
Hatuendani fikra
Hatuendani kihistory
Yan hatuendani kwenye mambo mengi sana.
Ndio yale unajikuta umegeuka kuwa provider badala ya partner.Kila kitu wewe ndio wa kutoa kisa unachoambulia wewe ni sex tu.
Huu nao ni ufala kama ufala mwingine.
Tutaongea kitu gani na mtoto ambaye umezidi miaka almost 10?
Nini ambacho naweza kaa nae chin tukaongea??
Unawaza kuhusu buznes anawaza kuhusu outing n spending..n SEX..what the hell??mtajenga nini hapo?
What is it?[emoji625][emoji625]
Kwani mkifa mkiwa na 70 bado kuna watoto watakaohitaji uangalizi?Sasa mkifa wote nani anabaki na watoto
ExactlyOa mwanamke unayeweza kuwa comfortable naye. Oa mwanamke anayeweza kukupa amani ya moyo wako mpaka ndani ya nyumba. Mtu kama mimi sipendi mwanamke anayenipigia kelele na kunifokea. Ninaweza kumchoma kisu hata cha shingoni. Sasa nikipata mwenye umri kama wangu wa miaka 29 lakini ananipa amani ya moyoni, hanifokei, kwanini nisimuoe??
We stow away unazingua π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Na wanaruhusiwa kuacha na kuoa mwingine, ukiona umemla radha mbaya kisamaki kimekolea unapiga chini unavuta mwingine
Wanawake wanatuua shenzy kabisaKwahiyo issue hapo mke wa Fred havutii?
Je, kwanini wanaume wengi hufa mapema kuliko wake zao ?
Mke anaishi miaka 20 mpaka 30 baada ya mume kufa.
Ungeshauri tuoe wanawake waliotuzidi angalau miaka 10 ili tumalize nao mwendo