Ramon Sanchez
JF-Expert Member
- Oct 9, 2022
- 767
- 1,850
Unataka nimfanyeje mtu anayenifokea kama mtoto mdogo?Utamchoma kisu shingoni???
Una roho ya mauaji,jitathimi,yameujaza moyo wako hayo🙏🏊
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka nimfanyeje mtu anayenifokea kama mtoto mdogo?Utamchoma kisu shingoni???
Una roho ya mauaji,jitathimi,yameujaza moyo wako hayo🙏🏊
[emoji28][emoji28]swali zurKwani huyo Recho tangu walivyoona na Fred akiwa na miaka 26 hakuzaa mpaka atake kuzaa tena na miaka 40?[emoji848]
KATAA NDOA😕😕😕😕Nitoe mfano, majina yakiwa ya kutunga.
Mwaka 2008 Fred akiwa na miaka 26 alifunga ndoa na Recho mwenye miaka 25. Wote walikuwa bado ni vijana wabichi kabisa wanavutia.
Kufikia Leo Fredi ana miaka 41 huku Recho ana 40, unaweza kuhisi Fred alioa dada yake.
Fred ni rafiki yangu, anakiri kwamba alikosea kufanya huo uamuzi hasa ukizingatia yeye bado kijana ambae huvutiwa bado na mabinti wenye muonekano wa ujana bila make up, ambao wengi ni chini ya miaka 32.
Muda huu ni ngumu hata kwa Recho kuzaa na kuzaa akiwa na miaka 41 na kuanza kulea watoto, ule umri mzuri wa kuzaa ushampita, hivyo inakuwa kizuizi hata kwa Fred.
Pia wote kwa pamoja wapo katika hatari ya magonjwa nyemelezi ya miaka ya 40 kama kisukari, homa ya ini, presha, n.k.
Just ignore her, kama unatumia kinywaji tafuta pub ya karibu kapige chupa zako kadhaa.Unataka nimfanyeje mtu anayenifokea kama mtoto mdogo?
Yaani nitumbukie kwenye ulevi kwa sababu ya mpuuzi mmoja tena mtoto wa mwanaume mwingine??Just ignore her, kama unatumia kinywaji tafuta pub ya karibu kapige chupa zako kadhaa.
Sikuumbwa kuishi kwa mateso kwa sababu ya mtu fulani. Nitampiga nimvunjilie mbali.Kuishi na mwanamke kunahitaji akili yako iwe active muda wote.
Sasa mimi nazungumzia kipengele hicho hicho cha genye unachoona ni kidogo, katika hizo hizo siku chache tutakazofanya mapenzi ndo nazungumzia.SAwa..kama unafikiri huko kwenye ndoa ni nyege tuu ndio zinawindwa bas kaa kwa kutulia mpaka uoe..uone jinsi gan unaweza lala na mwanamke kitanda kimoja na usiwe hata na wazo la ngono.
Ndoani ngono ina sehemu ndogo sanaaa japo yenye umuhim mkubwa katika udogo wake huo huo
Kuna namna ya kumpa discipline mwanamke kumrudisha kwenye mstari bila kumvunja, vibao vya kelbu vinamtosha sana.Sikuumbwa kuishi kwa mateso kwa sababu ya mtu fulani. Nitampiga nimvunjilie mbali.
Huyo fred tu hakumpenda mkewe tokea mwanzo.
Hayo magonjwa nyemelezi umri wa miaka 40 yanatoka wapi? Labda kama hujitunzi tu yaani kula hovyo na kuwa legelege
Mbona Padre ananipenda hivi wakati tuna umri wenye tofauti kubwa ?
Sasa kama mwenye 40yrs amekushinda sasa huyo mdogo utamfanyia nini akuelewe
Mapadre wa Anglican wanaowa.Mumeo ana cheo cha U-padre au ni jina tu?! 🤔🤔🤔
Inamaana kumbe padre anaruhusiwa kuoa na kuwa na mtoto/watoto?!
Yupo timamu kiakili na maisha yenu hayana misukosuko?! Nasikiaga Padre akiasi au kusaliti upadre kwa kuvunja masharti lazima aharibikiwe...ndomana nime-double question Mama mkwe mama mndenyi 😅👍🏾
Mapadre wa Anglican wanaowa.
[emoji3][emoji3] sio sijaelewa, kasema huyo wa 40yrs unampandisha cheo, nakumletea msaidizi mweye 30yrs, sasa nauliza kama huyo 1 humuwezi wakiwa wawili si utakuwa kichaa?Hujaelewa bwana uweso umekurupuka
Hujamuelewa jamaa umekurupuka kujibu. Kuna sababu nyingi za kumpumzisha mwanamke na kumletea mwenzake. . . . . Haimanishi kwamba humuwezi au jamaa hamuwezi[emoji3][emoji3] sio sijaelewa, kasema huyo wa 40yrs unampandisha cheo, nakumletea msaidizi mweye 30yrs, sasa nauliza kama huyo 1 humuwezi wakiwa wawili si utakuwa kichaa?
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Na wanaruhusiwa kuacha na kuoa mwingine, ukiona umemla radha mbaya kisamaki kimekolea unapiga chini unavuta mwingineDUHH! KALI... AHSANTE DR.
Umesoma comment nilio quote?Hujamuelewa jamaa umekurupuka kujibu. Kuna sababu nyingi za kumpumzisha mwanamke na kumletea mwenzake. . . . . Haimanishi kwamba humuwezi au jamaa hamuwezi
Sasa mkifa wote nani anabaki na watotoKwahiyo issue hapo mke wa Fred havutii?
Je, kwanini wanaume wengi hufa mapema kuliko wake zao ?
Mke anaishi miaka 20 mpaka 30 baada ya mume kufa.
Ungeshauri tuoe wanawake waliotuzidi angalau miaka 10 ili tumalize nao mwendo
Sahihi kabisa bossMi mwenyewe nashangaa watu wanaoona ni muhimu kuoa agemates.
Mi mke wangu nimemzidi miaka 17 lkn naishi naye vizuri kabisa. She is a matured wife material.
Tunashauriana, tunataniana na kufanya utoto pamoja sometimes.
Ndoa Haina fomula. Kuna waliooana wakiwa agemates na wameishi kwa uaminifu Hadi uzeeni. Wengine wameshindwana wakaachana au kuishia kugawana vyumba.
Kuna waliopishana umri kwa kiasi kikubwa na wakashindwana na hata kuachana lkn wapo pia walioshi pamoja Hadi kifo kilipowatenganisha.
Oa mwanamke anayekufaa.
NI MTAZAMO TU