Wanawake wanawahi kuchoka, Mwanaume unatoa wapi ujasiri wa kuoa mwanamke mnayelingana umri?

πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ jamaa yangu una vituko
 
[emoji625][emoji625]
 
Sasa mkifa wote nani anabaki na watoto
Kwani mkifa mkiwa na 70 bado kuna watoto watakaohitaji uangalizi?
Tunazungumzia vifo vitokanavyo na kuchoka/kuzeeka.
Mpaka mchoke tayari watoto wanajiweza labda kama mlikuwa hamjawaweka ktk hali nzuri
 
Exactly
 
Na wanaruhusiwa kuacha na kuoa mwingine, ukiona umemla radha mbaya kisamaki kimekolea unapiga chini unavuta mwingine
We stow away unazingua 🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣

Kisamaki au sio?! πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£
 
Kwahiyo issue hapo mke wa Fred havutii?
Je, kwanini wanaume wengi hufa mapema kuliko wake zao ?
Mke anaishi miaka 20 mpaka 30 baada ya mume kufa.
Ungeshauri tuoe wanawake waliotuzidi angalau miaka 10 ili tumalize nao mwendo
Wanawake wanatuua shenzy kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…