Wanawake wanawahi kuchoka, Mwanaume unatoa wapi ujasiri wa kuoa mwanamke mnayelingana umri?

Wanawake wanawahi kuchoka, Mwanaume unatoa wapi ujasiri wa kuoa mwanamke mnayelingana umri?

Nitoe mfano, majina yakiwa ya kutunga.

Mwaka 2008 Fred akiwa na miaka 26 alifunga ndoa na Recho mwenye miaka 25. Wote walikuwa bado ni vijana wabichi kabisa wanavutia.

Kufikia Leo Fredi ana miaka 41 huku Recho ana 40, unaweza kuhisi Fred alioa dada yake.

Fred ni rafiki yangu, anakiri kwamba alikosea kufanya huo uamuzi hasa ukizingatia yeye bado kijana ambae huvutiwa bado na mabinti wenye muonekano wa ujana bila make up, ambao wengi ni chini ya miaka 32.

Muda huu ni ngumu hata kwa Recho kuzaa na kuzaa akiwa na miaka 41 na kuanza kulea watoto, ule umri mzuri wa kuzaa ushampita, hivyo inakuwa kizuizi hata kwa Fred.

Pia wote kwa pamoja wapo katika hatari ya magonjwa nyemelezi ya miaka ya 40 kama kisukari, homa ya ini, presha, n.k.
KATAA NDOA😕😕😕😕
 
SAwa..kama unafikiri huko kwenye ndoa ni nyege tuu ndio zinawindwa bas kaa kwa kutulia mpaka uoe..uone jinsi gan unaweza lala na mwanamke kitanda kimoja na usiwe hata na wazo la ngono.

Ndoani ngono ina sehemu ndogo sanaaa japo yenye umuhim mkubwa katika udogo wake huo huo
Sasa mimi nazungumzia kipengele hicho hicho cha genye unachoona ni kidogo, katika hizo hizo siku chache tutakazofanya mapenzi ndo nazungumzia.

kitu kingine ni ubichi wa mwanamke, akiwa mbichi anavutia, tukilingana atawahi kuchuja.
 
Sikuumbwa kuishi kwa mateso kwa sababu ya mtu fulani. Nitampiga nimvunjilie mbali.
Kuna namna ya kumpa discipline mwanamke kumrudisha kwenye mstari bila kumvunja, vibao vya kelbu vinamtosha sana.

Ila nakushauri ogopa sana binadamu unapiga mtoto wa mtu halafu anazimika, aisee unaitafuta jela na ukiweza kuponyoka jela kwa ujanja wowote ule familia yake watakumaliza kwa njia nyingine.

Kama unajiona huwezi kudeal na wanawake ishi mwenyewe, Nunuwa ngono kwa madada powa lakini faida yake utaiona baadaye ukipata changamoto inahitaji kuangalia na kupikiwa ndio utajuwa mke ana nafasi gani maishani.
 
Mumeo ana cheo cha U-padre au ni jina tu?! 🤔🤔🤔

Inamaana kumbe padre anaruhusiwa kuoa na kuwa na mtoto/watoto?!

Yupo timamu kiakili na maisha yenu hayana misukosuko?! Nasikiaga Padre akiasi au kusaliti upadre kwa kuvunja masharti lazima aharibikiwe...ndomana nime-double question Mama mkwe mama mndenyi 😅👍🏾
Huyo fred tu hakumpenda mkewe tokea mwanzo.

Hayo magonjwa nyemelezi umri wa miaka 40 yanatoka wapi? Labda kama hujitunzi tu yaani kula hovyo na kuwa legelege

Mbona Padre ananipenda hivi wakati tuna umri wenye tofauti kubwa ?
 
Mumeo ana cheo cha U-padre au ni jina tu?! 🤔🤔🤔

Inamaana kumbe padre anaruhusiwa kuoa na kuwa na mtoto/watoto?!

Yupo timamu kiakili na maisha yenu hayana misukosuko?! Nasikiaga Padre akiasi au kusaliti upadre kwa kuvunja masharti lazima aharibikiwe...ndomana nime-double question Mama mkwe mama mndenyi 😅👍🏾
Mapadre wa Anglican wanaowa.
 
[emoji3][emoji3] sio sijaelewa, kasema huyo wa 40yrs unampandisha cheo, nakumletea msaidizi mweye 30yrs, sasa nauliza kama huyo 1 humuwezi wakiwa wawili si utakuwa kichaa?

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Hujamuelewa jamaa umekurupuka kujibu. Kuna sababu nyingi za kumpumzisha mwanamke na kumletea mwenzake. . . . . Haimanishi kwamba humuwezi au jamaa hamuwezi
 
Kwahiyo issue hapo mke wa Fred havutii?
Je, kwanini wanaume wengi hufa mapema kuliko wake zao ?
Mke anaishi miaka 20 mpaka 30 baada ya mume kufa.
Ungeshauri tuoe wanawake waliotuzidi angalau miaka 10 ili tumalize nao mwendo
Sasa mkifa wote nani anabaki na watoto
 
Mi mwenyewe nashangaa watu wanaoona ni muhimu kuoa agemates.

Mi mke wangu nimemzidi miaka 17 lkn naishi naye vizuri kabisa. She is a matured wife material.
Tunashauriana, tunataniana na kufanya utoto pamoja sometimes.

Ndoa Haina fomula. Kuna waliooana wakiwa agemates na wameishi kwa uaminifu Hadi uzeeni. Wengine wameshindwana wakaachana au kuishia kugawana vyumba.

Kuna waliopishana umri kwa kiasi kikubwa na wakashindwana na hata kuachana lkn wapo pia walioshi pamoja Hadi kifo kilipowatenganisha.

Oa mwanamke anayekufaa.

NI MTAZAMO TU
Sahihi kabisa boss
 
Back
Top Bottom